RICH MAVOKO, VANESSA MDEE WAKIWAPAGAWISHA MASHABIKI WA KILI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/ESy03VwS5ZndyWp0xNmu76WvHk4qlTyDa-9Mx80ZgyvByhBe2szR2C9WzaRoELHcoFuUMvdRbntFutqoYHrBYl7wSUQRm5Qr/mavoko.jpg?width=650)
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rich Mavoko akiwapagawisha mashabiki ndani ya Leaders Club. Mwanadada Vanessa Mdee akifanya vitu vyake stejini.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Oct
Msanii kuonesha mali zake mtandaoni ni kutoa shukurani kwa mashabiki — Rich Mavoko
9 years ago
Bongo508 Dec
Vanessa Mdee: Mashabiki msitushindanishe wasanii, mnatukosanisha!
![vanessa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/vanessa-300x194.jpg)
Mwanadada anayefanya vizuri na kibao, ‘Never Ever’, Vanessa Mdee amewataka mashabiki kuacha tabia ya kuwashindanisha wasanii au kuwagandamiza ili mmoja wao aonekane yupo juu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EATV jana, Vanessa alisema kila msanii ana nafasi yake katika muziki ndio maana ni vigumu kuwalinganisha.
“Kuna baadhi ya mashabiki siyo wote, wenye tabia ya kugandamiza wasanii. Tabia ya kupambanisha wasanii kwa sababu wana kitu fulani au ambao wanafanya kitu similar hii...
9 years ago
Bongo502 Dec
Shaa asema hapendi tabia ya mashabiki kumshindanisha na Vanessa Mdee
![shaa sugua gaga](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/11/shaa-sugua-gaga-200x200.jpg)
Muimbaji wa ‘Sugua Gaga’ Sarah Kaisi a.k.a Shaa ameeleza jinsi anavyokerwa na tabia ya baadhi ya mashabiki wa muziki wanaojaribu kuwashindanisha kisanii na muimbaji nwenzake Vanessa Mdee.
Shaa ambaye ameachia wimbo mpya ‘Toba’ wiki iliyopita, amesema si sawa kushindanishwa na Vee Money kwasababu wote wanapeperusha bendera ya Tanzania.
“Niwambie ukweli sipendi sana hii tabia ya watanzania kunishindanisha na Vanessa Mdee au kitendo cha kuwashindanisha wasanii wa nyumbani,” alisema Shaa...
10 years ago
GPLOMMY DIMPOZ, VANESSA MDEE WAFUNIKA FIESTA DAR
9 years ago
Bongo523 Oct
Picha: Vanessa Mdee atumbuiza live kupitia Citizen TV ya Kenya kutoka Dar
9 years ago
Bongo525 Nov
Music: Rich Mavoko – Naimani
![Rich-Mavoko-Naimani](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Rich-Mavoko-Naimani-300x194.jpg)
Wimbo mpya wa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko unaitwa “Naimani”. Producer Boy David & Aby Dad
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
Bongo515 Jul
New Music: Rich Mavoko — Tururu
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Rich Mavoko aeleza ya moyoni
MSANII wa Bongo fleva, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ amewataka wasanii wenzake wawe na moyo wa kuwakumbuka wenzao waliotangulia mbele za haki hata kwa kuwatembelea wazazi au ndugu zao waliopo duniani....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9JlF4F0jf30/VXgJ_PduJ7I/AAAAAAAHeQo/EDI9VRslWyY/s72-c/unnamed.png)