ALEX MASSAWE AWATOROKA POLISI, ALA KONA DUBAI
![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDocQrLKB*t-fKVp-SWn2kGr0mreh*t119WmdMBaaYbI*yMJfN2eHlOc48XIkmps0xKITo8f0AFTuesZsb38cH6o/polisi.jpg)
Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa UONGOZZI mpya wa Jeshi la Polisi Tanzania chini ya IGP Ernest Mangu umesema unafuatilia kwa karibu nyendo za mfanyabiashara, Alex Massawe ili akamatwe na kumrejesha Bongo kukabiliana na kesi ya mauaji inayomkabili yeye na mfanyabishara mwingine, Marijani Abubakar Msofe ‘Papa Msofe’. Mfanyabiashara, Alex Massawe anayesakwa kwa kesi ya mauaji. Taarifa kutoka vyanzo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Papaa Msofe, Alex Massawe wahukumiwa
Papaa Msofe akiwa chini ya ulinzi wa polisi.
Deogratius Mongela na Chande Abdallah, Uwazi
DAR ES SALAAM: Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, imetoa hukumu kwa mfanyabiashara Marijani Abubakar, almaarufu Papaa Msofe, Alex Massawe na Makongoro Nyerere kwa kosa la kughushi hati ya umiliki wa nyumba iliyopo Mikocheni jijini Dar, mali ya marehemu Onesphory Kituly aliyeuawa kwa kupigwa risasi na majambazi mwaka 2011.
Kesi hiyo iliyonguruma kwa takribani miaka saba tangu 2007, ilifikia tamati Desemba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidV3D6oZztIW8HCRpY6u*AQ*WAkGJPekYd-tfb9bv3xwyeWOweF7SSkQCjlnV0T0rKRmNWKxYb0AKon8cGbL0ltx/massawe.jpg?width=650)
ALEX MASSAWE AFANYA KUFURU YA FEDHA SAUZI
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Polisi walaaniwa kila kona nchini
WADAU wa Habari nchini wamelaani kitendo cha askari polisi kuwapiga waandishi wa habari waliokuwa kwenye majukumu yao na kuitaka serikali kuchukua hatua stahili. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limeitaka serikali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YcoK8_vUeIQ/VnS5d26Iq5I/AAAAAAAINUk/XvBp4VzaOL4/s72-c/7389837a-7f4e-427d-9748-21651ba272b2.jpg)
WAZIRI KITWANGA ALA KIAPO CHA KUWA MWENYEKITI WA TUME YA UTUMISHI YA JESHI LA POLISI NA MAGEREZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YcoK8_vUeIQ/VnS5d26Iq5I/AAAAAAAINUk/XvBp4VzaOL4/s640/7389837a-7f4e-427d-9748-21651ba272b2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2rxhJM9YFao/VnS5d_vIJfI/AAAAAAAINUg/9y4RUXGZckI/s640/bddc4380-75c8-41ed-a62b-7ca7989b5fd9.jpg)
10 years ago
Mtanzania30 Aug
Pinda awatoroka waandishi
Aziza Masoud na Upendo Nkya (TUDARCO), Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
jana alilazimika kutumia mlango wa uani kuondokea badala ya ule mkuu kwa kile kinachohisiwa kuwakwepa waandishi wa habari waliokuwa wakifuatilia ufunguzi wa mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje na mazingira kutoka nchi za Afrika.
Pinda ambaye alikuwa akifungua mkutano huo, aliondoka mara tu baada ya kumaliza shughuli iliyompeleka huku akiacha kushiriki tukio la kupiga picha lililoandaliwa...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Maguri awatoroka kimtindo Kiiza, Ngoma
MSHAMBULIAJI wa Stand United, Elias Maguri juzi aliiwezesha Stand United kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi Mgambo Shooting wakati alipofunga bao la pekee kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RwHzwAjBXGg/VAR6mUGR6bI/AAAAAAAGZ9c/VWYnfHf7OdQ/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akutana na Mtendaji Mkuu wa Dubai Chamber of Commerce and Industry
![](http://3.bp.blogspot.com/-RwHzwAjBXGg/VAR6mUGR6bI/AAAAAAAGZ9c/VWYnfHf7OdQ/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
Katika mazungumzo, wamejadiliana uwezekano wa kuwa na ziara ya kibiashara kwenda Tanzania, kwa makampuni na viwanda vilivyopo Dubai, ili kukutana na wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda Tanzania, ili kujionea na kuibua fursa za uwekezaji. Wamekubaliana ziara hiyo ifanyike mwanzoni mwa mwaka kesho na hivyo basi kuanza maandalizi mapema.
Mwezi Novemba,...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/vNjHtuliLts/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s72-c/20140803_212527.jpg)
DRAGON MART YA DUBAI WAKUTANA TENA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
Nia yao pamoja na Wizara, ni kujenga kituo cha ubora( centre of excellency) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s1600/20140803_212527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5H_s3CSgjk0/U9-IxcuHcSI/AAAAAAAF9AA/PpTVzBauePk/s1600/20140803_200704.jpg)