Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pata kujua Jiji la Dubai na Uhondo wake !

1510260730055953-011-tripiladubai-madinatjumeirah-burjalarabMoja ya maeneo ya kuvutia katika jiji la Dubai la Falme za Kiarabu

Mwandishi wa Makala haya ni : Hassan Al Jabri, TripilaDubai.com 

Walisema kuna njia nyingi za kutengeneza pesa, njia zitakazotumiwa zitategemea atakaye hela hizo.Vile vile, mataifa mbalimbali yalitumia mienendo tofauti kuihimiri uchumi wao, Ujapani walinufaika walipotumia umoja wao na kufanya kazi kwa bidii na ushirikiano, Wajerumani kwa upande mwingine walitumia uerefu na ubunifu wao na hivyo basi  kuyajenga mashine katika...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

PATA UHONDO WA BURUDANI KUTOKA DAR LIVE

Kipindi maalum cha matukio mbalimbali kutoka katika Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live kitawajia hivi karibuni kupitia GLOBAL TV ONLINE, kaa tayari kwa burudani mbalimbali kupitia kwa mtangazaji weko, Gabriel…

 

10 years ago

Vijimambo

PATA VIKWANGUA ANGA JIJI LA HOUSTON, TEXAS

Vikwangua anga kama vinavyoonekana jiji la Houston jimbo la Texas moja ya miji mikubwa wanayoishi Wabongo wengi.Kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

Vijimambo

PATA VIKWANGUA ANGA JIJI LA BIRMINGHAM, ALABAMA NCHINI MAREKANI


Vikwangua anga jiji la Birmingham jimbo la Alabama nchini Marekani.


 

10 years ago

Vijimambo

PATA VIKWANGUA ANGA JIJI LA JACKSON, MISSISSIPPI NCHINI MAREKANI

Vikwangua anga jiji la Jackoson jimbo la Mississipi nchini Marekani.

 

10 years ago

Vijimambo

PATA VIKWANGUA ANGA JIJI LA ATLANTA, GEORGIA NCHINI MAREKANI

Vikwangua anga vya jiji la Atlanata jimbo la Georgia nchini Marekani


 

9 years ago

Michuzi

KUBENEA AWATEMBELEA WANANCHI WAKE KUWASHUKURU KWA KUMCHAGUA NA KUJUA CHANGAMOTO ZAO

 Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Said Kubenea akiongea na wananchi Stendi ya Mabasi ya Ubungo Dar es Salaam leo, kuwashukuru kwa kumchagua na kujua changamoto zao mbalimbali. Mbunge huyo jana alitembelea Soko la Ndizi la Mabibo, Soko la Mabibo, Kituo cha Mabasi cha Mawasiliano  na kumpa pole ya sh. milioni 1.1 Diwani wa Kata ya Manzese, Ramadhani Kwangaya ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Mus'ab kilicho chomwa moto na kuunguza magodoro 30. Kubenea akizungumza na waandishi wa habari na wananchi katika...

 

10 years ago

Vijimambo

TAWI LA CCM NEW YORK YA PATA KATIBU WAKE RASMI BWANA STEVE BUBE

 Tarehe 13/12/2014 ccm tawi la NY limepata katibu mpya Steve Bube na katibu mwenezi ni Gaston Mkapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani