Rais wa Ukraine aahidi mabadiliko
Rais Petro Poroshenko, Ukraine ameitaka idara ya usalama na bunge la nchi hii kuimarisha usalama mashariki mwa taifa hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
Waziri mkuu wa Ugiriki aahidi mabadiliko
Waziri mkuu wa Ugiriki Alexis Tsipras ameahidi kuongeza kima cha chini cha mishahara na kurejesha wafanyakazi walioachishwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-1.jpg)
Dkt. Chaula aahidi kuleta mabadiliko Sekta ya Mawasiliano, asisitiza uwajibikaji na mahusiano bora kazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula akizungumza na wafanyakazi wa Sekta yake katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa TBA, Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Jim Yonazi na kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utumishi na Rasilimali Watu, Kitolina Kippa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG.-NA.-2.jpg)
Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Mawasiliano, Bi Laurencia Masigo, akiwasilisha hoja za wafanyakazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Ukraine ,Rais awaonya wapinzani
Rais wa Ukraine amewaonya waasi walioteka majengo ya serikali waondoke Jumatatu la sivyo wakabiliwe na jeshi.
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Putin akutana na rais wa Ukraine
Putin na Rais Petro Poroshenko, walikutana kwa muda mfupi kabla ya dhifa ya mchana katika maadhimisho ya miaka 70 tangu Ulaya kukombolewa kutoka kwa Wanazzi.
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Rais mpya wa Ukraine kuapishwa
Rais Poroshenko aliyekutana kwa mara ya kwanza na Putin mnamo Alhamisi amesema kuwa mazungumzo mengine na Urusi yatafanyika Jumapili.
11 years ago
BBCSwahili23 Feb
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Rais wa Ukraine aapishwa rasmi
Rais mpya wa Ukraine tajiri Petro Poroshenko ameapishwa rasmi hii leo katika sherehe iliyofanyika mjini Kiev.
11 years ago
BBCSwahili25 May
Poroshenko afikiriwa ni rais wa Ukraine
Tajiri mkubwa wa Ukraine, Poroshenko, afikiriwa kuwa ameshinda katika uchaguzi wa rais wa Ukraine
11 years ago
BBCSwahili25 Jan
Ukraine: Rais kubadilisha mawaziri
Rais wa Ukraine Victor Yanukovych ametangaza kulifanyia mabadiliko baraza la mawaziri ili kutuliza ghasia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania