Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: AY, D’Banj, Fally Ipupa watembelea makao makuu ya benki ya dunia, Washington DC

Rapper Ambwene Yessaya aka AY aiwa na wasanii wenzake wa mradi wa One Campaign, jana wametembelea makao makuu ya benki ya dunia jijini Washington DC, Marekani. Fally Ipupa, AY na D’Banj AY aliongaza na D’Banj, Fally Ipupa na wengine. “Kwanza jana tulikutana na wajumbe wa Youth African Leadership Initiative wale ambao walichaguliwa wakaja hapa kama […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MBUNGE NASSARI ASHIRIKI MDAHALO ULIOANDALIWA MAKAO MAKUU YA BENKI YA DUNIA

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari (wa pili toka shoto) akiwa ni miongoni mwa wawasishaji wa mada katika mdahalo maalumu uliofanyika Makao Makuu ya Benki ya DuniaMbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Joshua Nassari (katikati) akichangia mada iliyosema "The Fundamental Role of Education and Skills ,addressing the Challenge of Youth Education " katika mdahalo maalumu uliofanyika Makao Makuu ya Benki ya Dunia ambapo Mh Nassari alikuwa ni miongoni mwa wawasilishaji wa mada....

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wizkid na Fally Ipupa waingia studio kufanya collabo

Staa wa Nigeria, Wizkid na staa wa DRC, Fally Ipupa wamekutana Paris, Ufarasa ambako wameenda kufanya show. Wizkid na Fally hawajaiachia fursa hiyo ipite hivi hivi, wameamua kuingia studio huko Paris na kurekodi wimbo mpya wa pamoja. “Good day Paris!! Studio link up with the brother @fallyipupa01” aliandika Wizkid kwenye moja ya picha zake. Hit […]

 

10 years ago

GPL

CLOUDS MEDIA GROUP WATEMBELEA MAKAO MAKUU YA MFUKO WA PENSHENI YA PSPF

Mkurugenzi wa Ukaguzi wa ndani wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Godfrey Ngonyani (kushoto) akimkabidhi zawadi mtarishaji wa kipindi maarufu cha Power Breakfast Bw. Phillip Mwihava baada ya kumalizika kwa semina ambayo PSPF iliandaa maalum kwa watendaji kutoka Clouds Media. Lengo la semina hiyo nikuwaelimisha kwanini PSPF inaendelea kuwa chaguo la kwanza kwa waajiriwa wapya hapa nchini. Anayeshuhudia Bi. Neema Muro, Mkurugenziwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Warembo Miss Tanzania 2014 watembelea makao makuu ya EAC, AICC na AUWSA

Mkuu wa Wilaya ya Arusha mjini, John Mongela akisalimiana na Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014, walipomtembelea ofisini kwake jijini Arusha leo. Warembo hao Septemba 27 wanataraji kupandaa jukwaani kuwania taji la Miss Top Model litakalofanyika jijini Arusha.

Warembo wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa mAMLAKA ya maji safi na maji taka Jijini Arusha(AUWSA) walipowatembelea jana.

FKB_2928

Wakiwasili AICC

Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania...

 

11 years ago

Michuzi

UJUMBE KUTOKA NCHI WANACHAMA WA SADC UNAOSHUGHULIKA NA MAFUNZO YA UANGALIZI WA AMANI KIMATAIFA WATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA MAGEREZA NCHINI

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja(Meza Kuu) akifanya mazungumzo rasmi na Ujumbe Maalum toka Nchi Wanachama wa SADC unaoshughulika na Mafunzo ya Uangalizi wa Amani Kimataifa walipotembelea Makao Makuu ya Jeshi la Magereza. Jeshi la Magereza Nchini limeteuliwa na Kituo cha Mafunzo ya Uangalizi wa Amani - SADC kuwa mwenyeji wa Mafunzo ya Uangalizi wa Amani wa Kimataifa yatakayofanyika hivi karibuni Nchini Tanzania. Makamishna wa Jeshi la Magereza Nchini wakimsikiliza...

 

10 years ago

GPL

BARNABA, FALLY IPUPA ANAKUFAGILIA, SO WHAT?

MWAKA 2008, pale katika Uwanja wa World Cinema uliopo karibu na Kituo cha Daladala cha ITV, kulikuwa na bonge la shoo iliyoandaliwa na Kampuni ya TCC ambapo mwanamuziki mwalikwa alikuwa Fally Ipupa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Fally alikuwa bado bwana mdogo, kipindi hicho ndiyo kwanza ametoka katika kwapa za Koffi Olomide na kuamua kuwa mwimbaji wa kujitegemea. Tulipozungumza naye pale katika Ukumbi wa Kampuni...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JKT DODOMA,YAMPONGEZA MEJA JENERALI MBUGE

 Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Benki ya NMB, Juma Kimori (aliyenyoosha mkono) akimwelezea jambo Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali, Charles Mbuge ( wapili kushoto) wakati wafanyakazi wa benki hiyo, walipotembelea Makao Makuu ya Jeshi hilo Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Benki ya NMB, Juma Kimori (wa kwanza kushoto) akimpongeza Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali, Charles Mbuge (katikati) kwa kupandishwa cheo kuwa Mkuu wa JKT, wakati...

 

5 years ago

Bongo5

Video: Fally Ipupa – Eloko Oyo

Msanii Fally Ipupa ameachia video mpya wimbo unaitwa “Eloko Oyo”, angalia hapa chini alafu toa komenti yako.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!Share on Whatsapp

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond, P Square, Fally Ipupa pamoja

BAADA ya kutamba vilivyo na ngoma yake ya “My Number One Remex’ aliyoimba na msanii kutoka Nigeria, Davido, msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ anatarajia kupanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani