RC: Wakulima wanatudai Sh22 bilioni
Imeelezwa kuwa wakulima wa mahindi mkoani Ruvuma wanaidai Serikali zaidi ya Sh22 bilioni, hali inayowafanya waishi maisha magumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Wakulima waidai Serikali Sh73 bilioni
11 years ago
Habarileo20 Mar
Vikundi vya wakulima vyalipwa bilioni 8.2/-
JUMLA ya Sh bilioni 8.2 zimelipwa kwa vikundi vya wakulima, waliouza nafaka zao kwa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA).
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RNe5MyCYDMY/VR6_LfzJvAI/AAAAAAAHPMA/HcwQxPMc51w/s72-c/9Heifer%2BArk%2Bw%2Blogo%2Bsm3.jpg)
Wakulima wa Kahawa Mbozi kunufaika na bilioni 1.35 kutoka Heifer International
![](http://2.bp.blogspot.com/-RNe5MyCYDMY/VR6_LfzJvAI/AAAAAAAHPMA/HcwQxPMc51w/s1600/9Heifer%2BArk%2Bw%2Blogo%2Bsm3.jpg)
Shirika lisilo la Kiserekali la Heifer International limepokea ufadhili wa Shilingi bilioni 1.35 (USD 750,000) kutoka Starbucks Foundation ili kuwasaidia wakulima wadogo wadogo wilayani Mbozi kupitia mradi wa Heifer unaojulikana kama “Mbozi Farmer Livelihood Improvement Project”. Fedha hizi zinatarajia kuziwezesha jumuiya za wakulima wadogo wadogo wa zao la kahawa wa nchi za Afrika Mashariki kuboresha na kuinua viwango vya maisha.
Fedha hizi ni sehemu ya mkakati wa...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Wakulima wa chai hupoteza Sh3 bilioni kwa mwaka - SUA
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Wakulima nchini kunufaika na ruzuku ya vocha za pembejeo yenye thamani ya Bilioni 78!
Baaadhi ya wakulima wadogowadogo nchini wakiwa katika shughuli za kila siku za Kilimo kwa kutumia jembe la mkono. (Picha na Maktba yetu).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetangaza kuanza kutoa vocha za pembejeo ambazo serikali imezipatia ruzuku.
Akizungumza na waandishi wa habari, jijini hapa, Msemaji wa Wizara hiyo, Richard Kasuga amebainisha kuwa, Serikali imetumia shilingi bilioni 78, kwa ajili ya kununua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Benki ya NMB yatoa mkopo wa Shilingi bilioni 3 kwa wakulima wa muhogo Handeni
![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Serikali imetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika kipindi cha Mwaka 2013/2014. wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mipango na Uendeshaji wa wakala huo Bi. Anna Mapunda.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo...
10 years ago
TheCitizen30 Apr
Budget rises to Sh22.5tr
10 years ago
TheCitizen05 May
Where will revenue to fund Sh22.5tr Budget come from?