Rais Magufuli amtumia Mwenyekiti wa TADWU Â salamu za rambirambi
Rais John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mwenyekiti wa Chama cha Madereva Tanzania TADWU kutokana na kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho Rashid Salehe kilichotokea tarehe 20 Novemba mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Katika salamu hizo Rais Magufuli amesema Taifa limempoteza mtu shupavu, mkweli, makini na aliyependa kupigania haki pale alipoamini kuwa panastahili haki hiyo na alithibitisha hilo kwa kupigania uanzishwaji wa Chama cha Madereva na kusimama...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi kwa Rais Kikwete

Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India. Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya...
9 years ago
Michuzi
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi Rais Kikwete kwa kufiwa na Dada yake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India.
Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na mtu muhimu kwa familia."Kwa masikitiko makubwa nakupa...
9 years ago
Habarileo16 Nov
Magufuli amtumia Hollande salamu za rambirambi
RAIS John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Ufaransa, François Hollande, kutokana na tukio la kigaidi la mashambulizi kadhaa yaliyotokea nchini humo mwishoni mwa wiki jijini Paris.
9 years ago
Michuzi
RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KUFUATIA KIFO CHA Mwenyekiti wa Chama Cha Madereva Tanzania (TADWU)

Katika salamu hizo Rais Magufuli amesema taifa limempoteza mtu shupavu, mkweli, makini na aliyependa kupigania haki pale alipoamini kuwa panastahili haki hiyo na alithibitisha kwa kupigania uanzishwaji wa...
11 years ago
Michuzi.bmp)
Rais Kikwete amtumia salamu za rambirambi mkuu wa mkoa wa arusha kufuatia vifo vya watu katika ajali iliyotokea jijini humo
.bmp)
“Nimeshtushwa na kusikitishwa sana kutokana na ajali hii mbaya ambayo kwa ghafla imeondoa uhai wa wenzetu 12 wasio na hatia kutokana na...
5 years ago
CCM Blog
RAIS MAGUFULI AMTUMIA SALAMU ZA PONGEZI RAIS MPYA WA BURUNDI

Rais Magufuli ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter, na kuongeza kuwa wananchi wa Burundi wameonesha imani kubwa kwa kumchagua kiongozi hiyo.
“Nakupongeza Ndg. Evariste Ndayishimiye kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Burundi. Wananchi wa Burundi wameonesha imani kubwa kwako,” ameandika Rais Magufuli.
Aidha, amewatakia heri wananchi katika shughuli za ujenzi wa...
10 years ago
Habarileo08 Nov
JK amtumia salamu za rambirambi Bendera
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera kwa vifo vya watu 12 waliokufa papo hapo na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa kutokana na ajali ya barabarani.
11 years ago
Habarileo18 Dec
JK amtumia RC Mwanza salamu za rambirambi
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo, kutokana na mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa huo, Clement Mabina na Tenery Malimi.
5 years ago
CCM Blog
RAIS MAGUFULI AMETUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI

