TAWI LA CCM NEW YORK
![](http://2.bp.blogspot.com/-favaitbbfyA/VPa0qr3MAbI/AAAAAAADbbQ/u_nkGMxkzb8/s72-c/tz%7Dccm.gif)
Uongozi wa CCM New York na vitongoji vyake unapenda kutoa shukran zake za dhaki kwa moiyo ya kujitolea kwa hali na mali kwa watu wote waliohudhuria sherehe ya CCM kutimiza miaka 38 mjini New York.Pia tunawashukuru wanachama wote na wasio wanachama kwa michango ilofanikisha shughuli hii na kuna wengine walichangia na hawakuja wote tunawashukuru.Shukran za pekee zimwendee mgeni rasmi mh. Ridhiwani Kikwete kwa ushauri na mema yote aliyotufanyia hata kuja kujiunga nasi kwenye sherehe juu ya kazi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-moqxr3ry38c/VaRps3_j31I/AAAAAAADx1s/tHzCDBbMwEk/s72-c/f1cf5f1a86daa6c7638d6ca549558c15.jpg)
TAWI LA CCM NEW YORK USA
![](http://2.bp.blogspot.com/-moqxr3ry38c/VaRps3_j31I/AAAAAAADx1s/tHzCDBbMwEk/s640/f1cf5f1a86daa6c7638d6ca549558c15.jpg)
TAWI LA CCM NY LINAUNGANA NA WANACHAMA WOTE WA CCM POPOTE WALIPOKUMPONGEZA MH. JOHN POMBE MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KUWA MGOMBEA WAURAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI. TAWI PIA LINAMPONGEZA MH. SAMIASULUHU KUWA MGOMBEA MWENZA. VIVYO HIVYO TAWI LINAMPONGEZA MH.MWENYEKITI DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE NA VIONGOZI WOTE KWA KAZI NZURINA NGUMU YA KUONGOZA VIKAO VYA CHAMA VILIVYOPELEKEA UTEUZI WA MH. JOHNPOMBE MAGUFULI.
KIDUMU CHAMA!!
UONGOZI WA TAWICCM-NY
11 years ago
Michuzi10 Feb
TASWIRA YA SHEREHE YA KUZALIWA CCM TAWI LA NEW YORK
10 years ago
Vijimambo20 Sep
TANGAZO KUTOKA UONGOZI WA TAWI LA CCM NEW YORK
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-99LYvWFrtMY%2FVAgK4tQMcQI%2FAAAAAAAC_EU%2FmFQWBZt9IkQ%2Fs1600%2Ftz%257Dccm.gif&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Vijimambo13 Jul
WATANZANIA NA WANA CCM WOTE WA TAWI LA NEW YORK.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IzxSvlf7aEk/VWah0zJ-mqI/AAAAAAADo0c/m8vwrq5LEqk/s72-c/search.png)
SALAM ZA RAMBIRAMBI KUTOKA TAWI LA CCM NEW YORK
![](http://3.bp.blogspot.com/-IzxSvlf7aEk/VWah0zJ-mqI/AAAAAAADo0c/m8vwrq5LEqk/s640/search.png)
Kufuatia kifo cha kada wa muda mrefu wa Chama cha Mapinduzi na kiongozi mstaafu wa serikali mzee wetu Samuel Luangisa kilichotokea tarehe 05/25/2015 mjini New York, Marekani. Chama Cha Mapinduzi tawi la New York na vitongoji vyake inaungana na familia ya marehemu mzee Luangisa na watanzania wote kuomboleza msiba huu mkubwa. Tunatoa rambirambi zetu kwa familia yake hapa Marekani, nyumbani Tanzania na watanzania wote. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe. Amen.Imetolewa...
10 years ago
Vijimambo10 Oct
TANGAZO KUTOKA TAWI LA CCM NEW YORK NA VITONGOJI VYAKE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-99LYvWFrtMY%2FVAgK4tQMcQI%2FAAAAAAAC_EU%2FmFQWBZt9IkQ%2Fs1600%2Ftz%257Dccm.gif&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
VijimamboIFTAR NYUMBANI KWA MWENYEKITI WA TAWI LA CCM NEW YORK
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HXPk_DHjMdI/VKgslE_Ep-I/AAAAAAADUMc/3Phm43DmW9o/s72-c/IMG-20150102-WA0000.jpg)
10 years ago
VijimamboCCM NEW YORK YAFANYA UCHAGUZI NA KUPATA VIONGOZI WAO WA TAWI