Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sababu za Mtatiro kung’oka CUF

SIRI ya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba kufanya mabadiliko kwenye kurugenzi zake kwa kumng’oa Julius Mtatiro kwenye nafasi ya Naibu Katibu Mkuu Bara, imefichuka. Vyanzo vya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Ngeleja agoma kung’oka

ngelejaSHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala, William Ngeleja, ameendelea kushikilia msimamo wake kutojiuzulu nafasi yake hiyo kama ilivyoelekezwa katika maazimio nane ya Bunge.
Mbali na Ngeleja, katika azimio hilo la Bunge linataka Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Victor Mwambalaswa, waondolewe katika nafasi zao kutokana na kufaidika na mgawo wa fedha za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zitto kung’oka CHADEMA

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), inadaiwa yupo katika hatua za mwisho kujiengua ndani ya chama hicho alichojijengea sifa kubwa Kwa mujibu wa watu walio karibu na Zitto, wamelidokeza...

 

10 years ago

Mtanzania

Nyota watatu kung’oka Simba

SimbaNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imepanga kuwatema nyota wake watatu na kusajili wachezaji wenye uzoefu ili kuimarisha kikosi hicho ambacho kinaundwa na chipukizi wengi.

Simba imeanza mikakati ya usajili kwa ajili ya msimu ujao baada ya kumaliza Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu ikiwa nafasi ya tatu huku ubingwa ukinyakuliwa na watani wao wa jadi Yanga na Azam kushika nafasi ya pili.

Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi Ofisa Habari wa timu hiyo, Haji Manara, alisema uongozi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani wafurahia mawaziri kung’oka

MADIWANI wa Wilaya ya Tarime, Mara, wamefurahishwa na taarifa ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira iliyowasilishwa na Mwenyekiti wake James Lembeli bungeni na kusababisha mawaziri wanne kuachia nyadhifa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Naibu Waziri kung’oka na IPTL

SAKATA la kashfa ya mradi wa kuzalisha umeme wa Kampuni ya Independent Power (IPTL), limeingia hatua mpya baada ya kuibuka madai kwamba Naibu Waziri mmoja Nishati na Madini, anaandaliwa kisaikolojia...

 

10 years ago

GPL

UBUNGE ARUSHA, LEMA KUNG’OKA

Stori: Joseph Ngilisho KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema. Godbless...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rage atoa sharti kung’oka Simba

MWENYEKITI wa Simba, Ismail Rage ‘Tutu Vengere’ ameutaka uongozi wote ulioko madarakani kuachia ngazi ili klabu iongozwe na watu wapya kwa ajili ya kuleta ufanisi. Rage amekuwa akiandamwa na baadhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kung’oka kwa mawaziri tusherehekehe au tulie?

MAWAZIRI wanne katika Serikali ya Awamu ya Nne ya Rais Jakaya Kikwete ikiwa ukingoni wameng’oka baada ya shinikizo kali kutoka kwa wabunge kufuatia kashfa ya ukiukwaji mkubwa wa haki za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UFISADI WA BIL. 200/-BoT: CCM kung’oka kama KANU

KASHFA nzito ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bil. 200) inayowakabili vigogo sita wa serikali, huenda ikaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama ilivyotokea kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani