Picha: Wastara Akichukua Fomu Mjini Morogoro
Morogoro nikiwa na viongozi wa CCM na jumuiya wa wilaya ya Morogoro mjini kwenye uchukuaji wa fomu ya ugombea ubunge wa viti maalum kupitia kundi la walemavu nimethubutu na naaamini na kutegemea mchango wenu...
Wastara on instagram
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Wananchi wa Morogoro mjini wamnunulia fomu Abood ili aendelee kuwa mbunge wao Jimbo Morogoro mjini
![](https://mmi203.whatsapp.net/d/BBpzRaxwBsSgUTYiFylVpFWovuQ/AlSN--FYdVvyXzfBoJJbdd0Y5jIcL3YPi0UOIWPXknOC.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood akipokea michango ya wanafunzi waliojitokeza kumchangia mbunge huyu ili achukue fomu ya kugombea tena Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi Mara baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa Mbunge huyo ambaye amefanya mambo mengi ya maendeleo ikiwemo kuwalipia ada zaidi ya wanafunzi 500 wasiokuwa na uwezo wa kujilipia ada na wanaoishi katika mazingira magumu.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood, akipokea kiasi cha...
10 years ago
Bongo Movies20 Jul
Picha: Irene Uwoya Akichukua Fomu, Viti Maalum Tabora
Haya kamanda UWOYA anaonekana akichukua fomu ya kuwania viti maalum vya ubunge huko tabora kwa tiketi ya CCM ,
twakutakia mafanikio mema katika safari yako ya kwenda kwa kuwatumikia wanamchi wa TABORA bungeni watanzania wanajua uwezo wako na wanakusubilia jumba jeupe tu pale pale wanapopalilia wengi kwenda
William Mtitu on Instagram
10 years ago
Bongo Movies17 Jul
Picha: Wema Sepetu Akichukua Fomu za Ubunge Mkoani Singida
Hizi ni baadhi ya picha za staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu akiwa na team yake alipokuwa mkoani Singida akichukua fomu kwenye ofisi za chama cha mapinduzi (CCM).
Wema anawania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kupitia jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) ya chama hicho.
10 years ago
GPL26 Jun
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/chadema-1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-v4Kx-aY0xX0/VVKbUJbtXEI/AAAAAAAAdAg/2qC17cRzX54/s72-c/1.jpg)
Afande Selle: Picha niliyopigwa nikiwa na boxer haitonikosesha ubunge wa Morogoro Mjini
![](http://2.bp.blogspot.com/-v4Kx-aY0xX0/VVKbUJbtXEI/AAAAAAAAdAg/2qC17cRzX54/s640/1.jpg)
Seleman Msindi aka Afande Selle anawania kuwa mbunge mtarajiwa wa jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi cha chama cha ACT Tanzania, na haogopi maneno ya ‘haters’ wanaotaka kukiwekea mchanga kitumbua chake kwa mambo yaliyopita.Bila shaka unakumbuka ile picha ambayo Afande alipigwa akiwa amevua nguo na kubakia na boxer tu jukwaani wakati akitumbuiza!
Mfalme huyo wa Rhymes anaamini kuwa picha haiwezi kumchafulia CV yake mbele ya waajiri wake watarajiwa aka wananchi wa Morogoro Mjini.
“Hainiumizi,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XzWQky-Gxrs/VYLBrV7nlKI/AAAAAAAHg94/Pde5XIWQ8Tc/s72-c/unnamed%2B%252861%2529.jpg)
NDEREMO ZATAWALA WAKATI Dk.Ali Mohamed Shein AKICHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-XzWQky-Gxrs/VYLBrV7nlKI/AAAAAAAHg94/Pde5XIWQ8Tc/s640/unnamed%2B%252861%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TdGleaVgujs/VYLBrn3J45I/AAAAAAAHg98/zgA6VLwesQg/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WsCdAwRNjUc/VKZqpK-gUZI/AAAAAAAAGE4/nanIevZSJwQ/s72-c/20141231_144819.jpg)
MBUNGE WA MOROGORO MJINI,ABOOD ATOA MILION 11 KUTATUA KERO YA MAJI MKUNDI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-WsCdAwRNjUc/VKZqpK-gUZI/AAAAAAAAGE4/nanIevZSJwQ/s1600/20141231_144819.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V5RXeu792UM/VKZrY4uEzZI/AAAAAAAAGFg/6ZqRTH0i5Gw/s1600/20141231_144923.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Mbunge wa Morogoro mjini Mh Abood atoa milion 11 kutatua kero ya maji Mkundi Morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-V5RXeu792UM/VKZrY4uEzZI/AAAAAAAAGFg/6ZqRTH0i5Gw/s1600/20141231_144923.jpg)