Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Wananchi wa Venezuela wamkalia kooni Rais Nicolas Maduro

Maandamano ya kumpinga Rais Nicolas Maduro wa Venezuela, yameingia katika siku ya pili nchini humo katika mji mkuu wa Caracas.

Maelfu ya raia wa nchi hiyo wameendelea kuandamana wakiongozwa na viongozi wa vyama vya upinzani, huku wakimtaka rais huyo kuachia madaraka, kutokana na mwenendo mbaya wa kiuchumi unasimamiwa na serikali yake.

Mmoja wa waandamanaji hao ambaye alitambulika kwa jina la Sandra Vanessa, ameiambia Al Jazeera kwamba “Pamoja vurugu zinazoendelea nchini lakini wito huu ni...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC

Businessman close to Venezuela's Nicolás Maduro arrested in Cape Verde

Colombian national Alex Nain Saab is wanted in the US on charges of corruption and money laundering.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Dkt John Magufuli aapishwa kuwa Rais wa Tanzania, aahidi kuwatumikia wananchi ‘nina deni kubwa’

ma35

Dokta John Pombe Magufuli, Alhamis hii ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyohudhuriwa na wananchi pamoja na viongozi wa nchi mbalimbali barani Afrika.

ma35
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli akiapishwa Alhamis hii

Ikiwa ni siku iliyotangazwa na Rais aliyeondoka madarakani Jakaya Kikwete kuwa ya mapumziko, wananchi wengi walishuhudia kuapishwa kwa Magufuli kupitia runinga zao. Wengine walisikiliza matangazo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maduro aitaka Marekani kuondoa vikwazo

Rais Nicholas Maduro wa Venezuela anampelekea barua rais Obama kumtaka awaondolee vikwazo maafisa wa nchi yake.

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: JUST PICHA: MWANA DIASPORA NA MBIO ZA UBUNGE: WANAMWITA RAIS WA MBARALI

Ni Liberatus Mwang'ombe "Libe" aliye wahi kuishi Maryland, DC na Virginia (DMV) amekuwa akivunja rekodi kwenye historia za mbio za ubunge jimbo la Mbarali kwa kukusanya vijana na watu wa rika mbalimbali wengi kuliko ilivyo wahi tokea jimboni Mbarali. 


 Juu na chini: Libe katika ubora wake

 Juu na chini: George Tito aka Mbu Mwenyekiti BAVICHA mkoa wa Mbeya akimnadi Mh. Mwang'ombe




 Mh. Mwang'ombe akikabidhi kadi ya CHADEMA barabarani 
Mh. Mwang'ombe amekuwa akisimamishwa barabarani watu wakitaka...

 

10 years ago

Bongo5

Wakenya wamkalia shingoni Victoria Kimani baada ya kuwaambia hawasupport wasanii wao

Victoria Kimani analihisi joto la hasira kutoka kwa wakenya walioanzisha hashtag #SomeoneTellVictoriaKimani baada ya juzi kuwalalamikia kuwa wamekuwa nyuma kuwaunga mkono wasanii wao. “Life without art is hell….how can the Kenyan youth not have an interest in the arts ? Who robbed us of our self expression?” alitweet Kimani. “Lupita had to travel and be […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Nicolas Anelka Matatani

Shirikisho la mchezo wa soka nchini Uingereza limemfungulia mashtaka Nicolas Anelka kufuatia madai ya kuonyesha ishara ya kibaguzi

 

11 years ago

BBCSwahili

West Brom yamtimua Nicolas Anelka

Mchezaji wa klabu ya soka ya West Brom, Nicolas Anelka amefutwa kazi na klabu ya West Brom kwa kosa la utovu wa nidhamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Manchester City wambeba Nicolas Otamendi

Manchester City wamemsajili mlinzi wa kimataifa wa Argentina Nicolas Otamendi kutoka klabu ya Valencia kwa miaka mitano.

 

9 years ago

Bongo5

Manchester City imekamilisha usajili wa nyota wa Valencia, Nicolas Otamend

Klabu ya Manchester City hatimaye imekamilisha usajili wa mlinzi wa kimataifa wa Argentina, Nicolas Otamendi aliyekuwa mchezaji wa Valencia kwa dau la pauni milioni 32. Kocha mkuu wa klabu hiyo, Manuel Pellegrini anaamini kuwa amenunua beki bora zaidi. Otamendi alifuzu vipimo vya afya na kukubali kusaini mkataba wa miaka mitano. Kabla ya hapo Otamendi alikuwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani