Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KISOMO CHA KUMWOMBEA RASHID MKAKILE APONE HARAKA BOSTON, MASSACHUSETTS NCHINI MAREKANI

Ustadh Hemed (mwenye kipaza sauti) akiongoza kisomo cha kumwombea Rashid Mkakile apone haraka kilichofanyika siku ya Jumamosi Januari 17, 2015 mjini Boston jimbo la Massachusetts, Rashid Mkakile (hayupo pichani) alipata stroke alipokua kikazi jimboni hapo na kumpelekea kulazwa katika hospitali ya Beth Israel Deaconess Medical Center tangia mwezi wa Oktoba 2014 na baadae kuendelea na mazoezi ya mama cheza (Physical therapy) na kumfanya kuendelea vizuri na kesho Jumapili atarejea Dallas...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KISOMO CHA KUMWOMBEA RASHID MKAKILE APONE HARAKA BOSTON, MASSACHUSETTS NCHINI MAREKANI‏

Watanzania wa Massachusetts wakifanya kisomo cha kumwombea Rashid Mkakile aendelee kupata nafuu kilichofanyika siku ya Jumamosi Januari 17, 2015. mjini Boston jimbo la Massachusetts. Kushooto n Mohammed Mkakile(mdogo wa Rashid), Rashid Mkakile na Eliud Mbowe wakifuatilia…

 

10 years ago

Vijimambo

Kisomo cha kumuombea Rashid Mkakile apone haraka ni leo January 17, 2015(Boston, MA)

A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake AllahNilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni mgonjwaTunamuomba Mungu ampe uzima wake na duwa zenu zinahitajika
Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na...

 

10 years ago

Vijimambo

WANADMV WAWASILI BOSTON KWA AJILI YA KISOMO CHA KUMWOMBEA RASHID MKAKILE LEO


Kutoka kushoto ni Taji, Mayor, Rashid Mkakile, Eliud na Kessy wakipata picha ya pamoja na Rashid walipokwendakumjulia hali leo Jumamosi January 17, 2015
A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake AllahNilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni...

 

10 years ago

Vijimambo

Kisomo cha Rashid Mkakile ni January 17, 2015 (Boston, MA)

A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake Allah
Nilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni mgonjwa
Tunamuomba Mungu ampe uzima wake na duwa zenu zinahitajika

Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na kisomo...

 

10 years ago

Vijimambo

Kisomo cha kumuombea Rashid Mkakile apate nafuu ni January 17, 2015 (Boston, MA)

A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake AllahNilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni mgonjwaTunamuomba Mungu ampe uzima wake na duwa zenu zinahitajika
Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na kisomo...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA MASSACHUSETTS NI MFANO WA KUIGWA WAJITOKEZA KWA WINGI KISOMO CHA MKAKILE

Ustadh Hemed (mwenye kipaza sauti) akiongoza kisomo cha kumwombea Rashid Mkakile apone haraka kilichofanyika siku ya Jumamosi Januari 17, 2015 mjini Boston jimbo la Massachusetts, Rashid Mkakile (hayupo pichani) alipata stroke alipokua kikazi jimboni hapo na kumpelekea kulazwa katika hospitali ya Beth Israel Deaconess Medical Center tangia mwezi wa Oktoba 2014 na baadae kuendelea na mazoezi ya mama cheza (Physical therapy) na kumfanya kuendelea vizuri na kesho Jumapili atarejea Dallas...

 

10 years ago

Michuzi

MAREHEMU LUCIA KIBUSI AAGWA BOSTON, MASSACHUSETTS NCHINI MAREKANI

Marehemu Mama Lucia Kibusi enzi za Uhai wake.Watoto wa marehemu Martin na Steven Kibusi kulia wakiwa kwenye chakula cha pamoja baada ya ibada ya kumbukumbu ya kumuaga mama yao kumalizika kushoto ni marafiki wa karibu na watoto wa marehemu wakiwafariji marafiki zao. Pia familia ya marehemu walitoa shukurani za dhati kwa wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine katika msiba huu wa mpendwa mama yao na kuwezesha kukusanya $19,000 ili kuwezesha kusafirisha mwili wa marehemu nyumbani Tanzania "...

 

10 years ago

Michuzi

Msiba Boston Massachusetts

Familia ya ndugu Martin Kibusi na Steven kibusi inasikitika kutangaza kifo cha Mama yao mpendwa Lucia Kibusi kilichotokea August 15/2014 boston MA. Msiba upo nyumbani kwake Martin 364 Main st Apt 6 Reading, MA 01867.mipango ya kusafirisha mwili kwenda Tanzania inaendelea,tunaomba ushirikiano wenu wa hali na mali
kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana naMartin Kibusi 16179436400Steven kibusi. 16173142910Margareth Pelelwa Shauri 7816326161Mapi Andrew Mwankemwa 857 251-8881 Vilevile unaweza...

 

9 years ago

Vijimambo

MWANAMITINDO NGURI WAKITANZANIA TUMUOMBEE APONE HARAKA


Mwanamitindo na Miss Tanzania wa zamani, Happiness Millen Magese alipoteza fahamu mara mbili katikati ya jiji la New York nchini Marekani.Kupitia Instagram, Millen amesema ni msamaria mwema ndiye aliyemsaidia.“Something happened this afternoon right after I posted my last video,which reminded me a very important thing we always forget,” aliandika.“Every one of us will go and it’s just a matter of time ,be ready all the times ,I passed out twice on 42 street in New York today ,and strangers...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani