Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POLENI MLIOACHWA, MLIOPIGWA NA KUNUNIWA PASAKA

Asante Mungu, muumba wa mbingu na ardhi kwa kuwa nimeiona Sikukuu ya Pasaka na leo ni Jumanne bado naendelea kuvuta pumzi yako, sifa na utukufu zikufikie.Wapenzi wasomaji wa safu hii napenda kuwakaribisha kwa mara nyingine tena kwenye mada yetu ya leo. Kwani ni wazi kuwa watu walio kwenye uhusiano wa kimapenzi watakuwa wameachwa, wamepigwa, wametengwa au wamenuniwa wakati wa sikukuu hii ya Pasaka. Kwa imani ya Kikristo kuanzia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WADAU POLENI NA MAJUKUMU, MSAADA TAFADHALI

Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live.Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).Christian Bella (kulia) akiwapa vionjo vya wimbo wake mpya wa 'NASHINDWA' wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni mmoja wa viongozi wa Malaika Band, X-Bass Babu Bomba.
Bella akitoa vionjo vya wimbo wa 'NANI KAMA MAMA' kwa wanahabari.Bella akiwa na Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi,...

 

10 years ago

GPL

MTOKO WA PASAKA WA GWT ULIVYOFANA SIKUKUU YA PASAKA

Waimbaji wa Glorious Worship Team (GWT) wakiwa stejini wakati wa kumsifu Mungu na kumwabudu. Glorious Worship Team wakizidi kumwabudu Mungu katika Ukumbi wa Victoria Petrol Station. Mpiga gitaa la sauti nzito (base) wa GWT, Emmanuel Materu akicharaza gitaa hilo. Pembeni yake ni…

 

11 years ago

Michuzi

KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO

Kikundi mahiri cha KAPOTIVE Star Singers- Bukoba,Wanayo furaha kuwatangazia kuwa kwa mapenzi ya Mungu, Tar. 20/04/2014 sikukuu ya Pasaka watakuwa na tamasha la Pasaka LINA’S CLUB -Bukoba, kuanzia saa 9 mchana hadi 2 usiku na kesho yake tar. 21/04/2014 Watakuwa katika mji wa Biharamulo. 
 Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani