Prisons yaichapa JKT Ruvu 6-0
Tanzania Prisons imeiadhibu JKT Ruvu kwa kuichapa 6-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziYANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU, YAICHAPA 2-0

Hadi filimbi ya mwisho Yanga 2, JKT Ruvu.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi
YANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA BAO 3 - 1



BOFYA HAPA KUONA PICHA...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI: EAMCEF, JKT Ruvu wadhamiria kutunza Mto Ruvu
MAZINGIRA ni suala mtambuka, kila mtu kwa nafasi yake anatakiwa kuwajibika kuhakikisha dunia inakua mahali salama pa kuishi. Uwajibikaji wetu licha ya kutunza mazingira, naamini utaongeza pia siku za kuishi...
11 years ago
Vijimambo28 Sep
YANGA YAICHAPA 2-1 PRISONS

Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeipata ushindi wake wa kwanza kwenye VPL baada ya kuichapa timu ya maafande wa jeshi la Magereza nchini Prisons kwa mabao 2- 0 kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo kiliingia uwanjani kwa lengo la kusaka pointi muhimu kutokana na kuwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa ufunguzi dhidi ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania