Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi Ajali ya Basi la New Force Iringa
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi. Amina Masenza kufuatia ajali ya basi la kampuni ya New Force kugongana na lori, na kusababisha vifo vya watu 12, na wengine 15 kulazwa Hospitali.
Ajali hiyo imetokea tarehe 18 Desemba, 2015 Majira ya saa nane mchana katika Kijiji cha Mahenge, Wilaya ya Kilolo Mkoani IRINGA ambapo Basi la kampuni ya New Force lenye namba T 483 CTF lililokuwa limebeba abiria 49 limegongana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM01 Aug
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI AJALI YA BASI LA MORO BEST
Katika ajali hiyo, watu 13 walifariki katika eneo la ajali, na majeruhi wapatao 56 walifikishwa hospitalini. Kati ya majeruhi hao hadi sasa waliolazwa ni 30 na wengine wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.
Rais amemuomba Dkt. Nchimbi kumfikishia...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9CAnKjexaVk/Xqfs2HWYq5I/AAAAAAAC4GU/3J-GbHnKlMIqeJ3xeFtv3uZ6-cxxjumRQCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
10 years ago
Michuzi04 Mar
5 years ago
CCM Blog9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cm3KPQlwFgg/Vnb6WIQoZkI/AAAAAAADD8U/BA1aIqqyxcQ/s72-c/Adam_na_Hawa%2Btanzania.jpg)
Rais Magufuli atuma salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Askofu Nkalanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cm3KPQlwFgg/Vnb6WIQoZkI/AAAAAAADD8U/BA1aIqqyxcQ/s1600/Adam_na_Hawa%2Btanzania.jpg)
Simu: 255-22-2114512, 2116898E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425
OFISI YA RAIS, IKULU, 1 BARABARA YA BARACK OBAMA, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa kufuatia kifo cha Askofu Mstaafu Plasdus Gervas Nkalanga...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sMbzTU1E1FQ/U_XuhfUJN9I/AAAAAAAGBLA/ATp2sugQBMY/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-06-21%2Bat%2B5.17.07%2BPM.png)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA TABORA KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA HIVI KARIBUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-sMbzTU1E1FQ/U_XuhfUJN9I/AAAAAAAGBLA/ATp2sugQBMY/s1600/Screen%2BShot%2B2014-06-21%2Bat%2B5.17.07%2BPM.png)
Ajali hiyo iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo Wilayani Sikonge, ilihusisha basi la abiria la Kampuni ya Sabena lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza ambalo lililogongana uso kwa uso na basi lingine la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mEbZaeiJbfU/Xp1yGICDVTI/AAAAAAAEGxw/JI_QDRZq5ZAGiksfNsSvQuMq4XMmigg4QCLcBGAsYHQ/s72-c/0934bd00-b6ba-42c7-94a6-75d819d48a61.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RisAk2hnfVI/Xql81Vkb3TI/AAAAAAALokQ/GfwF6Q15t0QdRzgS4E_NSC7b_rPARY4MACLcBGAsYHQ/s72-c/magufuli_2.jpg)
Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mbunge Mhe. Ndassa
![](https://1.bp.blogspot.com/-RisAk2hnfVI/Xql81Vkb3TI/AAAAAAALokQ/GfwF6Q15t0QdRzgS4E_NSC7b_rPARY4MACLcBGAsYHQ/s640/magufuli_2.jpg)
Mhe. Ndassa amefariki dunia ghafla leo tarehe 29 Aprili, 2020 Jijini Dodoma.Mhe. Rais Magufuli amesema “Nimesikitishwa na taarifa za kifo cha ghafla cha Mhe. Ndassa, nakumbuka mimi na yeye tulianza...