ALEX MASSAWE AFANYA KUFURU YA FEDHA SAUZI
![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidV3D6oZztIW8HCRpY6u*AQ*WAkGJPekYd-tfb9bv3xwyeWOweF7SSkQCjlnV0T0rKRmNWKxYb0AKon8cGbL0ltx/massawe.jpg?width=650)
Video inayomuonesha mtu anayedaiwa kuwa Alex Massawe akiwa na kijana mmoja wakionyesha jeuri ya fedha nchini Afrika Kusini. Stori: Makongoro Oging’ WAKATI akisakwa kwa udi na uvumba na serikali ya Tanzania ili kuunganishwa katika kesi ya mauaji jijini Dar es Salaam, mfanyabiashara maarufu nchini, Alex Massawe anadaiwa kufanya jeuri ye fedha nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’.… WATCH VIDEO ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Papaa Msofe, Alex Massawe wahukumiwa
Papaa Msofe akiwa chini ya ulinzi wa polisi.
Deogratius Mongela na Chande Abdallah, Uwazi
DAR ES SALAAM: Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, imetoa hukumu kwa mfanyabiashara Marijani Abubakar, almaarufu Papaa Msofe, Alex Massawe na Makongoro Nyerere kwa kosa la kughushi hati ya umiliki wa nyumba iliyopo Mikocheni jijini Dar, mali ya marehemu Onesphory Kituly aliyeuawa kwa kupigwa risasi na majambazi mwaka 2011.
Kesi hiyo iliyonguruma kwa takribani miaka saba tangu 2007, ilifikia tamati Desemba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDocQrLKB*t-fKVp-SWn2kGr0mreh*t119WmdMBaaYbI*yMJfN2eHlOc48XIkmps0xKITo8f0AFTuesZsb38cH6o/polisi.jpg)
ALEX MASSAWE AWATOROKA POLISI, ALA KONA DUBAI
10 years ago
Mtanzania25 Apr
Ruge wa Escrow afanya kufuru Dar
Na Mwandishi Wetu, Dar
MAMILIONI ya shilingi yanadaiwa kutumika katika sherehe ya kuadhimisha miaka 70 ya kuzaliwa kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya VIP Engineering, iliyokuwa ikimiliki hisa za mitambo ya kufua umeme ya IPTL, James Rugemalira.
Shughuli hiyo inayodaiwa kufanyika nyumbani kwa mtoto wake aitwaye Eve, eneo la Makongo Juu, jijini Dar es Salaam katikati ya wiki iliyopita, iliwakusanya watu wasiopungua 70, wakiwemo watoto wake, wajukuu na baadhi ya marafiki wa familia hiyo.
Habari...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Bajeti ya Wizara ya Fedha ni kufuru
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPtP8jFzi7JSeMkkbbqhKP08P4iekyg6tblrwThI*VK1DqEn6470LXUgrPKk8NGExiP4eIJZuocvyHSw6TNG9dOB/DIAMOND26.jpg?width=650)
DIAMOND AONYESHA KUFURU YA FEDHA BETHIDEI YA MAMA YAKE
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Waziri wa Fedha afanya ziara ya kushtukiza Bandari Kavu
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiangalia kontena lenye shehena ya vitenge badala ya unga wa gypsum kama nyaraka zilivyoonyesha.
Baadhi ya wafanyabiashara wabainika kukwepa kulipa kodi kwa kuingiza bidhaa kutoka nje kupitia bandari ya Dar es Salaam, ambapo huandikisha taarifa na maelezo tofauti na bidhaa halisi zilizomo ndani ya makontena ili kuwawezesha kukwepa kodi kwa kulipia kiasi kidogo.
Kutokana na udanganyifu huo, Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya alifanya ziara ya kushtukiza...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HAPA KAZI TU: RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA ZIARA YA GHAFLA WIZARA YA FEDHA
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Waziri wa Fedha afanya ukaguzi wa matumizi wa mashine za EFD katika maduka mkoani Dodoma
Mh.Waziri wa Fedha Saada M. Salum (MB) akimsikiliza msimamizi wa duka la Salome Furniture wakati akijitetea baada ya kukutwa anafanya biashara bila ya kutumia mashine ya EFD.
Mh.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum amefanya ukaguzi wa ghafla katika baadhi ya maduka Mkoani Dodoma ili kuona kama maelekezo ya Serikali kuhusu matumizi ya mashine za EFD yanatekelezwa ipasavyo.
Katika ukaguzi huo ambao ulihusisha maduka ya kuuza thamani za majumbani,nguo na maduka ya kuuza bidhaa mchanganyiko (Min...
10 years ago
MichuziWaziri wa Fedha afanya ziara kwenye bandari kavu ya kampuni ya THR jijini Dar leo