SALHA ISRAEL ATULIZWA NA NDOA
Miss Tanzania 2011, Salha Israel kwa mara ya kwanza amefunguka kuwa tangu aingie kwenye ndoa na Abdulatif Fundikira, ametulizwa kwa kiasi kikubwa. Akizungumza na Amani, Salha alisema kwa sasa ameachana na mitoko isiyokuwa na mpangilio pamoja na kucheza filamu kutokana na mumewe kutopendezewa. Â ...Soma zaidi====>http://bit.ly/1MWeafM
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOYPXPo6XbHJdTCCTNK4rkNrxLhfAQ4NMuV-SWk7ScfQo-BdVCtjigTFPXVs1*CQ66e17-nyn*Jz3sWDPiuiUh5h/salha.jpg?width=650)
MUME WA JACK PATRICK AMNASA SALHA ISRAEL
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
GLOBAL TV ONLINE; MTU KATI NA SALHA ISRAEL - PART II
11 years ago
GPL09 Apr
GLOBAL TV ONLINE: MTU KATI NA MISS TZ 2011 SALHA ISRAEL
10 years ago
Mtanzania14 May
Kabula atulizwa na mpenzi wake
NA RHOBI CHACHA
BAADA ya kuachana na mwanamuziki Ruta Bushoke ‘Bushoke’, mwigizaji wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ameibuka na kudai kwamba mpenzi wake mpya hataki aende kwenye kumbi za starehe.
Kabula bila kumtaja mpenzi wake huyo mpya, alidai kwamba amekatazwa na hatakiwi kuzungumzia habari za kwenda kwenye kumbi za starehe.
“Nimeamua kupunguza kwenda kwenye kumbi za starehe kwa sababu niko bize na mpenzi wangu na pia kwa sasa naandika filamu na nyimbo kwa ajili ya mradi wangu...
10 years ago
Bongo Movies14 May
Jini Kabula Atulizwa na Mpenzi Wake
Baada ya kuachana na mwanamuziki Ruta Bushoke ‘Bushoke’, staa wa Bongo Movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ameibuka na kudai kwamba mpenzi wake mpya hataki aende kwenye kumbi za starehe.
Kabula bila kumtaja mpenzi wake huyo mpya, alidai kwamba amekatazwa na hatakiwi kuzungumzia habari za kwenda kwenye kumbi za starehe.
“Nimeamua kupunguza kwenda kwenye kumbi za starehe kwa sababu niko bize na mpenzi wangu na pia kwa sasa naandika filamu na nyimbo kwa ajili ya mradi wangu mpya wa hivi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dabRqy-qVUeD0BKaVCNTW98X*tFj2LyLrb-D5SkI6*G7PD*6bB9NqBM307suOUs5CXt1c-pxkrGPZ-GsM3zHgn6/SALHA.jpg?width=650)
SALHA: MAPEDESHEE NI JANGA MISS TZ
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND20CF-pqolYJEPqqL4ztm9IqUCBjcU09LEUgHmIL1PEGbFrjKWCTKdFTyTIXPzAfmBhhn24TdYMDd22LMVE11A-/batuli.jpg?width=650)
SALHA, MUME WA JACK PATRICK WANASWA WAKIDENDEKEA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwepo na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshashuhudia magomvi makubwa misibani lakini pia tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali za marehemu ambaye familia yake ni ya watoto wanatokana na mama tofauti. Kutokana na hayo kuna umuhimu mkubwa wa...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...