Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Send off ya Safia Jumanne Mkakile

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HARAMBEE YA RASHID MKAKILE YAFANYIKA DMV

Jojo kushoto akimsikiliza Katule wakati akipatiwa maelekezo kwenye harambee ya ya kusaidia gharama za matibabu ya rafiki, ndugu, jamaa na mpendwa wetu Rashid Mkakile aliyeugua akiwa kikazi Boston, Massachusetts na kupelekea kufanyiwa upasuaji. Harambee ilifanyika siku ya Jumampili Novemba 16, 2014 na kuhudhuriwa na Watanzania wa DMV waliomfahamu na walioguswa na mpendwa wetu, ndugu yetu, jamaa yetu na Mtanzania mwenzetu Rashid Mkakile mpaka Vijimambo inaondoka kwenye tukio, harambee ilikua...

 

10 years ago

Vijimambo

Kisomo cha Rashid Mkakile ni January 17, 2015 (Boston, MA)

A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake Allah
Nilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni mgonjwa
Tunamuomba Mungu ampe uzima wake na duwa zenu zinahitajika

Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na kisomo...

 

10 years ago

Vijimambo

Fundraising ya Rashid Mkakile (Sunday Nov. 16th, 2014)

On 10/21/2014 our friend Mr. Rashid H Mkakile did encounter a near death experience while he was in Boston (MA) area working. Previously Mr. Mkakile contacted his wife Mrs. Ikota K. Mkakile in Dallas, TX complaining about severe headache. A Few hours after that the condition worsened and his co-workers rushed him to Emergency Room where after few tests the Doctors determined that Mr. Mkakile needed to undergo a major head surgery right away. The test results determined that Mr. Mkakile did...

 

10 years ago

Vijimambo

Fundraising ya Rashid Mkakile ni kesho Jumapili (Nov. 16th, 2014)


Kuanzia 5PM - 9PM (Tuzingatie Muda)
Argyle Park Activity Building
1030 Forest Glen Road  -  Silver Spring, MD 20901

Unaweza vilevile ku donate online kwa kutumia credit card au PayPal au uka deposit bank

Bank of America account - 4460 3059 3659 (Isca Kauga zip code 20904)

https://www.paypal.com/cgi-bin/webscr?cmd=_donations&business=MMHJAEJLNB5CU&lc=US&item_name=Fundraising%20for%20Rashid%20Mkakile&currency_code=USD&bn=PP%2dDonationsBF%3abtn_donateCC_LG%2egif%3aNonHosted
Kwa maelezo zaidi...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA MASSACHUSETTS NI MFANO WA KUIGWA WAJITOKEZA KWA WINGI KISOMO CHA MKAKILE

Ustadh Hemed (mwenye kipaza sauti) akiongoza kisomo cha kumwombea Rashid Mkakile apone haraka kilichofanyika siku ya Jumamosi Januari 17, 2015 mjini Boston jimbo la Massachusetts, Rashid Mkakile (hayupo pichani) alipata stroke alipokua kikazi jimboni hapo na kumpelekea kulazwa katika hospitali ya Beth Israel Deaconess Medical Center tangia mwezi wa Oktoba 2014 na baadae kuendelea na mazoezi ya mama cheza (Physical therapy) na kumfanya kuendelea vizuri na kesho Jumapili atarejea Dallas...

 

10 years ago

Vijimambo

Kisomo cha kumuombea Rashid Mkakile apate nafuu ni January 17, 2015 (Boston, MA)

A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake AllahNilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni mgonjwaTunamuomba Mungu ampe uzima wake na duwa zenu zinahitajika
Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na kisomo...

 

10 years ago

Vijimambo

WANADMV WAWASILI BOSTON KWA AJILI YA KISOMO CHA KUMWOMBEA RASHID MKAKILE LEO


Kutoka kushoto ni Taji, Mayor, Rashid Mkakile, Eliud na Kessy wakipata picha ya pamoja na Rashid walipokwendakumjulia hali leo Jumamosi January 17, 2015
A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake AllahNilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni...

 

10 years ago

Vijimambo

Kisomo cha kumuombea Rashid Mkakile apone haraka ni leo January 17, 2015(Boston, MA)

A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake AllahNilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni mgonjwaTunamuomba Mungu ampe uzima wake na duwa zenu zinahitajika
Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na...

 

10 years ago

Michuzi

KISOMO CHA KUMWOMBEA RASHID MKAKILE APONE HARAKA BOSTON, MASSACHUSETTS NCHINI MAREKANI

Ustadh Hemed (mwenye kipaza sauti) akiongoza kisomo cha kumwombea Rashid Mkakile apone haraka kilichofanyika siku ya Jumamosi Januari 17, 2015 mjini Boston jimbo la Massachusetts, Rashid Mkakile (hayupo pichani) alipata stroke alipokua kikazi jimboni hapo na kumpelekea kulazwa katika hospitali ya Beth Israel Deaconess Medical Center tangia mwezi wa Oktoba 2014 na baadae kuendelea na mazoezi ya mama cheza (Physical therapy) na kumfanya kuendelea vizuri na kesho Jumapili atarejea Dallas...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani