Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rebecca Priestley: Primate problems


Rebecca Priestley: Primate problems
New Zealand Listener
British primatologist Dame Jane Goodall spent 45 years researching the family and social interactions of a group of chimpanzees in Tanzania's Gombe Stream National Park. Her long-term behavioural observations – communicated in academic and popular ...

New Zealand Listener

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rebecca Malope, Solly kuwasili Aprili 4

MUIMBAJI nguli wa Kimataifa wa nyimbo za Injili, Rebecca Malope anatarajia kuwasili Jumaosi ya Aprili 4 akitokea Afrika Kusini kwa lengo la kupanda jukwaa la maadhimisho ya miaka 15 ya Tamasha la Pasaka.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo imekamilika kwa kiasi kikubwa hivyo mashabiki wa muziki wa injili  hapa nchini kujitokeza kwa wingi kufanikisha tamasha hilo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rebecca Garang: Viongozi wamefeli S Kusini

Mama wa taifa la Sudan Kusini Rebecca Garang amesema kuwa viongozi wa taifa hilo akiwemo yeye mwenyewe wamewafeli raia.

 

11 years ago

Michuzi

Rebecca Malope kutumbuiza tamasha la Pasaka

MALKIA wa muziki wa Injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka mwaka huu.   Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama ilieleza kuwa msanii huyo amepata kura nyingi kutoka kwa mashabiki waliompendekeza.
“Tunashukuru kwamba baada ya mapendekezo ya mashabiki tuliwasiliana na Rebecca ambaye ameonesha uungwana wa hali ya juu na kutukubalia ombi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rebecca Malope akubali Tamasha la Pasaka

MALKIA wa muziki wa Injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope, ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa...

 

10 years ago

Mtanzania

Rebecca Malope kunogesha Tamasha la Pasaka

Rebecca MalopeNa Mwandishi Wetu

RAIA wa Afrika Kusini ambaye ni mwanamuziki wa injili, Rebecca Malope, amethibitisha kuwa mmoja wa waimbaji wa kimataifa watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka litakalofanyika nchini.

Kwa mujibu wa mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, sambamba na Malope, Afrika Kusini wanatarajia kutoka waimbaji wengine wawili ambao ni Solly Mahlangu na Sipho Makabane.

Msama alisema waimbaji wengine waliokubali kutumbuiza kwenye tamasha hilo ni pamoja na Ephraim...

 

9 years ago

TheCitizen

REBECCA BRYANT : The EU’s dirty deal on refugee crisis

In Taksim Square in central Istanbul, a lanky boy with tired eyes holds a sign in English in one hand and a passport in the other. His name is Adnan and he is in the same spot every day, near the entrance to Gezi Park, the site of violently repressed demonstrations in 2013.

 

11 years ago

Michuzi

Wabongo wamtaka Rose Muhando amlete Rebecca Malope

MWIMBAJI mahiri nchini, Rose Muhando amesema mashabiki wengi nchini wameomba malkia wa muziki wa Injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope, awepo kwenye uzinduzi wa albamu yake ya Kamata Pindo la Yesu Agosti 3, mwaka huu.
Uzinduzi huo utafanyika ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam na tayari wasanii mbalimbali nchini wameshaalikwa kushiriki.

“Nimekuwa nikipokea simu nyingi za mashabiki wangu wakitaka nimualike Rebecca, najua kuna gharama zake kubwa, hivyo kwa kushirikiana na wasaidizi...

 

11 years ago

Michuzi

maandalizi ya tamasha la pasaka yakamilika,rebecca malope kutumbuiza jijini mwanza.

MKurugenzi wa Msama Promotions Ltd,ambao ndio waandaji wa tamasha la krismass na Pasaka,Bwa.Alex Msama amesema kuwa maandalizi ya tamasha la Pasaka linalotarajiwa kuanza kufanyika jijini Dar mnamo April,20 mwaka huu yamekamilika.


Aakizungumza na Waandishi wa habari jijini dar leo katika viwanja vya Karimjee,Msama amebainisha kuwa kila kitu kimekwishakamilika,wakiwemo wasanii mbalimbali watakaotumbuiza siku hiyo,aidha amesema kuwa pamoja na wanamuziki wa nyumbani kushiriki tamasha hilo,pia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani