RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAGENI KUTOKA CHINA NA OMAN LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NPqII2yU4gE/U6cc2wfSNeI/AAAAAAACkGY/I-6sto-xeK8/s72-c/c2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Dkt Anne Suk-Ching, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Chama Tawala cha Jamhuri ya Watu wa China baada ya kukutana naye Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 22, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Dkt Anne Suk-Ching, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Chama Tawala cha Jamhuri ya Watu wa China aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 22, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mhe Saoud Ali Mohamed Al Ruqaishi, Balozi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-mWUvP40e7mw/VmLA5gEoqsI/AAAAAAAAr_k/3nNBtf6NqCE/s72-c/1A.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE, KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG, AHUTUBIA LEO MKUTANO WA MWISHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mWUvP40e7mw/VmLA5gEoqsI/AAAAAAAAr_k/3nNBtf6NqCE/s640/1A.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bgU4Z_pzN3Q/VmLBKyC9kMI/AAAAAAAAr_w/CsNTJfq8pPQ/s640/2..jpg)
Makamu wa...
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na kuzungumza na mabalozi wa Oman na Syria nchini Tanzania Ikulu Dar leo
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Syria nchini Tanzania, Abdulmonem Annan, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 3, 2014 kwa mazungumzo. (Picha na OMR).
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Syria nchini Tanzania, Abdulmonem Annan, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 3, 2014 kwa mazungumzo.
11 years ago
MichuziRais kikwete akutana na Makamu wa Rais wa China pamoja na Mmiliki wa kampuni ya Dangote
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-opK39gMHe98/UvTXKm6YruI/AAAAAAAFLl4/ddike4NRDho/s72-c/unnamed+(60).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais wa Kampuni ya TBEA ya China,pia afanya mazungumzo na Lord Mandelson
![](http://2.bp.blogspot.com/-opK39gMHe98/UvTXKm6YruI/AAAAAAAFLl4/ddike4NRDho/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U8dJSU1-nY0/UvTXKxUEPyI/AAAAAAAFLl8/hhntsNi5e4Q/s1600/unnamed+(61).jpg)
9 years ago
CCM BlogRAIS DK. MAGUFULI AKUTANA NA WAGENI MBALIMBALI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO, NI MUFT, GAC, BULEMBO NA DPP.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9uzKdIlRI/U2spBSsniRI/AAAAAAAFgMg/PP7iTvqEbNQ/s72-c/c1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA CHINA JIJINI ABUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9uzKdIlRI/U2spBSsniRI/AAAAAAAFgMg/PP7iTvqEbNQ/s1600/c1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zf-YNpTl-uA/U2spB2C1utI/AAAAAAAFgMk/TPKamCUL8Ck/s1600/c2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XlqZT0OVHUE/U2spB0TiOvI/AAAAAAAFgMs/ahKIR1cW0hE/s1600/c3(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-595V2EAOnxE/U0fbVtPIOsI/AAAAAAAFZ94/4Tzsn1l9Yxw/s72-c/D92A2654.jpg)
Rais Kikwete akutana na Balozi wa Canada nchini Tanzania Ikulu jijini Dar leo,Pia akutana na Mwenyekiti wa SAGCOT Fund
![](http://2.bp.blogspot.com/-595V2EAOnxE/U0fbVtPIOsI/AAAAAAAFZ94/4Tzsn1l9Yxw/s1600/D92A2654.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YIhJ306_WXY/U0fbnaRrL4I/AAAAAAAFZ-A/ArXu96g56WM/s1600/D92A2676.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lt-UGThwSvc/U0fcFTZv5GI/AAAAAAAFZ-Y/p6G3IZXoNkU/s1600/D92A2950.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, Jijini Johannesburg
![](http://4.bp.blogspot.com/-AkL0QtdmB4A/VmK0CsPBvsI/AAAAAAACmgc/UUSipBl0myQ/s640/1A.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015. ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo . (Picha Zote na OMR).
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOQXFKY8Vuo/VmK0CY4NgMI/AAAAAAACmgY/FF5YsBNaPQU/s640/2..jpg)
Makamu...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10