Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda awatoroka waandishi

Aziza Masoud na Upendo Nkya (TUDARCO), Dar es Salaam

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

jana alilazimika kutumia mlango wa uani kuondokea badala ya ule mkuu kwa kile kinachohisiwa kuwakwepa waandishi wa habari waliokuwa wakifuatilia ufunguzi wa mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje na mazingira kutoka nchi za Afrika.

Pinda ambaye alikuwa akifungua mkutano huo, aliondoka mara tu baada ya kumaliza shughuli iliyompeleka huku akiacha kushiriki tukio la kupiga picha lililoandaliwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Maguri awatoroka kimtindo Kiiza, Ngoma

MSHAMBULIAJI wa Stand United, Elias Maguri juzi aliiwezesha Stand United kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi Mgambo Shooting wakati alipofunga bao la pekee kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

11 years ago

GPL

ALEX MASSAWE AWATOROKA POLISI, ALA KONA DUBAI

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa UONGOZZI mpya wa Jeshi la Polisi Tanzania chini ya IGP Ernest Mangu umesema unafuatilia kwa karibu nyendo za mfanyabiashara, Alex Massawe ili akamatwe na kumrejesha Bongo kukabiliana na kesi ya mauaji inayomkabili yeye na mfanyabishara mwingine, Marijani Abubakar Msofe ‘Papa Msofe’. Mfanyabiashara, Alex Massawe anayesakwa kwa kesi ya mauaji. Taarifa kutoka vyanzo...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU

 Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani), ndani ya Idara ya Habari MAELEZO,mapema leo jijini Dar kuhusiana na matokeo ya harambee ya Media Car Wash for Cancer Campaign, inayoendelea nchini.  Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani