Pembe za ndovu zanaswa Thailand tena
Pembe za ndovu zaidi ya 130 zimenaswa katika uwanja wa ndege wa Bangkok Thailand zikitokea Jamhuri ya Congo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Pembe za Ndovu zanaswa Thailand
Wakuu wa forodha nchini Thailand wamenasa shehena kubwa zaidi ya pembe za ndovu kuwahi kunaswa katika historia ya taifa hilo
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
9 years ago
Bongo509 Oct
Mwanamke wa Kichina maarufu kama ‘Malkia wa Pembe za Ndovu’ akamatwa nchini akisafirisha pembe zenye thamani ya £1.62m
Mwanamke wa China anayedaiwa kuongoza genge kubwa zaidi la usafirishaji pembe za ndovu barani Afrika amekamatwa nchini. Akipewa jina la utani “Ivory Queen”, Yang Feng Glan anadaiwa kusafirisha pembe za ndovu 706 kutoka nchini kwenda Mashariki ya mbali. Glan, 66, anadaiwa kuwa na ukaribu na majangili wa Afrika Mashariki na walanguzi wa China. Anadaiwa pia […]
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
MH370:Picha mpya zanaswa Thailand
Mtambo wa Satelite nchini Thailand umenasa picha za mabaki 300 yanayodhaniwa kuwa ya ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea wiki tatu zilizopita.
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Pembe za ndovu: TZ yaishtaki Malawi
Tanzania imekwenda mahakamani kuisimamisha Malawi isiteketeza pembe za ndovu zilizonaswa huko
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Wakamatwa na pembe za Ndovu Togo
Polisi nchini Togo wamewakamata watu watatu baada ya kuwanasa na tani mbili za pembe za Ndovu wakizafirisha kwenda Vietnam
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
TZ yakanusha biashara ya pembe za ndovu
Tanzania imeshtushwa na ripoti inayoelezea biashara haramu ya meno ya tembo kati ya baadhi ya viongozi wa nchi hiyo na China
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ufaransa kuteketeza pembe za Ndovu
Tani tatu za pembe za Ndovu zitateketezwa hii leo Nchini Ufansa ili kuonyesha kujitolea kwa serikali ya taifa hilo katika vita dhidi ya biashara hiyo haramu.
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kortini kwa pembe za ndovu
WAKAZI wawili wa Tabata, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa makosa ya kukutwa na meno ya tembo ya sh. milioni 275.5 bila kibali. Mbele...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania