RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KUFUATIA KIFO CHA MKE WA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI
![](http://api.ning.com:80/files/1TxjyclNmzt*zl72rtuJ-bWdIeTeYjCKCKCQb3jUvriWtZYt6cf5VZ-VLauQAyoB3FV-I3BgIJBkUFMnOf3Uhte4ckm*GBlL/IKULU.png?width=650)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Jaji Mstaafu na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mheshimiwa Damian Zefrin Lubuva kufuatia kifo cha Mke wake, Mama Martha Peter Lubuva kilichotokea tarehe 17 Januari, 2014 katika Hospitali ya Apollo iliyoko New Delhi nchini India alikopelekwa kwa matibabu akisumbuliwa na ugonjwa wa Kisukari. “Nimeshtushwa,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-E/VHcc-oRU5_w/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KUFUATIA KIFO CHA Mwenyekiti wa Chama Cha Madereva Tanzania (TADWU)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-E/VHcc-oRU5_w/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Katika salamu hizo Rais Magufuli amesema taifa limempoteza mtu shupavu, mkweli, makini na aliyependa kupigania haki pale alipoamini kuwa panastahili haki hiyo na alithibitisha kwa kupigania uanzishwaji wa...
11 years ago
Michuzi02 Jul
9 years ago
Michuzi19 Oct
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBI LAMBI KUFUATIA KIFO CHA FILIKUNJOMBE
Katika salamu zake za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Anna Semamba Makinda, Rais Kikwete...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wCHZhJTRbPI/VkhRSl8IZDI/AAAAAAAIF6E/9lEiEbWlSns/s72-c/MAWAZO1-page-001.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YAtBRN9Rqbg/Vklb9yKD1FI/AAAAAAAIGFw/m8d36HDQ1Ps/s72-c/download.png)
Salamu za Rambi rambi kufuatia Kifo cha mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita Ndugu Alphonse mawazo
![](http://1.bp.blogspot.com/-YAtBRN9Rqbg/Vklb9yKD1FI/AAAAAAAIGFw/m8d36HDQ1Ps/s1600/download.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a61NWldA4SM/Xq6NU05kGaI/AAAAAAALo44/5JuL3ZaBZWk0ipmbX0Xpk4vgoRBeJ6tagCLcBGAsYHQ/s72-c/DK%2BSHEIN.jpg)
DKT SHEIN AMTUMIA SALAMU ZA RAMBI RAMBI RAIS MAGUFULI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MAHIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-a61NWldA4SM/Xq6NU05kGaI/AAAAAAALo44/5JuL3ZaBZWk0ipmbX0Xpk4vgoRBeJ6tagCLcBGAsYHQ/s640/DK%2BSHEIN.jpg)
Balozi Mahiga alifariki nyumbani wake Mjini Dodoma baada ya kuugua hafla ambapo alipofikishwa hospitali tayari alikwishapoteza uhai na kuzikwa jana Mkoani Iringa.
Katika salamu hizo Dk. Shein alisema amepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa ya kifo cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K_sHhB9-qBg/Xpa9VCrbrjI/AAAAAAALnAc/-Vyzvh02fVQZqR0YwZ-FC39YbQxHgjPnACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5cQmLYZJXp8/VARp3HoLi_I/AAAAAAAGZ0Y/Pk8ftvnT0PE/s72-c/New%2BPicture.png)
JK ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA MKUU WA MKOA WA MBEYA KUFUATIA AJALI MBAYA ILIYOTOEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5cQmLYZJXp8/VARp3HoLi_I/AAAAAAAGZ0Y/Pk8ftvnT0PE/s1600/New%2BPicture.png)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mheshimiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pI-srGR1f1g/U_MWNC-xCUI/AAAAAAAGArM/vwRy04yWoX8/s72-c/LewisJaji.jpg)
Rais Kikwete atumia Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Lewis Makame
![](http://4.bp.blogspot.com/-pI-srGR1f1g/U_MWNC-xCUI/AAAAAAAGArM/vwRy04yWoX8/s1600/LewisJaji.jpg)
Marehemu Jaji Mstaafu,Lewis Makame enzi za uhai wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, National Electoral Commission (NEC) kufuatia taarifa za kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame kilichotokea katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014.
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za...