Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC: Wakulima wanatudai Sh22 bilioni

Imeelezwa kuwa wakulima wa mahindi mkoani Ruvuma wanaidai Serikali zaidi ya Sh22 bilioni, hali inayowafanya waishi maisha magumu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wakulima waidai Serikali Sh73 bilioni

Wakulima nchini wanaidai Serikali Sh73 bilioni baada ya kuiuzia mazao yao kwa mkopo.

 

11 years ago

Habarileo

Vikundi vya wakulima vyalipwa bilioni 8.2/-

JUMLA ya Sh bilioni 8.2 zimelipwa kwa vikundi vya wakulima, waliouza nafaka zao kwa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA).

 

10 years ago

Michuzi

Wakulima wa Kahawa Mbozi kunufaika na bilioni 1.35 kutoka Heifer International

Na. Mwandishi Wetu
Shirika lisilo la Kiserekali la Heifer International limepokea ufadhili wa Shilingi bilioni 1.35 (USD 750,000) kutoka Starbucks Foundation ili kuwasaidia  wakulima wadogo wadogo wilayani Mbozi kupitia mradi wa Heifer unaojulikana kama “Mbozi Farmer Livelihood Improvement Project”. Fedha hizi zinatarajia kuziwezesha jumuiya za wakulima wadogo wadogo wa zao la kahawa wa nchi za Afrika Mashariki kuboresha na kuinua viwango vya maisha.
Fedha hizi ni sehemu ya mkakati wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wakulima wa chai hupoteza Sh3 bilioni kwa mwaka - SUA

Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), umebaini kuwa zaidi ya Sh3 bilioni hupotea kwa mwaka kutokana na viwanda vingi kufungwa kutokana na migogoro ya wakulima wa chai sehemu za uzalishaji.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wakulima nchini kunufaika na ruzuku ya vocha za pembejeo yenye thamani ya Bilioni 78!

wakulima

Baaadhi ya wakulima wadogowadogo nchini wakiwa katika shughuli za kila siku za Kilimo kwa kutumia jembe la mkono. (Picha na Maktba yetu).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

[DAR ES SALAAM] Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetangaza kuanza kutoa vocha za pembejeo ambazo serikali imezipatia ruzuku.

Akizungumza na waandishi wa habari, jijini hapa, Msemaji wa Wizara hiyo, Richard Kasuga amebainisha kuwa,  Serikali imetumia shilingi bilioni 78, kwa ajili ya kununua...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya NMB yatoa mkopo wa Shilingi bilioni 3 kwa wakulima wa muhogo Handeni

 Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB – Filbert Mponzi (Pili kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi Bilioni Tatu Mkuu wa Wilaya ya Handeni – Godwin Gondwe maalumu kwa ajili ya vikundi vya wakulima na wasindikaji wa zao la Muhogo Wilayani Handeni Mkoani Tanga. Wengine kwenye picha ni Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) – Japhet Justin (Pili kushoto), Mwenyekiti wa Wakulima wa zao la Mihogo nchini Tanzania, Mwantum Mahiza, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali imetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima

IMG_5996

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika kipindi cha Mwaka 2013/2014. wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mipango na Uendeshaji wa wakala huo Bi. Anna Mapunda.

IMG_6007

Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo...

 

10 years ago

TheCitizen

Budget rises to Sh22.5tr

Finance Minister Saada Mkuya yesterday pegged Tanzania’s 2015/2016 budget at Sh22.48 trillion as the government intensifies efforts to boost revenue collection and reduce donor dependency.

 

10 years ago

TheCitizen

Where will revenue to fund Sh22.5tr Budget come from?

>As the government prepares to present its Sh22.5 trillion ($11.25 billion) Budget for 2015/16, the biggest question is: where will the money come from?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani