Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Magufuli tutengenezee mifumo - Zitto

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemshauri Rais  John Magufuli kutengeneza mfumo utakaowalazimisha watumishi wa umma kuwajibika  badala ya kuvamia maofisini na kuwawajibisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI


RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.

Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...

 

9 years ago

GPL

ZITTO AMTWISHA MAGUFULI MAMBO 10

Mbunge Mteule wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe. Mbunge Mteule wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameelezea mambo 10 ambayo Rais Dk. John Magufuli, anapaswa kuyafanya ili kuweka misingi ya mabadiliko nchini. Moja ya mambo ambayo ameandika kwenye waraka wake jana, Zitto amemshauri Rais Dk. Magufuli kuweka wazi mikataba yote  ya rasilimali za nchi.   "Kuna wakati Thomas...

 

9 years ago

Mwananchi

Zitto ampasha Dk Magufuli mambo 14

Wakati Rais John Magufuli akianza kuchukua hatua za kudhibiti matumizi ya Serikali, wasomi na wanasiasa wamemtajia mambo 14 ambayo wamesema akiyazingatia atalinusuru Taifa dhidi ya gharama zisizo za lazima.

 

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye  leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan...

 

9 years ago

TheCitizen

Zitto to Magufuli: Do this to bring positive change

Kigoma Urban MP-elect Zitto Kabwe says President John Magufuli needs to work on ten issues to bring about positive change in the country.

 

9 years ago

Mwananchi

Zitto: ACT - Wazalando itashirikiana na Magufuli

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amesema chama cha ACT-Wazalendo kitashirikiana na Rais John Magufuli katika vita dhidi ya ufisadi.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Zitto to Magufuli - Do This to Bring Positive Change


Zitto to Magufuli - Do This to Bring Positive Change
AllAfrica.com
Dar es Salaam — Kigoma Urban MP-elect Zitto Kabwe says President John Magufuli needs to work on ten issues to bring about positive change in the country. Mr Kabwe, who is also the ACT-Wazalendo party leader, said yesterday that Dr Magufuli could ...

 

9 years ago

TheCitizen

Zitto calls out Lowassa, Magufuli on false promises

Zitto expressed disapproval of the manner in which both presidential hopefuls are running their campaigns while knowing full well it is near impossible for them to honor their pledges.

 

9 years ago

TheCitizen

Zitto accuses Lowassa, Magufuli of deceiving voters

ACT-Wazalendo party leader Zitto Kabwe has accused presidential hopefuls John Magufuli of CCM and Edward Lowassa of Chadema of deceiving voters in their campaigns.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani