Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA YA SHEREHE ZA EID MUBAKAH NEW YORK


Naibu Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Balozi Ramadhan Mwinyi Muombwa ndiyo alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hiyo ya Eid Mubarah, hapa Mh.  akiongea mbele ya Watanzania kutoka sehemu mbalimbali kama New Jersey, Boston, Philadelphia, Connecticut na New York yenyewe.Katika sherehe hizo watu walipata chakula cha jioni na watoto kupatiwa zawadi za michezo mbali mbali.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York Bwana Seif Akida akiongea machache.
Mwenyekiti wa NYTC Bwana Haji Khamis...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA EID AL ADHA NEW YORK


 Sherehe za Eid Al hajj New York Watanzania walikutana kusherehekea kwa chakula na zawadi za michezo ya watoto. Kama unavyo ona Shekhe akiongea mbele ya Watanzania hao walio kuwa wamejumuhika na familia zao kwenye ukumbi wa Madina Hall Brooklyn New York. Kwa taswira zaidi ya mambo alivyokuwa nenda kwenye soma zaidi.

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA EID UL-FITR NEW YORK SATURDAY JULY


Waumini wa dini ya kiislam New York wanawaalika Watanzania waishiomaeneo ya New York na vitongoji vyake kuhudhuria tafrija iliyoandaliwakwa ajili ya kuadhimisha kukamilika kwa mfungo wa Mwezi mtukufu waRamadhan.Tunaombwa kufika kwa wakati ili tuweze kujipa na kuwapa watoto wetumuda wa kutosha wa kusherehekea siku hii adhimu.Tunaomba ushirikianowa kila mmoja wetu ili tufanikishe Sherehe yetu.
VENUE:PACIFIC HALL3038 Atlantic Av.Brooklyn,NY,11208Between Essex/Shepherd.
Shukran.

 

10 years ago

Vijimambo

PATA TASWIRA CHAI YA EID AL FITR NYUMBANI KWA TAHIR BILAL BROOKLYN NEW YORK

 Akina baba wakijiandalia kifungua kinywa baada ya sala ya Eid Al fitr nyumbani kwa Bilal Brooklyn,  Bilal aliwakaribisha Watanzania wa New York kufika kwake na kujipatia kifungua kichwa hicho pamoja na familia yake.
Meza ilipendeza kwa chakula cha Kitanzania chenye asiri  na nakish nakish ya visiwa vya karafuu. Akina mama nao wakijiandanilia maanjumanti kwa ajili ya kifungua kinywa.Mama mwenye nyumba wa Bilal akiwaongoza akina mama kujiandalia chakula.
 Mdhamini wa pendo wa Tahil Bilal, Mama...

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA YA SHEREHE YA KUZALIWA CCM TAWI LA NEW YORK

Tawi la CCM New York walivyoshereheka miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho, Kulikuwa na  hotuba ya viongozi wa tawi na mgeni rasmi kutoka Tanzania UN Mission Mama Maura Mwingira. Historia ya chama  iliyosomwa na mwenyekiti wa tawi bwana Maftah na mambo mengi kama kula chakula  kucheza ngoma na muziki kutoka kwa Dj Paul Masoud wa Boston. Mgeni rasmi  akiingia ukumbini hapa akisindikizwa na viongozi wa tawi la CCM New York.  Viongozi wakijiweka sawa kwenye meza kuu Kwa picha zaidi BOFYA...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA VIVAZI VILIVYO TAMBA KWENYE SHEREHE YA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM ZILIZOFANYIKA NEW YORK

 Kati ya watu waliovunja kabati na kutupia vitu classic ni pamoja na Mhe. Ridhiwani kama unavyo muona hapa akiingia ukumbini kwa kujiamini sambamba na viongozi wa Tawi la CCM New York. Mhe. aliongea mambo machache juu ya maendeleo ya nchi yetu Tanzania na mipango ya maendelea inayofanywa na chama tawala CCM. Na aliomba Watanzania waishio ughaibuni kuwa kitu kimoja bila kujali dini, kabila wala chama wote ni Watanzania na umoja na upendo ndiyo nguzo yetu ya kujivunia popote pale tulipo. Mhe....

 

9 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA EID AL HAJJ NEW YORK SIKU YA SEPTEMBER 24 SIKU YA ALHAMIS KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 4 USIKU


Jumuiya ya Waislam Watanzania wa NY, NJ, CT MA, PA na DE (NEMTA) ina furaha kuwaalika Watanzania wote wanaishio katika majimbo tajwa kuhudhuria tafrija ya kusherehekea Eid Al Hajj. Ndugu waalikwa tunawaomba kufika kwa wakati ili tuweze kufaidika na kuwafaidisha watoto wetu kusherehekea siku hii adhimu. Kuhudhuria kwako itakuwa ni ushirikiano mkubwa katika kufanikisha sherehe hii. Mahala husika ambapo sherehe itafanyika ni Madina Hall Kuanzia saa 7 Mchana hadi 4 usiku  Watanzania wote...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA EID AL FITR DMV

 Watanzania wakipata ukodak wa kumbumbuku baada ya sala na chakula cha Eid Al Fitr vyote kwa pamoja vilifanyika ndani ya New Masji, Good Luck Rd Lanham. MD.

 

9 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA EID DMV

 Watanzania wa DMV na marafiki zao walijumuika pamoja katika kusherehekea sikukuu ya Eid el Haji siku ya Alhamisi Septemba 24, 2015 Silver Spring, Maryland.Watanzania waliojumuika pamoja leo kusherehekea sikukuu ya Eid El Haji Silver Spring, Maryland siku ya Alhamisi Septemba 24, 2015.Mama wa mitindo kutoka Tanzania Asya Idarous Khamsini(wapili toka kushoto) akiwa miongoni wa waliojumuika pamoja kusherehekea sikukuu ya Eid DMV kulia ni binti ya mwanamitindo huyo.Sala ya Magharibi ikiendelea


 

11 years ago

Dewji Blog

Sherehe za Eid DMV

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiongea na mmoja wa Watanzania wa DMV(kulia) wakati sherehe ya Eid iliyofanyika Wheaton, Maryland nchini Marekani siku ya Jumatatu July 28, 2014 na kuhudhuliwa na Watanzania wa DMV na marafiki zao, katikati ni afisa wa maswala ya uhamiaji Bwn. Abbas Missana.

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watanzania wa DMV na marafiki zao waliohudhuria sherehe ya Eid...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani