Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA ZINGINE SHEREHE YA UHURU WA TANZANIA BARA DMV

Dj Seif akifanya vitu vyake kwenye sherehe ya Uhuru wa Tanzania iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 Sheraton ya Silver Spring, Maryland mchini Marekani.Watanzania wakijumuika pamoja kwenye sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.Watanzania wakiwa kwenye sherehe ya Uhuru wa miaka 53 Sheraton hotel ya Silver Spring, Maryland.Nyamy katika picha.Taji na mama mwenye nyumba wake.Aziz na mdhamini wa pendo lake.Rich akiwa na barafu ya moyo wake.Picha zote na Ayoce Mbullu mwakilishi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara yafana DMV

Sherehe ya kusherehekea miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 ndani ya Hotel ya Sheraton iliyopo katikati ya jiji la Silver Spring, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali na wengine wakitokea Tanzania.   Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAFANA DMV

Sherehe ya kusherehekea miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 ndani ya Hotel ya Sheraton iliyopo katikati ya jiji la Silver Spring, Maryland, na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali na wengine wakitokea Tanzania.
Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...

 

10 years ago

GPL

SHEREHE YA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAFANA DMV‏

 Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiingia ukumbini kulia ni Afisa Suleiman Saleh wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.  Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Mbunge viti maalum CHADEMA, Mhe. Leticia Nyerere.…

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINE ZA WATANZANIA DMV WAKUSANYIKA KUOKOA MAISHA YA MWENZAO

Na Abou Shatry Washington DC Watanzania walioko nchini Marekani, wamechangisha zaidi ya Dola 3,550 kwa ajili ya kumsaidia ndugu Moh'd Said Moh'd anayehitaji kwenda nchini India kwa matibabu. Bi Moza Moh'd Khamis akitoa maelezo machache, Maryam Shaaban kulia, pamoja na Bi AshaHaris, Picha zote na (swahilivilla.blogspot.com) 
 Akifungua shughuli hiyo iliyofanyika May 17, katika Jimbo la Meryland nchini Marekani na kuzijumuisha jumuiya mbali mbali za Kitanzania, Mwenyekiti wa Jumuiya ya...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINE SHEREHE YA MIAKA 25 YA NDOA YA AMOS NA JESSICA MUSHALA

IMG_9718Bw.Mshala akipongezwa na Mama Kassembe. IMG_9733Mama Mushala akipongezwa na Meya. IMG_9716Bw.Mushala akipongezwa na Imma. IMG_9591Bi.Asha Nyang'anyi. IMG_9700Mr&Mrs Imanuel Bandawe a.k.a "The Boss" IMG_9635MaWinny Casey mwanzilishi wa Miss Tanzania USA akiwa na Rais wa Jumuiya ya watanzania DMV Bw.Iddy Sandaly. IMG_9596Wapendanao Lovenness na ubani wake. IMG_9675Bw.David na ubavu wake. IMG_9686Kwa furaha Bw.Tumaini na mkewe Bi. Tumaini. IMG_9689Bw.Vikta na mkewe Bi.Eda. IMG_9690Bw.Tino Malinda na mkewe Mary Mgawe.kwa picha zaidi bofya soma zaidi
IMG_9625Jessica na Amos Mushala...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA UHURU DMV YAFANA

Sherehe ya kusherehekea miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 ndani ya Hotel ya Sheraton iliyopo katikati ya jiji la Silver Spring, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali na wengine wakitokea Tanzania.
Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAOMOND USIPIME ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV

Prezida wa Wasafi Diamond Platnumz akiwa pamoja na wacheza showa wake Roma Tonsa na Moses Iyobo wakitoa burudani katika kunogesha sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Sheraton Hotel ya Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na mashabiki wake kutoka kila pembe ya Marekani huku mashabiki wengine wakitokea Tanzania, Mzuka unazidi kupanda Diamond Platnumz asaula koti lake.Balozi akimshukuru Diamond kwa kuwezesha kunogesha usiku wa Uhuru wa Tanzania Bara na...

 

10 years ago

Vijimambo

VIVAZI VYA RED CARPET SHEREHE YA UHURU DMV

Kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

GPL

DIAMOND USIPIME, ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV‏

Diamond akiwapa burudani mashabiki wake. Shabiki akicheza wimbo wa Mdogo Mdogo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani