Warembo Miss Tanzania 2014 watembelea makao makuu ya EAC, AICC na AUWSA
Mkuu wa Wilaya ya Arusha mjini, John Mongela akisalimiana na Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014, walipomtembelea ofisini kwake jijini Arusha leo. Warembo hao Septemba 27 wanataraji kupandaa jukwaani kuwania taji la Miss Top Model litakalofanyika jijini Arusha.
Warembo wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa mAMLAKA ya maji safi na maji taka Jijini Arusha(AUWSA) walipowatembelea jana.
Wakiwasili AICC
Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAREMBO MISS TANZANIA 2014 WATEMBELEAMAKAO MAKUU YA EAC, AICC, AUWSA LEO
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vVejlp6rwME/VBkJ76o2rXI/AAAAAAAAXRA/t5d6yJpjL80/s72-c/1.jpg)
WAREMBO MISS TANZANIA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA MIKUMI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vVejlp6rwME/VBkJ76o2rXI/AAAAAAAAXRA/t5d6yJpjL80/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-927JbBGXWT0/VBn5xXysPpI/AAAAAAAAXRg/8ffSb_jXDsI/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l8SsnBEm604/VBn50sZQm8I/AAAAAAAAXRo/NR5GYJba9-w/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PTeTWDlVGk0/VBn53Ed3StI/AAAAAAAAXRw/RtiYbNYfm9U/s1600/4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lY5dP8lkG34/XmNaBxaMZEI/AAAAAAAAIWc/n4LnlpbkT5w2-PagSRT83WHlZdnCJMREQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200306_123804_147.jpg)
MATUKIO YA SIKU YA WANAWAKE WA EAC ILIVYOAZIMISHWA MAKAO MAKUU YA EAC JIJINI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lY5dP8lkG34/XmNaBxaMZEI/AAAAAAAAIWc/n4LnlpbkT5w2-PagSRT83WHlZdnCJMREQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_123804_147.jpg)
Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki EALA akitoa mada kwenye Kongamano hilo
![](https://1.bp.blogspot.com/-W1ks04dNgRs/XmNaSdYE5UI/AAAAAAAAIW0/990B99_eL6UW2aDj5ZDtiLd07FInX8YvwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_125932_263.jpg)
Meza kuu wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa
![](https://1.bp.blogspot.com/-sHi_iV7-SIY/XmNaSD0NZWI/AAAAAAAAIWw/OsQCWOAUnp0rL53vWzIqMiipoAjdSklqgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_130748_352.jpg)
Jaji Mstaafu wa mahakama ya Rufani na Mwenyekiti Mstaafu wa TAWLA Eusebia Munuo akitoa Mada na hotuba kwenye Kongamano hilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3P8Lv96_Uqk/XmNab1RAEII/AAAAAAAAIXA/svCi6L-8cV8yrC_Jcc8Wv7cbsslscZCxQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133428_080.jpg)
Wanawake wakifuatilia mada mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku yao inaotarajiwa kuazimishwa kesho kote ulimwenguni.
![](https://1.bp.blogspot.com/-mJ7Ir4_hAfs/XmNaVcCrOxI/AAAAAAAAIW4/_Bs9PqzLOXwA4m685_FDFgeLSGuUL9NbQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133411_049.jpg)
Tunafuatilia mada kwa makini
![](https://1.bp.blogspot.com/-bCdJ697J0-8/XmNaZiVkWLI/AAAAAAAAIW8/tzNf9UvSbocOuXj0caPdzGCZhEAlhJeqwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133418_402.jpg)
Mada zikifuatiliwa kwa umakini mkubwa kwenye Kongamano hilo la maadhimisho ya siku ya wanawake...
10 years ago
MichuziWAREMBO MISS TANZANIA 2014 WAWASILI KAMBINI
10 years ago
MichuziWAREMBO WA MISS TANZANIA 2014 WAWASILI KAMBINI LEO
Warembo hao waliowasdili kwa muda tofauti kuanzaia saa 12 alfajiri ya leo na kupokelewa na waandaaji wa Miss Tanzania katika hoteli ya JB Belmont iliyopo katikati ya jiji la maraha la Dar.
Warembo kutoka Kanda ya Ziwa walitia fora pale warembo hao walipowasili kambini hapo wakiwa ndani...
10 years ago
GPLCLOUDS MEDIA GROUP WATEMBELEA MAKAO MAKUU YA MFUKO WA PENSHENI YA PSPF
11 years ago
Bongo506 Aug
Picha: AY, D’Banj, Fally Ipupa watembelea makao makuu ya benki ya dunia, Washington DC
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Warembo Miss Tanzania 2014 wawasili kambini, kanda ya ziwa waendesha gari yao hadi Dar
Na Father Kidevu Blog
Wanyange 30 wanaowania taji la Redd’s Miss Tanzania 2014 jana wameingia kambini tayari kwa safari ya fainali za Miss Tanzania 2014 zitakazo fanyikia mapema mwezi Oktoba jijini Dar es Salaam.
Warembo hao waliowasili kwa muda tofauti kuanzaia saa 12 alfajiri ya jana na kupokelewa na waandaaji wa Miss Tanzania katika hoteli ya JB Belmont iliyopo katikati ya jiji la maraha la Dar.
Warembo kutoka Kanda ya Ziwa walitia fora pale warembo hao walipowasili kambini hapo wakiwa...
10 years ago
GPLWASHIRIKI MISS TANZANIA 2014 WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI