Pinda apiga kura kijijini kwake Kibaoni na kusema neno
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga kura kumchagua Rais, Mbunge na Diwani katika kituo cha kupiga kura kilichopo kwenye Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kibaoni wilayani Mlele Oktoba 25, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Rais Kikwete apiga kura kijijini kwake
NA PATRICIA KIMELEMETA, CHALINZE
RAIS Jakaya Kikwete jana alipiga kura kijijini kwake Msoga, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Rais Kikwete ambaye anamaliza muda wake wa uongozi wa miaka 10 tangu alipoingia madarakani Novemba 2005, aliwasili kijijini hapo katika Kituo cha Zahanati ya Msoga, jana saa 12:25 na kupanga foleni ya kupiga kura kama ilivyo kwa wananchi wengine.
Baada ya kumaliza kupiga kura, alisema amejitokeza kutumia haki yake ya msingi ya kuwapigia kura viongozi wanaotarajiwa...
9 years ago
MichuziRais Kikwete apiga kura Kijijini Kwake Msoga.
MKE WA...
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Dk. Magufuli apiga kura jimboni kwake Chato
![](http://4.bp.blogspot.com/-QePwiRoVCjU/ViyXms9RYWI/AAAAAAABn-M/ZWFcLHgc4rs/s640/MAGUFULI.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli akipiga kura yake jimboni kwake Chato mapema leo asubuhi Oktoba 25, 2015.(PICHA NA MWANDISHI WETU).
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-EwL7jziO8fg/Viyd3d3IhzI/AAAAAAAAqnY/cyU8TC3WQcs/s72-c/3.jpg)
MAGUFULI APIGA KURA JIMBONI KWAKE CHATO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EwL7jziO8fg/Viyd3d3IhzI/AAAAAAAAqnY/cyU8TC3WQcs/s640/3.jpg)
Dk. Magufuli alipiga kura yake asubuhi ya saa 4 na dakika 32.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1V1ti6NGioQ/Viyd3jJFjmI/AAAAAAAAqng/pVewribUz3Y/s640/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xmh_9lInvn0/Viyd4VcpVqI/AAAAAAAAqns/YwZ18ebC7sE/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YV1DyCDKpww/Viyd4yFUxuI/AAAAAAAAqnw/a4TGyWZd98k/s640/8.jpg)
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-QePwiRoVCjU/ViyXms9RYWI/AAAAAAABn-M/ZWFcLHgc4rs/s640/MAGUFULI.jpg)
DK. MAGUFULI APIGA KURA JIMBONI KWAKE CHATO
11 years ago
Habarileo07 Jan
Maelfu wamzika Dk Mgimwa kijijini kwake
RAIS Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, jana waliongoza maelfu ya wakazi wa mkoani Iringa na mikoa ya jirani katika maziko ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga, Dk William Mgimwa (CCM).
10 years ago
Vijimambo23 Dec
CHADEMA Yamliza Waziri wa Kikwete kijijini kwake.
Mbali ya Waziri Makala, wengine waliolizwa ni pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, Jonas Van Zealand, Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM, Abdalah Mtiga, Katibu Mwenezi wa CCM, Yusufu Kingu, Mwenyekiti wa Vijana (UVCCM), Pascal...