Reggae Time ya Pride FM......Justin Kalikawe
![](http://2.bp.blogspot.com/-2geVZO42mms/VeswSbozRQI/AAAAAAAAJdA/tt3oj5p97Fs/s72-c/Justin%2BKalikawe.jpg)
Ni zaidi ya miaka 12 sasa tangu kuondokewa na mwanamuziki mahiri wa Reggae kutoka nchini Tanzania, Justine Kalikawe.
Kwangu ni kumbukumbu “mbichi” ya kuondoka kwake, kwa kuwa alifariki tukiwa kwenye mkakati wa kufufua hamasa na umuhimu wa muziki wa reggae nchini.
Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2003. Mwaka ambao ulikuwa na mambo mengi saana kwangu. Ndio mwaka ambao nikiwa na Dj Fax (wakati huo sote tukiwa 100.5 Times Fm) tulipanga mikakati ya kuwa na kipindi bora zaidi cha Reggae jijini Dar...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Fo9uMAgm9cM/VWDL8E-3U3I/AAAAAAAAIrU/oKhnw5TSv-U/s72-c/Studio%2BBetlsville.jpg)
Reggae Time ya Pride Fm
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fo9uMAgm9cM/VWDL8E-3U3I/AAAAAAAAIrU/oKhnw5TSv-U/s640/Studio%2BBetlsville.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Fo9uMAgm9cM/VWDL8E-3U3I/AAAAAAAAIrU/oKhnw5TSv-U/s72-c/Studio%2BBetlsville.jpg)
Reggae Time ya Pride Fm..........May 23 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fo9uMAgm9cM/VWDL8E-3U3I/AAAAAAAAIrU/oKhnw5TSv-U/s640/Studio%2BBetlsville.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Cn9522kweeg/VVfGVmrUoJI/AAAAAAAAIok/6rrjy6saFns/s72-c/Studio%2Bndogo.jpg)
Reggae Time ya Pride FM.........May 16 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cn9522kweeg/VVfGVmrUoJI/AAAAAAAAIok/6rrjy6saFns/s640/Studio%2Bndogo.jpg)
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada wanaweza kuisikiliza kwa kupiga namba
![](resource://skype_ff_extension-at-jetpack/skype_ff_extension/data/call_skype_logo.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-v9N9woUAMzw/VZgSV5zSh-I/AAAAAAAAI30/qmIs0ZagjaA/s72-c/Studio%2Bndogo.jpg)
Reggae Time ya Pride FM...... July 4 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-v9N9woUAMzw/VZgSV5zSh-I/AAAAAAAAI30/qmIs0ZagjaA/s640/Studio%2Bndogo.jpg)
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada wanaweza kuisikiliza kwa kupiga namba 832 280 0658
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oe155NlL9wI/VXxeOtqMrUI/AAAAAAAAIyc/aMSQG3Akoog/s72-c/Mubelwa%2BBandio%2Bna%2BBabu%2BSikare.jpg)
Reggae Time ya Pride FM....Jumamosi June 13, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-oe155NlL9wI/VXxeOtqMrUI/AAAAAAAAIyc/aMSQG3Akoog/s640/Mubelwa%2BBandio%2Bna%2BBabu%2BSikare.jpg)
Na inaadhimishwa kwa mara ya kwanza tangu UN iitangaze (Nov 18 2014)
Katika sehemu ya kwanza ya kipindi, nimezungumza na Babu Sikare, mwanaharakati mTanzania aishiye hapa USA aliyeshiriki mchakato wa miaka kadhaa kupigania siku hii.
Kipindi cha REGGAE TIME kutoka Pride Fm Mtwara Tanzania hutayarishwa na kutangazwa na Mubelwa Bandio
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Radio hii...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-lgW_rwLHcYk/VdjErx439kI/AAAAAAAAJPc/ooSECuIOOAM/s72-c/maxresdefault.jpg)
Reggae Time ya Pride Fm Aug 15 2015....STRESS
![](http://2.bp.blogspot.com/-lgW_rwLHcYk/VdjErx439kI/AAAAAAAAJPc/ooSECuIOOAM/s640/maxresdefault.jpg)
Kipindi cha REGGAE TIME kutoka Pride Fm Mtwara Tanzania hutayarishwa na kutangazwa na Mubelwa Bandio
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada wanaweza kuisikiliza kwa kupiga namba 832 280 0658
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-VEVchh_uqf8/VRbYPgEFJQI/AAAAAAAAIJE/wcKhEQt4QJ8/s72-c/10376287_10204047737740407_6430285216648473550_n.jpg)
Reggae Time ya Pride Fm....Mahojiano na Innocent Galinoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-VEVchh_uqf8/VRbYPgEFJQI/AAAAAAAAIJE/wcKhEQt4QJ8/s1600/10376287_10204047737740407_6430285216648473550_n.jpg)
Kipindi cha REGGAE TIME kutoka Pride Fm Mtwara Tanzania hutayarishwa na kutangazwa na Mubelwa Bandio
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada wanaweza kuisikiliza kwa kupiga namba 832 280 0658
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-94zulqLy7nc/VSleZf9n4XI/AAAAAAAAIM4/8_JRX7aKSSM/s72-c/bobmarley.jpg)
Leo katika Reggae Time ya Pride Fm [April 11 2015]
![](http://3.bp.blogspot.com/-94zulqLy7nc/VSleZf9n4XI/AAAAAAAAIM4/8_JRX7aKSSM/s1600/bobmarley.jpg)
Photo Credits: TheHill.com Wiki hii, Rais Barack Obama alifanya ziara nchini Jamaica. Na usiku aliotua nchini humo, alielekea kwenye makumbusho ya Bob Marley.
Haya ni kati ya yaliyojumuishwa leo kwenye kipindi cha Reggae Time ya Pride FM, Mtwara Tanzania
KARIBU
Kipindi cha REGGAE TIME kutoka Pride Fm Mtwara Tanzania hutayarishwa na kutangazwa na Mubelwa Bandio
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-GMv3ufQ-wsE/VaqOZo6dTbI/AAAAAAAAI9E/yyzzvZx3AIQ/s72-c/Mubelwa%2BBandio.jpg)
Reggae Time ya Pride Fm. Leo, Jumamosi Julai 18, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-GMv3ufQ-wsE/VaqOZo6dTbI/AAAAAAAAI9E/yyzzvZx3AIQ/s640/Mubelwa%2BBandio.jpg)
Imani kiduchu imeguswa. Si ni Eid?
Lakini pia......
Nini tufanye tunapokuwa kwenye sherehe kama hizi, na wenzetu wana majonzi ama huzuni ama wamekata tamaa?
Wasanii wa Reggae wameimba lolote kuhusu hilo?
KARIBU
Kipindi cha REGGAE TIME kutoka Pride Fm Mtwara Tanzania hutayarishwa na kutangazwa na Mubelwa Bandio
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa...