RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA MAWAZIRI WENYE DHAMANA YA MANEJIMENTI YA MAAFA KWA NCHI WANACHAMA WA SADC
![](https://1.bp.blogspot.com/-aFWpw4NgQVs/XlAEXKNjAWI/AAAAAAALewc/fG3IFMk2TYQrEGCLfezJ-Pg7lIQ4WukEwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ad49a1a-cf94-43d2-80cb-6adc8e57f1e0.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiondoka katika ukumbi wa mkutano wa hoteli ya Madinat Al Bahr mbweni Jijini Zanzibar, baada ya kuufungua mkutano huo, (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge,Kazi , Vijana, Ajira na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama na (kushoto kwa Rais) Katibu Mtendaji SADC.Dkt. Stergomena Lawrence Tax.(Picha na Ikulu).
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8aJzb3ekWJA/Xkp-bGZ67nI/AAAAAAALdtI/7Awj8B_PHJ8U8XpQ9mJh7t3-31RCjSoAgCLcBGAsYHQ/s72-c/P1-1.jpg)
MAWAZIRI WENYE DHAMANA YA MENEJIMENTI YA MAAFA KWA NCHI ZA SADC KUKUTANA ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-8aJzb3ekWJA/Xkp-bGZ67nI/AAAAAAALdtI/7Awj8B_PHJ8U8XpQ9mJh7t3-31RCjSoAgCLcBGAsYHQ/s640/P1-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/P2-1.jpg)
5 years ago
MichuziMKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA MAWAZIRI WA MAAFA WA SADC KUFANYIKA ZANZIBAR
Na Khadija Khamis Maelezo Zanzibar .
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed amesema Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya Kukabiliana na Maafa wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unatarajiwa kufanyika Zanzibar katika Hoteli ya Madinat al Bahr Februari 18,2020.
Hayo ameyasema huko katika Ukumbi wa Shirika la Utangazaji Zanzibar ( ZBC. TV) Mnazimmoja wakati akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ahXeV9CSWuk/XkV5TIQlEvI/AAAAAAALdTE/qX0tso-ZE04O8gTbRXYWU3oT7XCj4UopwCLcBGAsYHQ/s72-c/06a85e28-9df0-4a2f-83a1-3c149d722005.jpg)
Mawaziri wenye dhamana ya Manejimentiya Maafa wa SADC kukutana Zanzibar
![](https://1.bp.blogspot.com/-ahXeV9CSWuk/XkV5TIQlEvI/AAAAAAALdTE/qX0tso-ZE04O8gTbRXYWU3oT7XCj4UopwCLcBGAsYHQ/s320/06a85e28-9df0-4a2f-83a1-3c149d722005.jpg)
Mkutano wa kwanza wa kamati ya Mawaziri wanaohusika na Menejimenti ya Maafa kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) utafanyika tarehe 18-21 Februari visiwani Zanzibar, 2020 ukiwa na lengo la kuchochea juhudi zilizopo katika kupunguza madhara ya maafa ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Zanzibar, Mhe.Dkt. Ali Mohamed Shein.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Ajira,Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista...
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS, AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA AJIRA NCHI ZA SADC, PROGRAMU YA MAFUNZO KWA VITENDO YAZINDULIWA
Akizungumza wakati wa ufunguzi huo Samia amesema kuwa mafunzo hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DmU8uZZdExI/Xk_osMLw8sI/AAAAAAALes8/7rx5GA2z5Ycj9cu9qOtPM3nCqQcJ0pZngCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_9849AA-1024x820.jpg)
RAIS DKT.SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SADC,MADINAT AL BAHR MBWENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-DmU8uZZdExI/Xk_osMLw8sI/AAAAAAALes8/7rx5GA2z5Ycj9cu9qOtPM3nCqQcJ0pZngCLcBGAsYHQ/s640/DSC_9849AA-1024x820.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC_9766AA-1024x820.jpg)
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN, WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANIUSALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo21 Apr
RAIS WA ZANZIBAR, DK SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA WADAU WA ZSSF
![dk2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/dk2.jpg)
![dk4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/dk4.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjaBUKKxWIUBRe7oRu91h01C0NWfiDEnbSKzPOrY-t4n1Fv02FQmlY1oPI1e14GDklSD5cYuwKQ7hTf0NgWCEsd9L521sg*k/t6.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 12 WA SHIRIKISHO LA TAASISI ZA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KWA NCHI ZA SADC