Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rushwa yazitafuna idara za serikali

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Kapteni mstaafu George Mkuchika, amesema kuwa idara za serikali nchini zinaongoza kwa kashfa ya upokeaji rushwa. Mkuchika alizitaja idara zinazoongoza kwa vitendo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Serikali iwekeze zaidi Idara ya Hali ya Hewa

Kama ilivyo kwa mataifa mengi duniani, Tanzania imekuwa ikishuhudia mabadiliko ya tabianchi. Kuna nadharia nyingi kuhusu mabadiliko hayo, lakini ni vyema kujua kwamba hicho ndicho kinachosababisha mabadiliko ya hali ya hewa.

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWAAGIZA WAKUU WA IDARA KUANDAA TAARIFA ZA IDARA ZAO.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi akizungumza na wakuu Idara katika wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi alipokutana nao leo alipokaribishwa kwa mara ya kwanza katika wizara  hiyo, tangu achaguliwe na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuwa Waziri wa wizara, na kuwaagiza wakuu wa idara katika wizara hiyo kutoa taaarifa za idara zao ifikapo jumatatu ya wiki ijayo.Naibu Waziri wa Wizara Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,...

 

5 years ago

Michuzi

IDARA YA UHAMIAJI YAKABIDHIWA NYUMBA ZA MAKAZI KWA MAOFISA NA ASKARI WA IDARA YA HIYO ENEO LA IYUMBU, JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa kwanza kushoto) akisalimiana na Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Wa pili kulia) baada ya kuwasili katika eneo la Iyumbu, ilipofanyika hafla ya makabidhiano ya Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, Jijini Dodoma
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa kwanza kushoto) akipokea salamu kutoka kwa Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji...

 

10 years ago

GPL

SERIKALI YAMRUDISHA MADENI KIPANDE IDARA KUU YA UTUMISHI KUPANGIWA KAZI NYINGINE

Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Ndugu Madeni Kipande. Itakumbukwa mnamo tarehe 16 Februari, 2015 Waziri wa Uchukuzi Mh.Samuel Sitta (Mb.),alimsimamisha kazi kwa muda Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Ndugu Madeni Kipande ili kupisha Uchunguzi wa tuhuma mbalimbali dhidi yake. Tume aliyoiteua Mheshimiwa Waziri kuchunguza suala hili,ilikamilisha kazi yake mnamo tarehe 20 Machi ,2015 na kumkabidhi...

 

10 years ago

Michuzi

MKOA WA IDARA ZA SERIKALI NA MABALOZI WA NSSF WATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii JAMII imetakiwa kutambua mahitaji ya watoto wanaoishi katika vituo vya kulelea  katika kubaini  changamoto zao katika maisha wanayoishi na kuweza kuguswa kutoa msaada. Hayo ameyasema leo Mhasibu Mwandamizi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Idara za Serikali na Mabalozi,Wema Mbaga wakati akitoa msaada wa kituo Khilati Kilichopo Kigogo jijini Dar es Salaam,amesema kuwa wanatambua umhimu wa kutoa msaada kwa makundi maalumu wakiwemo watoto...

 

11 years ago

Michuzi

Mkurugenzi wa Idara ya Habari atembelea Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali Wizara ya Mambo ya Nje

Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Bw. Assah Mwambene akizungumza na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Mkumbwa Ally alipotembelea Kitengo hicho kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika.Bw. Mwambene akiangalia moja ya machapisho aliyopatiwa na Bw. Mkumbwa kuhusu Wizara.Picha na Reginald Philip

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani