Kajala Awatolea Uvivu Waliozikosoa Picha Zake, Eti Hazina Maadili
Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la Kiafrika zaidi, Kajala Masanja aliamua kuwatolea uvivu baadhi ya mashabiki wachache ambao walikuwa wakimshabulia kwa –comments kuwa picha hizi alizoziweka mtandaoni akiwa ufukweni, hazina maadili kwasababu amevaa nguo ambazo zinaonyesha sehemu kubwa ya mwili wake.
Baada ya mjadala wa picha zake kupamba moto huku wengine wakiona zipo sawa na wachache wakisema kuwa hazina maadili, Kajala aliingilia kati na kufafanua kuwa picha hizo alipiga wakati akiwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTG3P7mAsrJHPMh9ZBsz5EEVNkD*5OpmDq7bpZYQRbM1eiO7zB42DDYZa7pDPiHoGFVNtwxDLMP1v6Bi3cyQaUwy/ADEBAYOR1.jpg)
EMMANUEL ADEBAYOR AWATOLEA UVIVU NDUGU ZAKE, ATUMA UJUMBE MZITO FACEBOOK AKIELEZA MAZURI ALIYOWAFANYIA
10 years ago
Vijimambo07 May
EMMANUEL ADEBAYOR AWATOLEA UVIVU NDUGU ZAKE, AWATUMA UJUMBE MZITO KUPITIA FACEBOOK JITIRIRIKIE HAPO CHINI
![](http://api.ning.com/files/LDRZ*VdxUTHq6kh*YmWuM4XVW-X0fFUN6E5huDhEWkflZjcnopxdLB1rZHYF0SDzxmTgUEiOwAh4RYVvoUS*E1y1lpqlTHP9/adebayor.jpg)
Adebayor ameamua kuandika ujumbe mzito kwenye ukurasa wake wa Facebook akikana tuhuma ambazo amekuwa akitupiwa na ndugu zake huku akiweka wazi mambo yote mazuri aliyoitendea familia yake.
Staa huyo pia aliwahi kukana tuhuma alizotupiwa na dada yake kwamba alimfukuza mama yaka mzazi kwenye nyumba yake kwa tuhuma za ushirikina...
10 years ago
Habarileo12 Jan
Shein awatolea uvivu CUF
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema hakuna kundi au mtu mwenye uwezo wa kuipindua Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) au ile Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na atakayethubutu kuwaza au kupanga jambo hilo atakiona cha moto.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOJadcLo85Aq*-gp4x2ybwYrTmFwy*bF1IlOmgzlDr2FHAbSwLXPWF9zwvFCPxlCspk1iYkz9*fDoLgRw3leAxZk/mzeechilo.jpg?width=650)
MZEE CHILO AWATOLEA UVIVU WASANII
10 years ago
Bongo Movies04 May
Faiza Awatolea Uvivu Wanaoponda ‘Kivazi Chake’!
Staa wa Bongo Moive, Faiza Ally amewatolea uvivu watu wanaomponda kwa kivazi chake alichovalia kwenye ‘Zari All White Party’ iliyofanyika hivi majuzi, kwa kubandika picha akiwa na kivazi hicho mtandaoni na kufunguka haya;
“Bado napenda muonekano wangu hata mkiponda vipi! Nikiangalia picha zangu naona mm ndio kiboko yenu kudadeki maana kila kona it's all about me hahahaaa which is good I like that ..... sina tatizo na nyota wallah”
Nadhani ujumbe umefika.
Mzee wa...
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Rais Kikwete awatolea uvivu Takukuru, DPP
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ameijia juu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) na Jeshi la Polisi kwa kusema kuwa wana viherehere vya kukurupuka, kuwakamata watu na kuwafikisha mahakamani bila ushahidi unaojitosheleza.
Rais Kikwete alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, katika maadhimisho ya Siku ya Sheria ikiwa ni mara yake ya nane na ya mwisho kuhudhuria hafla hiyo akiwa kiongozi wa nchi.
Alisema ofisi ya DPP,...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
Zitto awatolea uvivu wanaomwita kibaraka wa CCM
10 years ago
Bongo Movies19 Sep
Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka
Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!
Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...