PAUL POGBA AGEUKA KIPUSA HUKO ULAYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-94tBCpWTzhY/VVQCXgiMPsI/AAAAAAADm18/jjr_kV9IqXc/s72-c/28A2DB3600000578-0-image-a-28_1431544394411.jpg)
Paul Pogba habari ya mji
*Anawaniwa na timu tano, City kuwatoa Toure, Nasri, Dzeko
*Sterling kupiga mnada nyumba Liverpool ili ahamie London
Dirisha hili la usajili linaonekana kumweka katika chati ya juu sana mwanasoka Mfaransa anayekipiga Juventus, Paul Pogba,22, ambaye anawaniwa na klabu kubwa tano.Kiungo huyo anawaniwa na Manchester City waliosema wapo tayari kuachana na mmoja au wawili wa wachezaji wake watano pamoja na kitita cha fedha ilimradi wampate Pogba.
Klabu nyingine zinazopigana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania19 Jan
Samatta ageuka lulu Ulaya
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta, amezidi kugeuka lulu kwa timu za Ulaya baada ya matajiri wa Urusi, CSKA Moscow nao kuonyesha nia ya kumsajili katika dirisha dogo linalomalizia usajili.
Samatta aliyeondoka nchini mwishoni mwa wiki kuelekea Hispania kufanya mazungumzo na moja ya timu ya huko inayoshiriki Ligi Kuu ya Hispania ‘La Liga’, sasa amekutana na zali jingine nchini humo baada ya CSKA nayo kumfukuzia.
Mtoa habari wetu...
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Paul Pogba anataka kuingiza bao Brazil
5 years ago
The Peoples Person15 Mar
Paul Pogba outstanding despite absence from Manchester United first-team
5 years ago
Fox Sports30 Mar
Paul Pogba would be ‘an absolute doddle’ to play against, says Graeme Souness
5 years ago
Mirror Online09 Apr
Bruno Fernandes admits he's not going to follow "crazy" Paul Pogba during lockdown
5 years ago
Manchester Evening News20 Feb
Manchester United give fresh Paul Pogba injury update
5 years ago
Manchester Evening News26 Mar
The list of critics Paul Pogba will be looking to blow away on Manchester United return
5 years ago
TalkSPORT.Com28 Mar
Former Manchester United man wants Paul Pogba and Bruno Fernandes to play together in midfield
5 years ago
Irish Mirror28 Mar
Man Utd will only land Antoine Griezmann transfer 'if Paul Pogba stays'