Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha tofauti za Afrika zilizotia fora wiki hii: Kati ya tarehe 18-24 Oktoba 2019

Orodha ya picha bora kutoka maeneo mbali mbali ya Afrika na kwengineko

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Picha za wiki barani Afrika 6 - 13 Desemba 2019

Baadhi ya picha kutoka barani Afrika katika mitindo, sanaa na wanyama.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika wiki hii kwa picha

Udi watumiwa kutengeza manukato Somalia na picha nyinginezo kutoka Afrika

 

5 years ago

BBCSwahili

Picha bora za Afrika wiki hii: Muziki, ukame na mitindo

Baadhi ya picha zilizopigwa wiki hii katika maeneo mbalimbali ya Afrika

 

9 years ago

Bongo5

BTS za utengenezaji wa video tofauti za Ben Pol na Mwana FA Afrika Kusini (Picha)

11925676_463374680501587_1567968702_n

Ben Pol na Mwana FA wote wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kushoot video zao.

11925676_463374680501587_1567968702_n
Ben Pol akiwa kwenye moja ya scene za video yake

Ben ameendelea kushoot video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ aliowashiriki Avril na Rossie M.

11421986_522616981241607_718948242_n
Ben Pol na Rossie M wakiwa location huku Justin Campos akiendelea na kazi yake

Muimbaji huyo amemaliza kufanya video hiyo Jumapili hii akimtumia muongozaji wa nchini humo, Justin Campos wa Gorilla Films. Avril wa Kenya hakuonekana kwenye location hizo.

11419262_1157084614313211_1074544956_n
12063219_1642635846024710_765721299_n

12230784_1720278058206242_744544065_n
Timu nzima...

 

5 years ago

BBCSwahili

Habari za picha wiki hii 6-12 Machi 2020

Mkusanyiko wa picha za matukio mbalimbali barani Afrika wiki hii

 

11 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA TANZANIA MOVIE TALENTS KUHAMIA KANDA YA KATI MKOANI DODOMA, ZOEZI LA KUTAFUTA WASHINDI KUANZA JUMAMOSI YA WIKI HII

Na Josephat Lukaza wa Proin 
Promotions Limited - Mwanza Hatimaye Kikosi Kazi cha Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ndio waratibu na waandaaji wa Mashindano ya Kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania yajulikanayo kama Tanzania Movie Talents (TMT) kinaondoka leo asubuhi Mkoani Mwanza Kuelekea Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuendelea na shindano la kusaka vipaji vya kuigiza.
Katika Kanda ya Kati  mashindano yatafanyika Mkoani Dodoma katika Ukumbi wa African Dream kuanzia Jumamosi ya tarehe...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wema Sepetu na Penny wamaliza tofauti zao, wakumbatiana na kupiga picha pamoja

Hatimaye mpenzi wa sasa (Wema) na mpenzi wa zamani (Penny) wa msanii wa Bongo fleva Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘penzi’ la hit maker huyo wa ‘Number 1’. Penny, Junaithar aliyewapatanisha, na Wema Muigizaji wa Bongo Movie Wema Sepetu na mtangazaji wa E-FM Penny Mungilwa a.k.a VJ Penny walikutana usiku […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani