Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Safari for Beginners at the Four Seasons Serengeti


Forbes
Safari for Beginners at the Four Seasons Serengeti
Forbes
Fears over Ebola are still causing havoc to the African safari market, despite the outbreak being further away from the Serengeti than much of Europe. The Hotels Association of Tanzania, representing 195 sites nationwide, predicted business this year ...
Germany supports wildlife protection and tourism development in TanzaniaeTurboNews

all 2

Forbes

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAENDESHA DROO YA KWANZA YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI.

   Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Allan Chonjo akitangaza washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti inayoendeshwa na kampuni hiyo nchini kote, kushoto kwake ni Meneja wa bia ya Serengeti Rodney Rugambo, na kulia kwake ni Afisa Mwandamizi kutoka PWC Bwana Tumain iliyofanyika mapema leo jijini Dar es Salaaam.  Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia  Serengeti Allan Chonjo akiongea kwa njia ya sinu na moja wa washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHEZESHA DROO YAKE YA KUMI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI


  Meneja wa Bia ya Serengeti Rugambo Rodney (katikati) akiongea na waandishi wa habari wakati akitangaza washindi wa droo ya winda safari ya Brazil na Serengeti iliyofanyika kiwandani Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni ofisa kutoka PWC Bi Golder Kamuzora (Kulia) na afisa mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha Bw. Humudi Abdulhussein (Kushoto) Meneja wa Bia Serengeti Rugambo Rodney (kulia) akiongea na mmoja wa washindi wa droo ya 10 ya winda safari ya Brazil kwa njia ya simu huku...

 

11 years ago

Michuzi

PROMOSHENI YA WINDA SAFARI YA BRAZIL NA SERENGETI INAENDELEA.

 Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo akibonyeza kitufe cha kuchezesha droo ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti mapema leo katika ofisi za Kiwanda cha Bia chaa Serengeti jijini Dar es Salaam, huku akishuhudiwa na Afisa Mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha  Tanzania Bakari Maggid(kushoto) na Afisa Mwandamizi kutoka PWC Golder Kamuzora(kulia).  Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo akizungumza na wana habari wakati wa droo ya saba ya promosheni ya Winda Safari ya...

 

11 years ago

Michuzi

MWANZA NA MBEYA WAULA NA PROMOSHENI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI

 Mshindi wa Samsung Galaxy tab3 kutoka Tunduma Mbeya Vedastus Kalinga akionesha zawadi yake mara baada ya kukabidhiwa mwishoni mwa wiki jijini Mbeya.  Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Serengeti kanda ya kusini Lumuli Msika(kushoto)akimpongeza mmoja wa washindi wa promosheni ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti Julius Chao kutoka Mbeya mara baada ya kumkabidhi king'amuzi katika hafla fupi iliyofanyika jijini Mbeya.  Meneje Masoko wa eneo wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Charles...

 

11 years ago

Michuzi

wawili wapatikana droo ya pili ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti

  Meneja wa bia ya Serengeti Rodney Rugambo  (kushoto) akionyesha zawadi ya simu aina ya Samsung Tab ambayo washindi 2 wa droo ya winda safari ya Brazili  na Serengeti  wamejishindia katika droo iliyochezeshwa leo asubuhi. Anayeshuhudia ni afisa mwandamizi wa PWC Bw Tumaini aliyeko kulia.   Meneja wa bia ya Serengeti Bw Rodney Rugambo (katikati) akitangaza mshindi wa promosheni ya winda safari ya  Brazilin a Serengeti aliyejishindia simu aina ya Samsung Tab. Wanaoshuhudia ni msimamizi wa...

 

11 years ago

Michuzi

DROO YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI YACHEZESHWA KIAINA YAKE JIJINI DAR.

  Mshindi wa kwanza wa tiketi ya kwenda Brazili Deusdedit Kahwa akibonyeza kitufe kuchezesha droo ya tano ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti.  Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo akizungumza kwa njia ya simu na mmoja wa washindi wa droo ya tano ya promosheni ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti ilyofanyika jana katika Kiwanda cha Bia cha Serengeti jijini Dar es Salaam. Mshindi wa kwanza wa tiketi ya kwenda Brazili aliyepatikana wiki  iliyopita, Deusdedit Kahwa akielezea...

 

11 years ago

Michuzi

WASHINDI WA PROMOSHENI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI WAENDELEA KUKABIDHIWA ZAWADI ZAO

 Meneja Mauzo eneo la Moshi mjini Fredrick Chambega (kulia) akimkabidhi zawadi ya king’amuzi mmoja wa washindi wa wiki wa promosheni ya Winda Safari YA Brazili na Serengeti Pasian Shirima (kulia) katika hafla fupi iliyofanyika mkoani Kilimanjaro, promosheni hiyo inaendeshwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti.  Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Serengeti mkoa wa Kilimanjaro Orest Mmbaga (kushoto) akimkabidhi zawadi ya simu aina ya Samsung Galaxy tab mmoja wa washindi wa promosheni ya Winda...

 

11 years ago

Michuzi

washindi wa droo ya nane ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti wakabidhiwa zawadi zao

 Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo(wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa droo ya nane ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao mapema leo katika Kiwanda cha Bia cha Serengeti jijini Dar es Salaam kutoka kushoto Henry Martin, Bruno Thobias na Alex Vicent(wa kwanza kulia) ambao wamejipatia ving’amuzi na simu aina ya Samsung Galaxy Tablet.   Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo(kushoto) akiongea kwa njia ya simu na mmoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani