Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS WA GHANA: NATUMAI MAUAJI YA FLOYD YATACHOCHEA MABADILIKO MAREKANI

Rais wa Ghana: Natumai mauaji ya Floyd yatachochea mabadiliko Marekani Rais wa Ghana ameashiria kuhusu mauaji ya kutisha ya Mmarekani mmoja mwenye asili ya Afrika katika mji wa Minneapolis nchini Marekani na kusema kuwa, "natumai kifo cha George Floyd kitakuwa chachu ya madiliko ya kudumu ya matatizo ya chuki na ubaguzi."Nana Addo Dankwa Akufo-Addo ameeleza juu ya kushtushwa na kusikitishwa kwake na mauaji ya Floyd na kueleza bayana kuwa, watu weusi kote duniani wameghadhabishwa na kusikitishwa na mauaji hayo ya kikatili dhidi ya mtu mweusi ambaye hakuwa na...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya George Floyd: Waandamanaji wakichoma moto kituo cha polisi cha Minneapolis, Marekani

Marekani yashuhudia usiku wa tatu wa maandamano kutokana na kifo cha mwanaume mweusi

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama akerwa na mauaji Marekani

Rais Barack Obama amesema mauaji kwa misingi ya ubaguzi wa rangi ni kitisho kwa demokrasia ya Marekani

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Sababu 4 zilizofanya kifo cha M'marekani mweusi kusababisha maandamano makubwa Marekani

Wakati Donald Trump alipotoa onyo lake , pengine hakufikiria kwamba atalazimika kuishi na hali ngumu kama inayoendeelea nchini Marekani.

 

5 years ago

BBC

How Ghana paid tribute to George Floyd

The African-American is immortalised in the West African state where people were once enslaved.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd: Wakili akiita 'mauaji yaliyopangwa'

Wakili wa familia ya George Floyd, ambaye kifo chake kiliibua maandamano ya hasira kote nchini Marekani , amemshutumu afisa wa polisi kwa "kupanga mauaji".

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Ulimwengu unavyofuatilia matukio nchini Marekani

Mataifa duniani yamekuwa yakifuatilia kwa mshangao matukio yanayoendelea nchini Marekani kufuatia maandamano ya ghasia yaliochochewa na - kifo cha George Floyd, mtu mweusi aliyefariki baada ya polisi mweupe kumzuilia chini kwa kutumia goti lake kwenye shingo hadi akashindwa kupumua.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Vifo 11 vilivyosababisha maandamano dhidi ya polisi Marekani

Kifo cha George Floyd, ambacho video zake zilisambaa zikionyesha polisi akimkaba shingoni mwake na baada ya muda mfupi akafariki. Raia weusi wako katika hatari ya kuuwawa mara tatu zaidi ya watu weupe, takwimu zinaeleza.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi yafanyika Marekani

Maandamano makubwa ya amani yamefanyika kote nchini Marekani kupinga ubaguzi wa rangi na unyanyasaji unaotekelezwa na maafisa wa polisi ikiwa ni siku ya 12 ya maandamano

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Sanamu zilizotukuza biashara ya utumwa Marekani na Ulaya zaharibiwa

Sanamu zimekuwa zikivunjwa na kuharibiwa, kama ishara ya kutaka kusahau ''dhulma'' za kihistoria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani