Pinda akutana na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la China Afrika
WAziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la China na Afrika ( Vice Chairman of China Africa Business Council, Bw. Huarong Zhang kabla ya mazungumzo yao Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam,Aprili 21, 2015.Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Tanzania – China Promotion Centre, Bw. Xian Ding. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
WAziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la China na Afrika ( Vice...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Nbix_KCORP0/VTdM1gd8w6I/AAAAAAAHSdE/0Eg90GecMEk/s72-c/unnamed%2B(83).jpg)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA MAKAMU MWENYEKITI WA BARAZA LA BIASHARA LA CHINA AFRIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nbix_KCORP0/VTdM1gd8w6I/AAAAAAAHSdE/0Eg90GecMEk/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EqOUR7GOTJg/VTdM1jUvX9I/AAAAAAAHSdI/EbOGJKiqVzs/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Apr
WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA AKUTANA NA MAKAMU MWENYEKITI WA BARAZA LA BAISHARA LA CHINA NA AFRIKA
![MZ1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/MZ1.jpg)
![MZ01](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/MZ01.jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) akutana na Makamu Mwenyekiti wa Rais wa China
Viongozi wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao (hayupo pichani) kwenye Hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Philip Mangula akimkabidhi zawadi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao mara baada ya kumaliza mkutano.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao akionyesha zawadi aliyopewa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)...
11 years ago
Michuzi24 Jun
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM (BARA) PHILIP MANGULA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA CHINA LI YUANCHAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HbPYtcDAiIU/U6lcr3PsKpI/AAAAAAAAPA8/BFmh5py3oqc/s1600/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6yxRi_BiEVQ/U6lczfAZOHI/AAAAAAAAPBE/MLrQVOk7rMQ/s1600/6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-LXJ_wa26ZjM/U6lcmT5yIjI/AAAAAAAAPA0/I7Yxpidf5Vw/s1600/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ppbNvMTM1Ac/VRY_KvETxcI/AAAAAAAAZHw/PltRCN0oYR0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA BARAZA LA USHAURI WA KISIASA LA WATU WA CHINA AWASILI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ppbNvMTM1Ac/VRY_KvETxcI/AAAAAAAAZHw/PltRCN0oYR0/s1600/1.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Baraza la Ushauri wa Kisiasa la Watu wa China pia Waziri wa Idara ya Kimataifa wa kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China amewasili nchini kuja kushiriki kwenye ufunguzi wa Kongamano...
9 years ago
CCM Blog07 Nov
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA TAWALA CHA CHINA
![po2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/po2.jpg)
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China Mhe.Zhang Ping ikulu jijini Dar es Salaam .Bwana Zhang alimwakilisha Rais wa China katika sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Tano(picha na Freddy Maro).
![po3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/po3.jpg)
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akipiga picha na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China Mhe.Zhang Ping ikulu jijini Dar es Salaam .Bwana Zhang alimwakilisha Rais wa China katika sherehe za...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H3R21J-deoE/VjzbWHJkJfI/AAAAAAAIEuw/iXXbCvBqNT8/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
Rais Magufuli akutana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China Mhe.Zhang Ping
![](http://3.bp.blogspot.com/-H3R21J-deoE/VjzbWHJkJfI/AAAAAAAIEuw/iXXbCvBqNT8/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RidMNIxYd8A/VjzbWKBoTGI/AAAAAAAIEu0/8x2XQWERDZM/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CIL41JMq3ZU/VMvfjrE-SMI/AAAAAAAHAaQ/QoIr7EZ3F7Q/s72-c/IMG-20150130-WA0002.jpg)
SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA Makamu Mwenyekiti ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Bunge la Kenya
![](http://2.bp.blogspot.com/-CIL41JMq3ZU/VMvfjrE-SMI/AAAAAAAHAaQ/QoIr7EZ3F7Q/s1600/IMG-20150130-WA0002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a_GwgNbsM6w/VMvfY2TfQ3I/AAAAAAAHAaA/DCHiWfwPOrQ/s1600/IMG-20150130-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xmCQIWhQwEY/VMvfaemnxZI/AAAAAAAHAaI/jShhLVkKjU0/s1600/IMG-20150130-WA0003.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amaliza ziara yake ya siku tatu, nchini China, akutana na mwenyeji wake makamu wa Rais wa China
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. ‘Peoples Great Hall’, jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo.Mei 20, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,...