Safari ya kutisha ya kutafuta utajiri — 2
Laiton Mtafya alisimulia namna alivyojiingiza kwenye kundi la majambazi akiwa na lengo la kupata utajiri. Hata hivyo, harakati zake hizo zilimsababisha anusurike kifo baada ya kupigwa na kumwagiwa maji ya betri machoni huku mwenzao mmoja akipasuliwa jicho na wananchi wenye hasira.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Mar
Mgimwa: Sigombei kutafuta utajiri
MGOMBEA ubunge wa uchaguzi mdogo Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Godfrey Mgimwa, amesema hajaingia katika kinyang’anyiro hicho kwa lengo la kujitafutia utajiri. “Wapo baadhi ya wanasiasa wanatafuta nafasi hii kwa lengo la kutafuta fedha na sio kuwatumikia wananchi; naomba mniamini mimi sijaingia kwa lengo hilo,” alisema.
10 years ago
VijimamboDK. MALECELA AKIWA KATIKA STUDIO ZA MWAMBAO JIJINI TANGA, YUPO JIJINI HUMO KUTAFUTA WADHAMINI KATIKA SAFARI YAKE YA KUOMBA KUWANIA URAIS KWA TIKETI YA CCM
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Mauaji ya kutisha
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCiduplkePTyPXmZ0jrGnJbbyexCwdQHLpTZEE-hRKZo1ZZl-2nRTwBR0AuonrS-zgAaDEeuWkOA7H0b8hrf7*HU/UKATILI.jpg?width=650)
UKATILI WA KUTISHA
10 years ago
Vijimambo22 Oct
Ufisadi wa kutisha
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Benja%20-Majura-0ctober22-2014.jpg)
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inayoishia Juni 30, mwaka 2013, imeanika matumizi mabaya ya fedha za umma.
Ripoti hiyo imehusisha mashirika mengi ya umma yakiwamo Shirika la Umeme nchini (Tanesco), Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta), Bodi ya Korosho, Mamlaka ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-enUrbINwEqA/VRK7cC3-dHI/AAAAAAAHNIQ/QL9EFp_U5GI/s72-c/unnamedmm.jpg)
SAFARI LAGER YATANGAZA BAR 5 ZILIZOINGIA FAINALI SAFARI NYAMA CHOMA 2015 “DAR ONE"
![](http://2.bp.blogspot.com/-enUrbINwEqA/VRK7cC3-dHI/AAAAAAAHNIQ/QL9EFp_U5GI/s1600/unnamedmm.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Mauaji ya kutisha Musoma
WATU watano wameuawa kikatili kwa kuchinjwa, kukatwa mapanga katika mfululizo wa matukio ya mauaji ya kinyama yanayoendelea kutokea katika wilaya za Musoma, Butiama na Rorya mkoani Mara. Kibaya zaidi, mauaji...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi65SKh-uTMMzRHiUUPFwoYS52jMwDhWkZsh8nsyeZrTTRHAysxzn0NLGADZFFt9nVhyzWUksL2d3w6RRQ60ZDlfb/Bakwata.gif?width=650)
MAUAJI YA KUTISHA BAKWATA
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Ufisadi wa kutisha waibuliwa