Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RICH MAVOKO, VANESSA MDEE WAKIWAPAGAWISHA MASHABIKI WA KILI DAR

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rich Mavoko akiwapagawisha mashabiki ndani ya Leaders Club. Mwanadada Vanessa Mdee akifanya vitu vyake stejini.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Msanii kuonesha mali zake mtandaoni ni kutoa shukurani kwa mashabiki — Rich Mavoko

Watu maarufu wamekuwa na kawaida ya kushare mambo yao katika mitandao ya kijamii, hii ikiwa ni pamoja na maisha binafsi na kuonesha mali walizochuma kupitia kazi zao. Kwa mastaa wa bongo, baadhi yao hawapendi ‘kuringishia’ mali zao mitandaoni huku wengine akiwemo staa wa muziki Rich Mavoko wanaunga mkono tabia hiyo. Mavoko anaamini kwa kuonesha mali […]

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee: Mashabiki msitushindanishe wasanii, mnatukosanisha!

vanessa

Mwanadada anayefanya vizuri na kibao, ‘Never Ever’, Vanessa Mdee amewataka mashabiki kuacha tabia ya kuwashindanisha wasanii au kuwagandamiza ili mmoja wao aonekane yupo juu.

vanessa

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EATV jana, Vanessa alisema kila msanii ana nafasi yake katika muziki ndio maana ni vigumu kuwalinganisha.

“Kuna baadhi ya mashabiki siyo wote, wenye tabia ya kugandamiza wasanii. Tabia ya kupambanisha wasanii kwa sababu wana kitu fulani au ambao wanafanya kitu similar hii...

 

9 years ago

Bongo5

Shaa asema hapendi tabia ya mashabiki kumshindanisha na Vanessa Mdee

shaa sugua gaga

Muimbaji wa ‘Sugua Gaga’ Sarah Kaisi a.k.a Shaa ameeleza jinsi anavyokerwa na tabia ya baadhi ya mashabiki wa muziki wanaojaribu kuwashindanisha kisanii na muimbaji nwenzake Vanessa Mdee.

shaa sugua gaga

Shaa ambaye ameachia wimbo mpya ‘Toba’ wiki iliyopita, amesema si sawa kushindanishwa na Vee Money kwasababu wote wanapeperusha bendera ya Tanzania.

“Niwambie ukweli sipendi sana hii tabia ya watanzania kunishindanisha na Vanessa Mdee au kitendo cha kuwashindanisha wasanii wa nyumbani,” alisema Shaa...

 

10 years ago

GPL

OMMY DIMPOZ, VANESSA MDEE WAFUNIKA FIESTA DAR

Msanii wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz akitumbuiza kwa staili yake kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dar Leaders Club. Msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee akifana yake na Ommy Dimpoz.…

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Vanessa Mdee atumbuiza live kupitia Citizen TV ya Kenya kutoka Dar

Kituo cha runinga cha Citizen cha nchini Kenya kimefanya mahojiano ya moja kwa moja na Vanessa Mdee kutoka Dar es Salaam. We’re live from Dar Es Salam! Today we’ve got the gorgeous Venessa Mdee on the show #PowerBreakfast pic.twitter.com/6O7HN9mKPn — Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) October 23, 2015 Kwenye kipindi hicho cha asubuhi cha Power Breakfast, […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Rich Mavoko – Naimani

Rich-Mavoko-Naimani

Wimbo mpya wa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko unaitwa “Naimani”. Producer Boy David & Aby Dad

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Rich Mavoko — Tururu

Hii ndo ngoma Mpya kutoka kwa Rich Mavoko ngoma inaitwa “Tururu” imefanyika katika Studio za Sharo Baro Records Producer Bab Junior

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rich Mavoko aeleza ya moyoni

MSANII wa Bongo fleva, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ amewataka wasanii wenzake wawe na moyo wa kuwakumbuka wenzao waliotangulia mbele za haki hata kwa kuwatembelea wazazi au ndugu zao waliopo duniani....

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani