Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Safari ya kutisha ya kutafuta utajiri — 2

Laiton Mtafya alisimulia namna alivyojiingiza kwenye kundi la majambazi akiwa na lengo la kupata utajiri. Hata hivyo, harakati zake hizo zilimsababisha anusurike kifo baada ya kupigwa na kumwagiwa maji ya betri machoni huku mwenzao mmoja akipasuliwa jicho na wananchi wenye hasira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mgimwa: Sigombei kutafuta utajiri

MGOMBEA ubunge wa uchaguzi mdogo Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Godfrey Mgimwa, amesema hajaingia katika kinyang’anyiro hicho kwa lengo la kujitafutia utajiri. “Wapo baadhi ya wanasiasa wanatafuta nafasi hii kwa lengo la kutafuta fedha na sio kuwatumikia wananchi; naomba mniamini mimi sijaingia kwa lengo hilo,” alisema.

 

10 years ago

Vijimambo

DK. MALECELA AKIWA KATIKA STUDIO ZA MWAMBAO JIJINI TANGA, YUPO JIJINI HUMO KUTAFUTA WADHAMINI KATIKA SAFARI YAKE YA KUOMBA KUWANIA URAIS KWA TIKETI YA CCM

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk. Mwale Malecela pichani kabla ya kuingia katika chumba cha habari katika Redio ya Mwambao iliyopo Tanga eneo la Kange ndani ya Kiwanda cha Tanga Fresh ambaye ni mtoto wa Makamu wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM. Dk. Mwale katika maisha yake mengi kwa zaidi ya miaka20 amekua mtumishu katika Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mauaji ya kutisha

Alisubiri mlinzi aje kufungua. Wenzake walikuwa waameshasogea gizani ili wasigundulike na mtu yeyote atakayekatiza katika eneo hilo. Mlinzi alisikia wakati geti likigongwa, akasogea taratibu simu yake ambayo alikuwa akisikiliza redio.

 

11 years ago

GPL

UKATILI WA KUTISHA

Watoto Hassan Yusuf, Hussein Yusuf na Rehema Said baada ya kuokolewa na majirani. Na Makongoro Oging'
“TUNAJUA shangazi anatutesa kwa sababu baba na mama wapo mbali, kama wangekuwepo hapa tusingeteswa hivi. Tunamuomba baba, tunamuomba mama kama watasoma habari hii waje watuchukue turudi nyumbani, shangazi anatutesa sana, wala hatukutegemea,” ndivyo alivyoanza kusema mtoto Hassan Yusuf (5) ambaye ni mkubwa kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Ufisadi wa kutisha

CAG afichua Sh. milioni 214/- zilivyolipwa waliofeli UDOM, IFM na mabilioni yanavyoliwa TanescoMsaidizi wa Mkaguzi Mkuu, Benja Majura
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inayoishia Juni 30, mwaka 2013, imeanika matumizi mabaya ya fedha za umma.

Ripoti hiyo imehusisha mashirika mengi ya umma yakiwamo Shirika la Umeme nchini (Tanesco), Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta), Bodi ya Korosho, Mamlaka ya...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YATANGAZA BAR 5 ZILIZOINGIA FAINALI SAFARI NYAMA CHOMA 2015 “DAR ONE"

Meneja Mauzo Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa ukanda wa Temeke, Patrick Swai akizungumza na waandishi wa habari (hawapi pichani)wakati akizitangaza bar tano zilizofanikiwa kuingia fainali kwenye kinyang’anyiro cha shindano la uchomaji nyama “Safari Lager Nyama Choma Competition 2015”,kwa mkoa wa Dar es salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya kutisha Musoma

WATU watano wameuawa kikatili kwa kuchinjwa, kukatwa mapanga katika mfululizo wa matukio ya mauaji ya kinyama yanayoendelea kutokea katika wilaya  za Musoma, Butiama na Rorya mkoani Mara. Kibaya zaidi, mauaji...

 

9 years ago

GPL

MAUAJI YA KUTISHA BAKWATA

Deogratius Mongela na Chande AbdallahI NAUMA sana! Katika hali isiyo ya kawaida, mkazi wa Kata ya Mwembe Mkavu, Wilaya ya Bagamoyo, Pwani, Ramadhani Mloli (37) amemuua mkewe, maarufu kwa jina la Mama wa Naironi kwa kumchoma visu sehemu mbalimbali za mwili kisha na yeye kujiua kwa kisu pia.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1KJml9j

 

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi wa kutisha waibuliwa

Machungu ya Watanzania yakiwa hayajapoa kutokana na kashfa ya Sh306 bilioni kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow, ufisadi mwingine wa zaidi ya Sh252 bilioni umeibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad ndani ya wizara ya ujenzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani