Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA YA SHEREHE YA KUZALIWA CCM TAWI LA NEW YORK

Tawi la CCM New York walivyoshereheka miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho, Kulikuwa na  hotuba ya viongozi wa tawi na mgeni rasmi kutoka Tanzania UN Mission Mama Maura Mwingira. Historia ya chama  iliyosomwa na mwenyekiti wa tawi bwana Maftah na mambo mengi kama kula chakula  kucheza ngoma na muziki kutoka kwa Dj Paul Masoud wa Boston. Mgeni rasmi  akiingia ukumbini hapa akisindikizwa na viongozi wa tawi la CCM New York.  Viongozi wakijiweka sawa kwenye meza kuu Kwa picha zaidi BOFYA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA VIVAZI VILIVYO TAMBA KWENYE SHEREHE YA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM ZILIZOFANYIKA NEW YORK

 Kati ya watu waliovunja kabati na kutupia vitu classic ni pamoja na Mhe. Ridhiwani kama unavyo muona hapa akiingia ukumbini kwa kujiamini sambamba na viongozi wa Tawi la CCM New York. Mhe. aliongea mambo machache juu ya maendeleo ya nchi yetu Tanzania na mipango ya maendelea inayofanywa na chama tawala CCM. Na aliomba Watanzania waishio ughaibuni kuwa kitu kimoja bila kujali dini, kabila wala chama wote ni Watanzania na umoja na upendo ndiyo nguzo yetu ya kujivunia popote pale tulipo. Mhe....

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZAIDI ZA SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM ZILIZOFANYIKA NEW YORK KUTOKA TEMBAPHOTO


 Tembaphoto akiwa na mama mwenye nyumba wake siku ya sherehe za miaka 38 za kuzaliwa kwa CCM. Sherehe zilifanyanyika New York na kuudhuliwa na Watanzania kutoka kila pande za Marekani. Na Mhe.Ridhiwani Jakaya ambae ni mbunge wa jimbo la Chalinze kupitia chama tawala CCM kuudhulia na kutoa hotuba kama mgeni rasmi wa sherehe hiyo. Hapa ni Miss Maundi katibu wa vijana wa CCM New York akipata ukodak juu ya zuria jekundu
 Mambo ya ukodak juu ya zuria jekundu picha kutoka Tembaphoto kwa picha zaidi...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA CCM ZA NOGA KAMA MCHARO NEW YORK LICHA YA THELUJI KUNYESHA SIKU MZIMA

 MH. Ridhiwani Kikwete akiongea kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi CCM sherehe zilizofanyika New York na kudhuliwa na wageni mbalimbali kutoka kila sehemu yenye tawi la CCM hapa Marekani. MH. Ridhiwani kikwete akiongea mbele ya wa Tanzania waliojitokeza kwenye sherehe hizo za kusherehekea miaka 38 ya kuzaliwa CCM na kuwapongeza kwa kujitokeza ingawa kulikuwa na theluji siku mzima. Mwenyekiti wa tawi la CCM New York akiongea kwenye sherehe hizo Bwana Isaac Kibodya akiongea kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA SHEREHE ZA EID MUBAKAH NEW YORK


Naibu Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Balozi Ramadhan Mwinyi Muombwa ndiyo alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hiyo ya Eid Mubarah, hapa Mh.  akiongea mbele ya Watanzania kutoka sehemu mbalimbali kama New Jersey, Boston, Philadelphia, Connecticut na New York yenyewe.Katika sherehe hizo watu walipata chakula cha jioni na watoto kupatiwa zawadi za michezo mbali mbali.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York Bwana Seif Akida akiongea machache.
Mwenyekiti wa NYTC Bwana Haji Khamis...

 

10 years ago

Vijimambo

TAWI LA CCM NEW YORK

Uongozi wa CCM New York na vitongoji vyake unapenda kutoa shukran zake za dhaki kwa moiyo ya kujitolea kwa hali na mali kwa watu wote waliohudhuria sherehe ya CCM kutimiza miaka 38 mjini New York.Pia tunawashukuru wanachama wote na wasio wanachama kwa michango ilofanikisha shughuli hii na kuna wengine walichangia na hawakuja wote tunawashukuru.Shukran za pekee zimwendee mgeni rasmi mh. Ridhiwani Kikwete kwa ushauri na mema yote aliyotufanyia hata kuja kujiunga nasi kwenye sherehe juu ya kazi...

 

10 years ago

Vijimambo

TAWI LA CCM NEW YORK USA



TAWI LA CCM NY LINAUNGANA NA WANACHAMA WOTE WA CCM POPOTE WALIPOKUMPONGEZA MH. JOHN POMBE MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KUWA MGOMBEA WAURAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI. TAWI PIA LINAMPONGEZA MH. SAMIASULUHU KUWA MGOMBEA MWENZA. VIVYO HIVYO TAWI LINAMPONGEZA MH.MWENYEKITI DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE NA VIONGOZI WOTE KWA KAZI NZURINA NGUMU YA KUONGOZA VIKAO VYA CHAMA VILIVYOPELEKEA UTEUZI WA MH. JOHNPOMBE MAGUFULI.
KIDUMU CHAMA!!

UONGOZI WA TAWICCM-NY

 

10 years ago

Vijimambo

SALAM ZA RAMBIRAMBI KUTOKA TAWI LA CCM NEW YORK


Kufuatia kifo cha kada wa muda mrefu wa Chama cha Mapinduzi na kiongozi mstaafu wa serikali mzee wetu Samuel Luangisa kilichotokea tarehe 05/25/2015 mjini New York, Marekani. Chama Cha Mapinduzi tawi la New York na vitongoji vyake inaungana na familia ya marehemu mzee Luangisa na watanzania wote kuomboleza msiba huu mkubwa. Tunatoa rambirambi zetu kwa familia yake hapa Marekani, nyumbani Tanzania na watanzania wote. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe. Amen.Imetolewa...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO KUTOKA UONGOZI WA TAWI LA CCM NEW YORK

Tangazo maalumu:Mkutano mkuu wa CCM New York pamoja na vitongoji vyake ambao ulikuwa ufanyike October 4th sasa utafanyika Jumamosi inayofuata October 11 kupisha sikukuu ya Eid. Mkutano huu utafanyika 30 Over hill Road, Mt. Vernon, NY saa nane mchana. Kwa wale wote waliochukuwa forms za kugombea uongozi deadline ya kurudisha forms ni Jumamosi October 4. Shukran, CCM Uongozi, NY. Kwa maelezo zaidi wasiliana na Akida Seif kupitia namba.917 557 3195.

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA NA WANA CCM WOTE WA TAWI LA NEW YORK.

Ni takribani siku 29 zimepitatangu marehemu Alfred Magege alipo aga dunia mnano 6/13/15 na kuzikwa6/28/15. Familia ya marehemu bado haijasahau na haitasahau moyo wapekee uliojaa upendo, faraja, ukarimu, umoja, mshikamano, undugu naurafiki wa kweli wakati wa kipindi hicho kigumu cha msiba.Kushiriki kwenu kumeipa familia imani, sababu, na nguvunyingine ya kuendelea kukabili maisha pasipo hofu tukitambua familiakubwa iliyotuzunguka kipindi hicho na Mwenyezi Mungu anayetunza sikukwa siku tukiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani