Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WADAU POLENI NA MAJUKUMU, MSAADA TAFADHALI

Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live.Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).Christian Bella (kulia) akiwapa vionjo vya wimbo wake mpya wa 'NASHINDWA' wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni mmoja wa viongozi wa Malaika Band, X-Bass Babu Bomba.
Bella akitoa vionjo vya wimbo wa 'NANI KAMA MAMA' kwa wanahabari.Bella akiwa na Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MSAADA KWENYE TUTA TAFADHALI

Kuna siku nilihudhuria harusi moja kanisani na kitu kimoja kilinishangaza na kunifanya niwe na maswali mengi yasiyokua na majibu.
Siku hiyo Bwana harusi mtarajiwa aliwahi kanisani kama kawaida akiwemo bi harusi mtarajiwa nae alifika kanisani kwa muda unaotakiwa lakini gari lililomleta lilitakiwa kufuata watu wengine kwa ajili ya na kuwaleta kanisani na kwa maana hiyo harusi ndoa ingeweza fungwishwa mpaka watu hao wafike.
Bi. harusi mtarajiwa aliambiwa aningie ndani kanisani lakini aende nyuma...

 

5 years ago

Michuzi

WADAU WA MAENDELEO WEKENI MAZINGIRA RAFIKI KWA WANAHABARI KUTEKELEZA MAJUKUMU KIPINDI HICHI CHA CORONA


………………………………………………………….

Na Ahmed Mahmoud Arusha .
Imeelezwa kuwa Waandishi wa habari nchini wapo kwenye kipindi kigumu cha kutekeleza majukumu yao wakati huu wa mapambano ya Ugonjwa wa Covid 19 kiuchumi na wadau wametakiwa kujitokeza kusaidia kada hiyo ili iweze kutoa taarifa sahihi na kweli.

Kwa mujibu wa Mdau wa maendeleo jijini Arusha Mwanasheria Maarufu Albert Msando na mmiliki wa The Don ambaye ametoa Barakoa na vitakasa mikono kwa klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Arusha (APC) ikiwa...

 

10 years ago

Michuzi

MSAADA TUTANI WADAU

Leo katika pitapita zangu nikitokea Barabara ya Msimbazi kuelekea Mjini,kushoto kuna kibao kinachozuia magari yanayotoka barabara hiyo kwenda mjini na hapo hapo kuna mchoro mwingine unaoonyesha kuwa anataka kuelekea mjini basi aende mbele na azunguke kama inavyoonekana hapo pichani.lakini kinachonimiksi mie ni namna gani naenda kuipiga hiyo kyuutani????

 

10 years ago

GPL

POLENI MLIOACHWA, MLIOPIGWA NA KUNUNIWA PASAKA

Asante Mungu, muumba wa mbingu na ardhi kwa kuwa nimeiona Sikukuu ya Pasaka na leo ni Jumanne bado naendelea kuvuta pumzi yako, sifa na utukufu zikufikie.Wapenzi wasomaji wa safu hii napenda kuwakaribisha kwa mara nyingine tena kwenye mada yetu ya leo. Kwani ni wazi kuwa watu walio kwenye uhusiano wa kimapenzi watakuwa wameachwa, wamepigwa, wametengwa au wamenuniwa wakati wa sikukuu hii ya Pasaka. Kwa imani ya Kikristo kuanzia...

 

5 years ago

Michuzi

INSPIRATIONAL WOMEN GROUP NA WADAU MBALIMBALI WATOA MSAADA WA TAULO ZA KIKE MKULIMA SEKONDARI

Editha Karlo,Kigoma.
ASASI ya kijamii ya Inspirational women Group wametoa msaada wa taulo za kike kwa kushirikiana na shirika la msalaba mwekundu Tanzania (red Cross)na wadau mbalimbali kwa wanafunzi wa kike 150 wa sekondari ya Wakulima iliyopo Mkoani Kigoma katika Manispaa ya Kigoma ujiji.

Akitoa mada juu ya hedhi salama kwa mtoto wa kike Mwenyekiti wa women inspirational Aisha John kabla ya kugawa taulo hizo alisema kuwa mtoto wa kike anapokuwa kwenye hedhi anatakiwa awe na amani muda...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

UJUMBE MUHIMU SAA 24 ZIJAZO TAFADHALI SAMBAZA

Kuna taarifa watu wanakamatwa wakikusanyika makundi tu , Polisi Zanzibar imeshatoa tamko kuwa Huruhusiwi mkusanyiko zaidi ya watu wa TATU au vyombo vyake vitachukua hatua .. Epuka mazungumzo ya siasa hasa kwenye madaladala ,maskani, sokoni ,madukani […]

The post UJUMBE MUHIMU SAA 24 ZIJAZO TAFADHALI SAMBAZA appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMA UNAWEZA KUMSAIDIA HUYU MTOTO TAFADHALI SAIDIA UPUNGUZE MAUMIVU YAKE

Hajira Twalib Mdoka akiwa mwenye maumivu makali baada ya kuugua ugonjwa wa kansa.Hajira Twalib akiwa amelala kitandaniAkinyweshwa soda na babu yake Akibebwa na Babu yakeHajiraakiwa mtoto.
Stori: Makongoro Oging’
“Hali niliyonayo kiafya kwa sasa ni ya kutia mashaka, sina muda mrefu kuendelea kuishi hapa duniani, nikifikiria ninavyoteseka ndani ya familia yangu nikichanganya na maumivu ya ugonjwa usiopata matibabu, naamini bila msaada wenu nitafariki dunia.”

Hivyo ndivyo alivyoanza kusimulia...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND NA PARTY YA UHURU WASHINGTON DC...KAMA HUJANUNUA TICKET TAFADHALI WAHI NAFASI ZIKIJAA TU BASI TENA.

    
TANZANIA ALL STARS -WIMBO MAALUMU WA MIAKA 53 YA UHURU 
$100 (INCLUSIVE)3 COURSE  DINNERBOTTLE OF CHAMPAGNE PER TABLELIVE ENTERTAINMENTCELEB AFRICA TV RED CARPET COVERAGERE KNOWN PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER FREE PARKINGCASH BARSPONSORSHIP  LEVELS STILL AVAILABLE TICKET ZINAPATIKANASAFARI RESTAURANT4306 GEORGIA AVENUE,NWWASHINGTON,DC,20011ORONLINEWWW.DIAMONDUSATOUR.COMORCALL   301-661-6207 *DMK GLOBAL   240-603-7353*LATIFA MZESE     240-764-9970*JULIA NYERERE        202-830-8970*ATHUMANI...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani