Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ROSE MHANDO; KIMYA KINAMAANISHA NDIYO?

NADHANI kati ya waimbaji wenye kufanya vizuri zaidi katika muziki wa Injili nchini, huwezi kumweka kando Rose Mhando ambaye amefanya kazi nyingi zilizompatia umaarufu mkubwa katika ukanda wote wa Afrika Mashariki. Licha ya kutoa albamu zake mwenyewe, lakini pia ameimba kwa kushirikishwa na waimbaji wengine wengi maarufu katika eneo hili na hivyo kumfanya wakati f’lani awe ndiye msanii wa muziki huo anayelipwa zaidi kuliko...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HII NDIYO YANGA NA MBIO ZA KUUSAKA UBIGWA KIMYA KIMYA TU UNAISOMA

Yanga imerejea kileleni Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa Prisons ya Mbeya kwa mabao 3-0.Ushindi huo umeifanya Yanga kufikisha pointi 48 dhidi ya Azam FC yenye 46 ambayo imelazimishwa sare ya bila mabao dhidi ya Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani.Yanga imebuka na ushindi huo mnono kwenye Uwanja wa ugenini wa Sokoine jijini Mbeya ikiwa ni baada ya viungo wake Simon Msuva na Andrey Coutinho kufunga.Msuva amepachika mabao mawili, huku Coutinho na kukamilisha idadi ya...

 

10 years ago

GPL

ROSE MHANDO ATUMBUIZA NA KITUMBO

Stori: Mwandishi Wetu, Singida BAADA ya kudaiwa kulipwa fedha na kuingia mitini kwenye matamasha mbalimbali, mwanamuziki ‘grade one’ wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando (pichani) amenaswa akitumbuiza jukwaani akiwa na ujauzito mkubwa. Mwanamuziki ‘grade one’ wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando akitumbuiza. Tukio hilo lililowashangaza watu wengi lilitokea Jumapili iliyopita katika Kijiji cha...

 

10 years ago

GPL

WAIMBA INJILI WAMTENGA ROSE MHANDO

STORI: Mwandishi Wetu/Amani MAZITO tena! Kufuatia madai ya kuchoropoa mimba ya miezi saba kulikodaiwa kufanywa na mwimba Injili nyota Bongo, Rose Mhando, baadhi ya waimbaji wenzake wamesema hawawezi kuwa naye karibu tena katika huduma. Mwimba Injili nyota Bongo, Rose Muhando. Wakizunguza na Amani kwa nyakati tofauti, waimba Injili hao walioomba majina yao kupigwa ‘kufuli’ walisema, kama kweli Rose aliitoa mimba ile...

 

11 years ago

Michuzi

Rose mhando aibuka na nyimbo mpya ya "Facebook"

MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili nchini Rose Muhando ameibuka na wimbo mpya uitwao Facebook.  Akizungumzia  wimbo huo, Rose amesema  ana imani wimbo huo utakuwa kivutio kikubwa kwa jamii hasa vijana kwa sababu una ujumbe mzuri ambao utagusa wengi. “Sitaki kuwaambia nimeimba nini, lakini Facebook ni wimbo mzuri na mashabiki wangu naamini wanatambua kwamba mimi si mtu wa masihara ninapotunga kazi zangu,” alitamba mwimbaji huyo. Alieleza kuwa wimbo huo utakuwa katika albamu yake mpya...

 

11 years ago

GPL

‘PINDO LA YESU’ YA ROSE MHANDO YAZINDULIWA JANA

Rose Mhando akicheka wakati wa uzinduzi wa albamu yake.  Nyuma ni  waimbaji wake.
Mchungaji Maboya akitoa neno katika uzinduzi huo.
Watu waliofurika katika tukio hilo.…

 

10 years ago

GPL

ROSE MHANDO: NILITEKWA KWA BASTOLA NIKAPELEKWA PORINI KUFANYA MAPENZI

Stori: Erick Evarist na Imelda Mtema
NYOTA wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando (pichani)amefungukia eneo fupi la maisha yake magumu ambapo alisema amewahi kutekwa kwa bastola na mwanaume mmoja, akampeleka msituni ambako alimlazimisha kuwa naye kimapenzi lakini akadunda. Nyota wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando. Akizungumza na Gazeti la Amani juzi, Rose alieleza kwa machungu kwamba, tukio hilo lilimkuta hivi karibuni...

 

11 years ago

Michuzi

ROSE MHANDO ALIZWA NA WEZI WALIOIBA ALBAMU YAKE MPYA KABLA HAJAITOA JUMAPILI

MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili, Rose Muhando amelalamika kuwa albamu yake ya "Kamata Pindo la Yesu" albamu anayotarajia kuizindua Jumapili wiki hii imeingizwa mtaani na wezi wa kazi za wasanii, hivyo kuonya wananchi wawe makini kwani albamu yake halisi itatoka Jumapili.Taaifa kwa vyombo vya habari aliyoitoa Muhando jana, ilieleza kuwa albamu yake halisi bado haijaingia mtaani na kwamba hiyo wanayoiona wananchi sasa ni bandia na mtu atakayewauzia wamripoti polisi.“Albamu ya Kamata Pindo...

 

9 years ago

Bongo5

Usher afunga ndoa kimya kimya na meneja wake Grace Miguel

Usher Raymond amerudisha tena title yake ya kuwa mume wa mtu, baada ya kufunga ndoa na girlfriend wake wa muda mrefu Grace Miguel, ambaye pia ni meneja wake. Tetesi za Usher kufunga ndoa zilianza baada ya kuonekana akiwa amevaa pete ya ndoa ya dhahabu alipokuwa vacation huko Havana, Cuba, na baadae E! Online walithibitisha uvumi […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kuficha Ujauzito, Snura Adaiwa Kufunga Ndoa Kimya Kimya

Staa wa Bongo Fleva alieanzia uigizaji, Snura Mushi amedaiwa kufunga ndoa ya siri na mchumba wake wa siku nyingi ambaye pia ni mzazi mwenziye,DJ maarufu mjini Mbeya,Hunter.

Habari zinasema kuwa katika sherehe ya ndoa hiyo walialikwa watu wachache kutoka kwenye pande mbili za familia ya wanandoa hao na ilifungwa kwa siri jijini Dar.

Kupitia U heard na Soudy Brown amezungumza na Snura ambaye amekana kufunga ndoa,lakini alipoulizwa kama aliweza kuficha mimba hadi alipojifungua je? Hawezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani