Sekta ya afya yapigwa jeki nchini
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid.
Na Mwandishi wetu
Serikali ya Tanzania imetia sahihi ya msaada wa fedha, dolla za kimarekani Milioni 66.1 ambazo sawa na bilioni 108.5 za kitanzania kutoka kwa Wadau wa maendeleo ili zitumike kuboresha sekta ya Afya.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana baada ya kusaini makubaliano hayo, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile alisema fedha hizo zitaingia kwenye mfuko wa pamoja wa Afya ili kuboresha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Huduma ya afya yapigwa jeki
SHIRIKA la Walter Red Program (HJFMRI) limetoa msaada wa pikipiki 24 zenye thamani ya sh. 52,800,000 kwa Halmashauri za Mkoa wa Katavi kwa ajili ya kutolea huduma za afya ili kusaidia ufuatiliaji wa wagonjwa ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5iDjKD_ecs8/VIgx1gWRV8I/AAAAAAACwMw/Y7X8ISdv77M/s72-c/unnamed.jpg)
Wadau wa Sekta ya Afya kutoka Tanzania Washiriki Maonyesho ya Sekta ya Afya jijini Istanbul -Uturuki. Dec 2014.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Zimamoto Mwanza yapigwa jeki
NA BLANDINA ARISTIDES, MWANZA
KIKOSI cha Zimamoto mkoani Mwanza, kimepokea msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya sh. milioni mbili kutoka washirika wa maendeleo.
Msaada uliokabidhiwa ni buti jozi sita, majaketi 12, makoti 15, suruali 22, kofia ngumu 10, kofia za kawaida 10, fulana tano na ovaroli mbili kwa ajili ya utekeleza wa majukumu yao ya kazi.
Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto, Inspekta Augustine Magere, alisema kutokana na kuongezeka kwa idadi kubwa ya watu katika jiji la...
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Halmashauri Magu yapigwa jeki
NA SARAH ONESMO, MWANZA
HALMASHAURI ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, imepokea vifaa vipya vya afya na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).
Msaada huo umetolewa na Taasisi ya Grena Youth Production School (GYPS) ya Denmark na utaihusu Kata ya Nyanguge, ambako tayari vifaa hivyo vimekabidhiwa kwa uongozi.
Vifaa hivyo ni robota moja ya mashuka ya wagonjwa, nguo za madaktari na wauguzi, mashine ya utrasound, mashine moja ya EKG ya kupimia wagonjwa wa moyo na kompyuta 95.
Akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-of7St1boY8c/VHQCUAg0cNI/AAAAAAACvSE/JvWHUC8YRMU/s72-c/unnamed.jpg)
Serikali yaipongeza TPHA katika sekta ya afya nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-of7St1boY8c/VHQCUAg0cNI/AAAAAAACvSE/JvWHUC8YRMU/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KkbBytET668/VHQCj7LPaWI/AAAAAAACvSM/nuLBOqPRV6g/s1600/unnamed.jpgh.jpg)
NA ANDREW CHALE, BAGAMOYO. SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imepongeza juhudi za makusudi zinazofanywa na Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) katika kushughulikia masuala ya afya kwa jamii huku ikiahidi kushirkiana kwa ukaribu katika maboresho na kukuza...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-of7St1boY8c/VHQCUAg0cNI/AAAAAAACvSE/JvWHUC8YRMU/s1600/unnamed.jpg)
SERIKALI YAIPONGEZA TPHA KATIKA SEKTA YA AFYA NCHINI
9 years ago
Habarileo20 Nov
Shule yapigwa jeki vifaa vya elimu
TAASISI ya masuala ya jamii ya Vodacom Foundation imetoa msaada wa vifaa vya elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Chazinge A, Kisarawe mkoani Pwani. Vifaa hivyo ambavyo vimetolewa jana ni madaftari ya kuandikia na mikebe yenye vifaa vya kusomea somo la hisabati pamoja na kalamu.
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Serikali yasaini mkataba wa zaidi ya Sh. Bilioni 422 kuimarisha sekta ya afya nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akisaini hati ya makubaliano ya mkopo nafuu kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia ili kuimarisha sekta ya afya nchini katika hafla iliyofanyika jana jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akibadilishana hati ya makubaliano ya mkopo nafuu na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird...