TASWIRA YA SHEREHE YA KUZALIWA CCM TAWI LA NEW YORK
Tawi la CCM New York walivyoshereheka miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho, Kulikuwa na hotuba ya viongozi wa tawi na mgeni rasmi kutoka Tanzania UN Mission Mama Maura Mwingira. Historia ya chama iliyosomwa na mwenyekiti wa tawi bwana Maftah na mambo mengi kama kula chakula kucheza ngoma na muziki kutoka kwa Dj Paul Masoud wa Boston.
Mgeni rasmi akiingia ukumbini hapa akisindikizwa na viongozi wa tawi la CCM New York.
Viongozi wakijiweka sawa kwenye meza kuu
Kwa picha zaidi BOFYA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTASWIRA YA VIVAZI VILIVYO TAMBA KWENYE SHEREHE YA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM ZILIZOFANYIKA NEW YORK
10 years ago
VijimamboPICHA ZAIDI ZA SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM ZILIZOFANYIKA NEW YORK KUTOKA TEMBAPHOTO
Mambo ya ukodak juu ya zuria jekundu picha kutoka Tembaphoto kwa picha zaidi...
10 years ago
VijimamboSHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA CCM ZA NOGA KAMA MCHARO NEW YORK LICHA YA THELUJI KUNYESHA SIKU MZIMA
10 years ago
VijimamboTASWIRA YA SHEREHE ZA EID MUBAKAH NEW YORK
Naibu Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Balozi Ramadhan Mwinyi Muombwa ndiyo alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hiyo ya Eid Mubarah, hapa Mh. akiongea mbele ya Watanzania kutoka sehemu mbalimbali kama New Jersey, Boston, Philadelphia, Connecticut na New York yenyewe.Katika sherehe hizo watu walipata chakula cha jioni na watoto kupatiwa zawadi za michezo mbali mbali.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York Bwana Seif Akida akiongea machache.
Mwenyekiti wa NYTC Bwana Haji Khamis...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-favaitbbfyA/VPa0qr3MAbI/AAAAAAADbbQ/u_nkGMxkzb8/s72-c/tz%7Dccm.gif)
TAWI LA CCM NEW YORK
![](http://2.bp.blogspot.com/-favaitbbfyA/VPa0qr3MAbI/AAAAAAADbbQ/u_nkGMxkzb8/s1600/tz%7Dccm.gif)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-moqxr3ry38c/VaRps3_j31I/AAAAAAADx1s/tHzCDBbMwEk/s72-c/f1cf5f1a86daa6c7638d6ca549558c15.jpg)
TAWI LA CCM NEW YORK USA
![](http://2.bp.blogspot.com/-moqxr3ry38c/VaRps3_j31I/AAAAAAADx1s/tHzCDBbMwEk/s640/f1cf5f1a86daa6c7638d6ca549558c15.jpg)
TAWI LA CCM NY LINAUNGANA NA WANACHAMA WOTE WA CCM POPOTE WALIPOKUMPONGEZA MH. JOHN POMBE MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KUWA MGOMBEA WAURAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI. TAWI PIA LINAMPONGEZA MH. SAMIASULUHU KUWA MGOMBEA MWENZA. VIVYO HIVYO TAWI LINAMPONGEZA MH.MWENYEKITI DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE NA VIONGOZI WOTE KWA KAZI NZURINA NGUMU YA KUONGOZA VIKAO VYA CHAMA VILIVYOPELEKEA UTEUZI WA MH. JOHNPOMBE MAGUFULI.
KIDUMU CHAMA!!
UONGOZI WA TAWICCM-NY
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IzxSvlf7aEk/VWah0zJ-mqI/AAAAAAADo0c/m8vwrq5LEqk/s72-c/search.png)
SALAM ZA RAMBIRAMBI KUTOKA TAWI LA CCM NEW YORK
![](http://3.bp.blogspot.com/-IzxSvlf7aEk/VWah0zJ-mqI/AAAAAAADo0c/m8vwrq5LEqk/s640/search.png)
Kufuatia kifo cha kada wa muda mrefu wa Chama cha Mapinduzi na kiongozi mstaafu wa serikali mzee wetu Samuel Luangisa kilichotokea tarehe 05/25/2015 mjini New York, Marekani. Chama Cha Mapinduzi tawi la New York na vitongoji vyake inaungana na familia ya marehemu mzee Luangisa na watanzania wote kuomboleza msiba huu mkubwa. Tunatoa rambirambi zetu kwa familia yake hapa Marekani, nyumbani Tanzania na watanzania wote. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe. Amen.Imetolewa...
10 years ago
Vijimambo20 Sep
TANGAZO KUTOKA UONGOZI WA TAWI LA CCM NEW YORK
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-99LYvWFrtMY%2FVAgK4tQMcQI%2FAAAAAAAC_EU%2FmFQWBZt9IkQ%2Fs1600%2Ftz%257Dccm.gif&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Vijimambo13 Jul
WATANZANIA NA WANA CCM WOTE WA TAWI LA NEW YORK.