Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nicolas Anelka Matatani

Shirikisho la mchezo wa soka nchini Uingereza limemfungulia mashtaka Nicolas Anelka kufuatia madai ya kuonyesha ishara ya kibaguzi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

West Brom yamtimua Nicolas Anelka

Mchezaji wa klabu ya soka ya West Brom, Nicolas Anelka amefutwa kazi na klabu ya West Brom kwa kosa la utovu wa nidhamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Anelka kuifunza kilabu ya Mumbai

Aliyekuwa mchezaji wa vilabu vya Arsenal na Chelsea Nicolas Anelka amechaguliwa kama mkufunzi wa klabu ya Mumbai City.

 

9 years ago

BBCSwahili

Manchester City wambeba Nicolas Otamendi

Manchester City wamemsajili mlinzi wa kimataifa wa Argentina Nicolas Otamendi kutoka klabu ya Valencia kwa miaka mitano.

 

5 years ago

Bongo5

Picha: Wananchi wa Venezuela wamkalia kooni Rais Nicolas Maduro

Maandamano ya kumpinga Rais Nicolas Maduro wa Venezuela, yameingia katika siku ya pili nchini humo katika mji mkuu wa Caracas.

Maelfu ya raia wa nchi hiyo wameendelea kuandamana wakiongozwa na viongozi wa vyama vya upinzani, huku wakimtaka rais huyo kuachia madaraka, kutokana na mwenendo mbaya wa kiuchumi unasimamiwa na serikali yake.

Mmoja wa waandamanaji hao ambaye alitambulika kwa jina la Sandra Vanessa, ameiambia Al Jazeera kwamba “Pamoja vurugu zinazoendelea nchini lakini wito huu ni...

 

9 years ago

Bongo5

Manchester City imekamilisha usajili wa nyota wa Valencia, Nicolas Otamend

Klabu ya Manchester City hatimaye imekamilisha usajili wa mlinzi wa kimataifa wa Argentina, Nicolas Otamendi aliyekuwa mchezaji wa Valencia kwa dau la pauni milioni 32. Kocha mkuu wa klabu hiyo, Manuel Pellegrini anaamini kuwa amenunua beki bora zaidi. Otamendi alifuzu vipimo vya afya na kukubali kusaini mkataba wa miaka mitano. Kabla ya hapo Otamendi alikuwa […]

 

5 years ago

Evening Standard

Arsenal ratings: Nicolas Pepe delivers the goods, Bukayo Saka shines again at left-back

Arsenal ratings: Nicolas Pepe delivers the goods, Bukayo Saka shines again at left-back  Evening StandardArsenal 4-0 Newcastle: Nicolas Pepe's highlights show he's finally arrived in the PL  GIVEMESPORT'Pepe just needs consistency' - Arsenal boss Arteta after Newcastle victory  Goal.comArsenal thrashing of Newcastle sees them do something for the first time since Arsene Wenger’s reign  Just Arsenal NewsMikel Arteta Admits Newcastle Job Offer Was 'Life Changing' & Gives Verdict on Steve...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Mwaka matatani

Naibu Waziri wa Afya, Dk Hamisi Kigwangalla ametoa siku saba kwa Baraza la Tiba Asilia kuchunguza huduma zinazotolewa kwenye kliniki ya Foreplan Herbal ya tiba mbadala inayomilikiwa na Dk Juma Mwaka.     

 

10 years ago

BBCSwahili

Zuma matatani

Upinzani nchini Afrika Kusini unatarajia kuwasilisha bungeni hoja ya kutaka kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBS matatani

SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limeingia kwenye kashfa ya kuvikingia kifua viwanda vinavyozalisha na kusambaza bidhaa zisizokidhi viwango, jambo ambalo linaweza kuhatarisha maisha ya wananchi wengi kutokana na baadhi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani