Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SEHEMU YA MPANGO WA KUENDELEZA MICHEZO WA MAKAMBA, HUU HAPA

Mbunge wa Bumbuli na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Habari na Masoko ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ambaye hivi karibuni ametangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa January Makamba, ameweka wazi shauku yake ya kuinua kiwango cha michezo nchini.Makamba ambaye ni miongoni mwa wanasiasa wenye mvuto mkubwa kwa vijana nchini, aliweka wazi nia yake hiyo katika mazungumzo yake na Padre Privatus Karugendo ambayo yamechapishwa katika kitabu ambacho gazeti...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wizi wa Kura Wanaswa, Mpango Mzima Huu Hapa

Katika gazeti bora hapa nchini la leo (Mawio) limeonyesha tayari mkakati maalum wa wizi wa kura unaohusisha makepteni umekamilika. Makepteni hao tayari washapewa mafunzo kwa siku kadhaa na kusambazwa katika majimbo yote 265 ya uchaguzi nchini […]

The post Wizi wa Kura Wanaswa, Mpango Mzima Huu Hapa appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Dewji Blog

Man United yatupwa nje UEFA, matokeo ya michezo mingine ipo hapa na ratiba ya michezo ya leo jumatano

jesse-lingard-memphis-depay-manchester-united-champions-league-wolfsburg-dejected_3386314

Baadhi ya wachezaji wa Manchester United wakitoka uwanjani kwa udhuni baada ya kumalizika kwa mchezo huo  hiyo jana..

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea hapo jana kwa michezo ya mwisho ya hatua ya makundi kwa makundi manne na haya ndiyo matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Paris Saint-German 2 – 0 Shakhtar Donetsk

Real Madrid 8 – 0 Malmo

GROUP B;

Wolfsburg 3 – 2 Manchester United

PSV Eindhoven 2 – 1 CSKA Moscow

GROUP C;

Benfica 1 – 2 Atletico Madrid

 

10 years ago

Mwananchi

Halmashauri zisikwepe kuendeleza michezo

Kwa uelewa wangu, halmashauri iwe ni ya wilaya, mji, manispaa au jiji, ndiyo inayotekeleza majukumu yote ya kiutawala na kimaendeleo kwa wananchi nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

Halmashauri zisaidie kuendeleza michezo, vipaji

Niko Bagamoyo, makazi mapya niliyochagua kuanza maisha. Bahati moja niliyoipata ni kuwa na makazi jirani kabisa na ofisi ya mkuu wa wilaya, Bomani, kifupi niko karibu na Serikali ya Bagamoyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Mhe. Membe Aahidi Kuendeleza Diplomasia ya Michezo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Kamiliusi Membe (Mb.) akizungumza na baadhi ya wanamichezo walioshiriki michezo ya Jumuiya ya Madola Glasgow, Scotland mwezi Agosti, alipo kutana nao na kufanya kikao cha kutathmini matokeo ya timu ya Tanzania katika kituo cha michezo cha Filbert Bayi kilichopo Kibaha Mkuza. Wanamichezo wakimsikiliza kwa makini Waziri Membe (Hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao. Viongozi mbalimbali wa vyama vya michezo wakimsikiliza ...

 

10 years ago

Mwananchi

Michezo iwe sehemu ya maisha yetu

Kwa muda mrefu Serikali ya Tanzania imekuwa ikishindwa kutenga fungu la kuendeleza michezo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je umetoboa sehemu za siri?soma hapa.

Wanawake wote walioamua kupamba sehemu zao za siri kwa kuzitoboa wanachukuliwa kuwa wamepitia ukatili wa kijinsia ama wamekeketwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Makamba: Sababu za CCM kushinda hizi hapa

Oktoba ni mwezi wa kihistoria kwa Watanzania katika mwaka 2015 kutokana na ukweli kwamba watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani