TAWI LA CCM NEW YORK YA PATA KATIBU WAKE RASMI BWANA STEVE BUBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ss2V-oIh01M/VJry32EOJQI/AAAAAAAArSc/scG6uBRhlD0/s72-c/20141213_195710-1.jpg)
Tarehe 13/12/2014 ccm tawi la NY limepata katibu mpya Steve Bube na katibu mwenezi ni Gaston Mkapa.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Gg98D-_u1cM/ViwcENrMxCI/AAAAAAAEC9s/PAPnNqHqqCk/s72-c/e11c0fe90d963216c2101088fca56fcb%2B%25281%2529.jpg)
SALAMU KUTOKA KWA WENYEKITI WA CCM TAWI LA NEW YORK NA VITOGOJI VYAKE BWANA SEIF AKIDA !!
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gg98D-_u1cM/ViwcENrMxCI/AAAAAAAEC9s/PAPnNqHqqCk/s640/e11c0fe90d963216c2101088fca56fcb%2B%25281%2529.jpg)
Mwenyekiti wa tawi la CCM Bwana Seif Akida anawatakia Watanzania wote uchaguzi mwema wenye amani.Tuwakemee wachochezi wa aina yoyote ili tuweze kuvuka kwa salama na amani.Wanadiaspora tunawatakia uchaguzi mwema. Maombi na sala zetu tunazielekeza kwenu mlio nyumbani Tanzania.Ameen.
Mungu Ibariki Tanzania.Mungu Ibariki Africa.
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.
Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-favaitbbfyA/VPa0qr3MAbI/AAAAAAADbbQ/u_nkGMxkzb8/s72-c/tz%7Dccm.gif)
TAWI LA CCM NEW YORK
![](http://2.bp.blogspot.com/-favaitbbfyA/VPa0qr3MAbI/AAAAAAADbbQ/u_nkGMxkzb8/s1600/tz%7Dccm.gif)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-moqxr3ry38c/VaRps3_j31I/AAAAAAADx1s/tHzCDBbMwEk/s72-c/f1cf5f1a86daa6c7638d6ca549558c15.jpg)
TAWI LA CCM NEW YORK USA
![](http://2.bp.blogspot.com/-moqxr3ry38c/VaRps3_j31I/AAAAAAADx1s/tHzCDBbMwEk/s640/f1cf5f1a86daa6c7638d6ca549558c15.jpg)
TAWI LA CCM NY LINAUNGANA NA WANACHAMA WOTE WA CCM POPOTE WALIPOKUMPONGEZA MH. JOHN POMBE MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KUWA MGOMBEA WAURAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI. TAWI PIA LINAMPONGEZA MH. SAMIASULUHU KUWA MGOMBEA MWENZA. VIVYO HIVYO TAWI LINAMPONGEZA MH.MWENYEKITI DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE NA VIONGOZI WOTE KWA KAZI NZURINA NGUMU YA KUONGOZA VIKAO VYA CHAMA VILIVYOPELEKEA UTEUZI WA MH. JOHNPOMBE MAGUFULI.
KIDUMU CHAMA!!
UONGOZI WA TAWICCM-NY
10 years ago
Vijimambo20 Sep
TANGAZO KUTOKA UONGOZI WA TAWI LA CCM NEW YORK
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-99LYvWFrtMY%2FVAgK4tQMcQI%2FAAAAAAAC_EU%2FmFQWBZt9IkQ%2Fs1600%2Ftz%257Dccm.gif&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Michuzi10 Feb
TASWIRA YA SHEREHE YA KUZALIWA CCM TAWI LA NEW YORK
10 years ago
Vijimambo13 Jul
WATANZANIA NA WANA CCM WOTE WA TAWI LA NEW YORK.
Ni takribani siku 29 zimepitatangu marehemu Alfred Magege alipo aga dunia mnano 6/13/15 na kuzikwa6/28/15. Familia ya marehemu bado haijasahau na haitasahau moyo wapekee uliojaa upendo, faraja, ukarimu, umoja, mshikamano, undugu naurafiki wa kweli wakati wa kipindi hicho kigumu cha msiba.Kushiriki kwenu kumeipa familia imani, sababu, na nguvunyingine ya kuendelea kukabili maisha pasipo hofu tukitambua familiakubwa iliyotuzunguka kipindi hicho na Mwenyezi Mungu anayetunza sikukwa siku tukiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IzxSvlf7aEk/VWah0zJ-mqI/AAAAAAADo0c/m8vwrq5LEqk/s72-c/search.png)
SALAM ZA RAMBIRAMBI KUTOKA TAWI LA CCM NEW YORK
![](http://3.bp.blogspot.com/-IzxSvlf7aEk/VWah0zJ-mqI/AAAAAAADo0c/m8vwrq5LEqk/s640/search.png)
Kufuatia kifo cha kada wa muda mrefu wa Chama cha Mapinduzi na kiongozi mstaafu wa serikali mzee wetu Samuel Luangisa kilichotokea tarehe 05/25/2015 mjini New York, Marekani. Chama Cha Mapinduzi tawi la New York na vitongoji vyake inaungana na familia ya marehemu mzee Luangisa na watanzania wote kuomboleza msiba huu mkubwa. Tunatoa rambirambi zetu kwa familia yake hapa Marekani, nyumbani Tanzania na watanzania wote. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe. Amen.Imetolewa...
10 years ago
Vijimambo10 Oct
TANGAZO KUTOKA TAWI LA CCM NEW YORK NA VITONGOJI VYAKE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-99LYvWFrtMY%2FVAgK4tQMcQI%2FAAAAAAAC_EU%2FmFQWBZt9IkQ%2Fs1600%2Ftz%257Dccm.gif&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania