Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SALHA ISRAEL ATULIZWA NA NDOA

Miss Tanzania 2011, Salha Israel kwa mara ya kwanza amefunguka kuwa tangu aingie kwenye ndoa na Abdulatif Fundikira, ametulizwa kwa kiasi kikubwa. Akizungumza na Amani, Salha alisema kwa sasa ameachana na mitoko isiyokuwa na mpangilio pamoja na kucheza filamu kutokana na mumewe kutopendezewa.   ...Soma zaidi====>http://bit.ly/1MWeafM

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MUME WA JACK PATRICK AMNASA SALHA ISRAEL

Stori: Imelda Mtema SIRI imefichuka! Mume (bado talaka) wa mwanamitindo maarufu Bongo ambaye kwa sasa yuko korokoroni Macau nchini China kwa msala wa kukamatwa na unga, Jacqueline Fitzpatrick Cliff, Abdulatif Fundikira ‘Tifu’ anadaiwa kumnasa kimalavu Miss Tanzania 2011, Salha Israel. Mume wa Jack Patrick akiwa na Salha Israel. Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Tifu, wawili hao hivi sasa wako kwenye ‘mahaba...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL TV ONLINE; MTU KATI NA SALHA ISRAEL - PART II

Mwangalie na msikilize Miss Tanzania 2011, Salha Israel alipokuwa akifungukia mambo mbalimbali kuhusiana na maisha yake ndani ya kipindi maridadi cha 'MTU KATI' kinachoruka GLOBAL TV…

 

11 years ago

GPL

GLOBAL TV ONLINE: MTU KATI NA MISS TZ 2011 SALHA ISRAEL

MISS Tanzania 2011, Salha Israel akilonga na Global TV Online katika kipindi chake murua cha MTU KATI ambapo amefunguka kuhusu mambo mbalimbali yakiwemo mapenzi, uchafu kambi ya Miss Tanzania na mengine mengi. UNGANA NASI! KWA VIDEOS ZAIDI ZA GLOBAL TV ONLINE, TEMBELEA: HAPA

 

10 years ago

Mtanzania

Kabula atulizwa na mpenzi wake

jini kabulaNA RHOBI CHACHA

BAADA ya kuachana na mwanamuziki Ruta Bushoke ‘Bushoke’, mwigizaji wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ameibuka na kudai kwamba mpenzi wake mpya hataki aende kwenye kumbi za starehe.

Kabula bila kumtaja mpenzi wake huyo mpya, alidai kwamba amekatazwa na hatakiwi kuzungumzia habari za kwenda kwenye kumbi za starehe.

“Nimeamua kupunguza kwenda kwenye kumbi za starehe kwa sababu niko bize na mpenzi wangu na pia kwa sasa naandika filamu na nyimbo kwa ajili ya mradi wangu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Jini Kabula Atulizwa na Mpenzi Wake

Baada ya kuachana na mwanamuziki Ruta Bushoke ‘Bushoke’, staa wa Bongo Movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ameibuka na kudai kwamba mpenzi wake mpya hataki aende kwenye kumbi za starehe.

Kabula bila kumtaja mpenzi wake huyo mpya, alidai kwamba amekatazwa na hatakiwi kuzungumzia habari za kwenda kwenye kumbi za starehe.

“Nimeamua kupunguza kwenda kwenye kumbi za starehe kwa sababu niko bize na mpenzi wangu na pia kwa sasa naandika filamu na nyimbo kwa ajili ya mradi wangu mpya wa hivi...

 

11 years ago

GPL

SALHA: MAPEDESHEE NI JANGA MISS TZ

Stori: Jelard Lucas
MISS Tanzania 2011, Salha Israel ametoboa siri kuhusiana na mapedeshee ambao wamekuwa wakiwapa usumbufu mkubwa kiasi cha kuonekana ni janga la kitaifa kwa warembo. Miss Tanzania 2011, Salha Israel. Akizungumza na Ijumaa kwenye mahojiano maalum hivi karibuni ndani ya ofisi za gazeti hili, Salha alikiri kuwepo kwa watu wenye nia mbaya wanaotumia utajiri wao kujipatia wasichana hali inayosababisha kuichafua...

 

11 years ago

GPL

SALHA, MUME WA JACK PATRICK WANASWA WAKIDENDEKEA

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
MISS Tanzania 2011, Salha Israel na aliyekuwa mume wa mwanamitindo maarufu wa Bongo, Jacqueline Patrick, Abdullatif Fundikira picha zao zimenaswa wakidendeka kwa raha zao. Salha Israel akiwa kwenye pozi la kimahaba na aliyekuwa mume wa mwanamitindo maarufu wa Bongo, Jacqueline Patrick, Abdullatif Fundikira Baada ya mapaparazi wetu kuzinasa picha hizo kwenye mitandao ya kijamii,...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA

Na  Bashir  Yakub.
Kumekuwepo  na utata  mkubwa  kuhusu  urithi  wa  mali  za  marehemu  hasa  inapotokea  kuwa  marehemu  alikuwa  na  mke   zaidi  ya mmoja  na  hapohapo  watoto  wanaotokana  na  mama  tofauti.  Tumeshashuhudia  magomvi  makubwa  misibani   lakini  pia  tumeshuhudia  na  tunaendelea kushuhudia  utitiri  wa mashauri  kuhusu  mkanganyiko  wa  mali za marehemu ambaye  familia  yake  ni  ya watoto  wanatokana  na  mama  tofauti. Kutokana  na  hayo  kuna umuhimu  mkubwa  wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini

x

Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni  kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale, Modewjiblog.com

Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani