Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete awatolea uvivu Takukuru, DPP

rais-kikweteNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ameijia juu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) na Jeshi la Polisi kwa kusema kuwa wana viherehere vya kukurupuka, kuwakamata watu na kuwafikisha mahakamani bila ushahidi unaojitosheleza.

Rais Kikwete alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, katika maadhimisho ya Siku ya Sheria ikiwa ni mara yake ya nane na ya mwisho kuhudhuria hafla hiyo akiwa kiongozi wa nchi.

Alisema ofisi ya DPP,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Shein awatolea uvivu CUF

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema hakuna kundi au mtu mwenye uwezo wa kuipindua Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) au ile Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na atakayethubutu kuwaza au kupanga jambo hilo atakiona cha moto.

 

11 years ago

GPL

MZEE CHILO AWATOLEA UVIVU WASANII

Na Brighton Masalu
MSANII mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo, Ahmed Ollotu ‘Mzee Chilo’ amewatolea uvivu wasanii wasiopenda kushirikiana na wenzao katika matatizo na kuwaonya kuwa tabia hiyo si nzuri kwani ipo siku itawaponza. Ahmed Ollotu ‘Mzee Chilo’. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni katika mahojiano maalumu, Chilo aliyejizolea heshima na umaarufu mkubwa katika fani hiyo, alikiri kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto awatolea uvivu wanaomwita kibaraka wa CCM

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kama angekuwa ni msaliti na kibaraka wa Chama cha Mapinduzi (CCM), asingeweza kuongoza mapambano ya kuwang’oa mawaziri 13 kwa miaka mitatu katika Serikali ya Rais Jakaya Kikwete.

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza Awatolea Uvivu Wanaoponda ‘Kivazi Chake’!

Staa wa Bongo Moive, Faiza Ally amewatolea uvivu watu wanaomponda kwa kivazi chake alichovalia kwenye  ‘Zari All White Party’ iliyofanyika hivi majuzi, kwa kubandika picha akiwa na kivazi hicho mtandaoni na kufunguka haya;

“Bado napenda muonekano wangu hata mkiponda vipi! Nikiangalia picha zangu naona mm ndio kiboko yenu kudadeki  maana kila kona it's all about me hahahaaa which is good I like that ..... sina tatizo na nyota wallah”

Nadhani ujumbe umefika.

Mzee wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kajala Awatolea Uvivu Waliozikosoa Picha Zake, Eti Hazina Maadili

Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la Kiafrika zaidi, Kajala Masanja aliamua kuwatolea uvivu baadhi ya mashabiki wachache ambao walikuwa wakimshabulia kwa –comments kuwa picha hizi alizoziweka mtandaoni akiwa ufukweni, hazina maadili kwasababu amevaa nguo ambazo zinaonyesha sehemu kubwa ya mwili wake.

Baada ya mjadala wa picha zake kupamba moto huku wengine wakiona zipo sawa na wachache wakisema kuwa hazina maadili, Kajala aliingilia kati na kufafanua kuwa picha hizo alipiga wakati akiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

WEMA SEPETU AWATOLEA UVIVU WANAOSEMA ANA MIGUU MIBAYA NA MAKOVU


Staa wa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu amewatolea uvivu baadhi ya watu ambao wameibuka kwa wingi mtandaoni wakiitoa karoso miguu ya staa huyo mara baada ya Wema kuweka picha kadhaa akiwa amevaa sketi amabayo inaonyesha miguu yake.“Naomba niwaulize nyinyi mnaojiona miungu watu.... Mlitaka nijiongeze nyama miguuni kwangu au...? Ndo ilivyo na kuacha kuvaa nguo za kuionesha siwezi... Ntavaa tu... Yaani wala siwezi acha... Iwe mibaya iwe ina makovu iwe na michirizi ni ya Wema Sepetu... na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Magufuli azidi kuibomoa CHADEMA Kilimanjaro, awatolea uvivu watendaji TANESCO

 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Moshi mjini Ndugu Davis Mosha kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Mashujaa,mkoani Kilimanjaro jioni ya leo.PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-KILIMANJARO.  Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM
Dk. John Pombe Magufuli na mgombea ubunge wa jimbo la Moshi mjini Ndugu
Davis Mosha wakimsikiliza Bw. Lema aliyekuwa Katibu wa Chadema
wilaya ya Hai wakati alipojiunga na...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AZIDI KUIBOMOA CHADEMA KILIMANJARO,AWATOLEA UVIVU WATENDAJI WA SHIRIKA LA UMEME NCHINI

 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Moshi mjini Ndugu Davis Mosha kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Mashujaa,mkoani Kilimanjaro jioni ya leo. Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli na mgombea ubunge wa jimbo la Moshi mjini Ndugu Davis Mosha wakimsikiliza Bw. Lema aliyekuwa Katibu wa Chadema wilaya ya Hai wakati alipojiunga na CCM katika mkutano huo.
 Mgombea ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani