Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete aongoza mahafali ya tau National Defence College

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi na medali ya dhahabu ya mwanafunzi bora katika kozi ya tatu ya National Defence College(NDC) Brigedia Jenerali Aloyce Damian Mwanjile wakati wa mahafali iliyofanyika chuoni huko Kunduchi jijjini Dar es Salaam leo(picha na Freddy Maro)Amiri Jeshi Mkuu ,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja n wahitimu wa kozi ya Tatu ya Chuo Cha Ulinzi wa Taifa(National Defence College NDC) huko Kunduchi jijini Dar es Salaam leo.Aliyeketi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKABIDHI VITABU CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA(NATIONAL DEFENCE COLLEGE)

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange vitabu kwaajili ya Chuo Cha ulinzi cha Taifa National Defence College(NDC) katika hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo.Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho cha NDC Meja Jenerali Gaudence Milanzi.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue,Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange,Mkuu wa Chuo Cha NDC Meja Jenerali Gaudence Milanzi...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA NATIONAL DEFENCE HEADQUARTERS

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua kitambaa wakati wa uwekaji jiwe la msingi la Ujenzi wa National Defence Headquarters huko Lugalo jijini Dar es Salaam leo.Kushoto ni Mkuu wa majeshi ya Ulinzi  Jenerali Davis Mwamunyange,Watatu Kushoto ni Waziri wa Ulinzi Dkt.Huessein Ali Mwinyi na kulia ni Bwana Hu mwakiklkishi wa kampuni ya ujenzi kutoka China. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange akimuonyesha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mchoro wa majengo ya...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete aongoza mahafali ya Tatu ya Chuo Cha Ulinzi wa Taifa (NDC) Jijini Dar leo

Amiri Jeshi Mkuu ,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa kozi ya Tatu ya Chuo Cha Ulinzi wa Taifa (National Defence College NDC) huko Kunduchi jijini Dar es Salaam leo.Aliyeketi Pembeni ya Rais kulia ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange na aliyeketi pembeni ya Rais Kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Meja Jenerali Gaudence Salim Milanzi. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi na medali ya dhahabu ya mwanafunzi bora katika kozi...

 

11 years ago

TheCitizen

EDITORIAL: Viva defence college

>In the years of yore, imposing physique, and readiness to die in battle were considered major credentials for a successful career in the armed forces. Over time,  people have become more enlightened; that, the Tanzania People’s Defence Forces (TPDF) have to be operated by well-trained, and retrained personnel.

 

11 years ago

IPPmedia

JK officiates as defence college confers first MA, diplomas


JK officiates as defence college confers first MA, diplomas
IPPmedia
President Jakaya Kikwete conferred to 30 graduands various academic honours in security and strategic studies, mostly Masters of Philosophy degree in Security and Strategic Studies at the National Defence College yesterday. Eight graduands were ...

 

11 years ago

GPL

MAHAFALI YA 13 YA DAR CITY COLLEGE

Mkurugenzi Mtendaji wa Dar City College, Idrisa Mziray, kushoto akimpokea mgeni rasmi. Mziray na Mjumbe wa bodi ya chuo hicho, Gidion Chipungahero 'Chips'(kushoto) wakimkaribisha mgeni rasmi kwenye mahafali hayo.…

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Top Leaders Go for Defence of Govt of National Unity


Daily News
Top Leaders Go for Defence of Govt of National Unity
AllAfrica.com
Zanzibar — ARGUABLY the main topic under discussion in many leisure centres (famous as vijiwe or baraza, or maskani) in Zanzibar is about the future of the Government of National Unity (GNU). This government was created in 2010 to bury political ...
Isles keen on ensuring securityDaily News

all 3

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete aongoza mazishi ya Liundi

RAIS Jakaya Kikwete amewaongoza waombolezaji wakiwemo mawaziri na viongozi mbalimbali wa serikali na wa kidini kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa Msajili wa kwanza wa Vyama vya Siasa nchini,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete aongoza mazishi ya mbunge

RAIS Jakaya Kikwete ameongoza mamia ya wakazi wa Chalinze, Pwani kwenye mazishi ya mbunge wao, Said Bwanamdogo, aliyezikwa kwenye Kata ya Mioni, Bagamoyo. Bwanamdogo alifariki dunia Januari 22 mwaka huu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani