KISOMO CHA KUMWOMBEA RASHID MKAKILE APONE HARAKA BOSTON, MASSACHUSETTS NCHINI MAREKANI
Ustadh Hemed (mwenye kipaza sauti) akiongoza kisomo cha kumwombea Rashid Mkakile apone haraka kilichofanyika siku ya Jumamosi Januari 17, 2015 mjini Boston jimbo la Massachusetts, Rashid Mkakile (hayupo pichani) alipata stroke alipokua kikazi jimboni hapo na kumpelekea kulazwa katika hospitali ya Beth Israel Deaconess Medical Center tangia mwezi wa Oktoba 2014 na baadae kuendelea na mazoezi ya mama cheza (Physical therapy) na kumfanya kuendelea vizuri na kesho Jumapili atarejea Dallas...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKISOMO CHA KUMWOMBEA RASHID MKAKILE APONE HARAKA BOSTON, MASSACHUSETTS NCHINI MAREKANI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-on_-of9LCGM/VGffJ9WUc5I/AAAAAAADNDM/gy3-5CeloZI/s72-c/MkakileFundraising.jpg)
Kisomo cha kumuombea Rashid Mkakile apone haraka ni leo January 17, 2015(Boston, MA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-on_-of9LCGM/VGffJ9WUc5I/AAAAAAADNDM/gy3-5CeloZI/s640/MkakileFundraising.jpg)
Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na...
10 years ago
VijimamboWANADMV WAWASILI BOSTON KWA AJILI YA KISOMO CHA KUMWOMBEA RASHID MKAKILE LEO
Kutoka kushoto ni Taji, Mayor, Rashid Mkakile, Eliud na Kessy wakipata picha ya pamoja na Rashid walipokwendakumjulia hali leo Jumamosi January 17, 2015
A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake AllahNilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni...
10 years ago
Vijimambo05 Jan
Kisomo cha Rashid Mkakile ni January 17, 2015 (Boston, MA)
Nilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni mgonjwa
Tunamuomba Mungu ampe uzima wake na duwa zenu zinahitajika
Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na kisomo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-on_-of9LCGM/VGffJ9WUc5I/AAAAAAADNDM/gy3-5CeloZI/s72-c/MkakileFundraising.jpg)
Kisomo cha kumuombea Rashid Mkakile apate nafuu ni January 17, 2015 (Boston, MA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-on_-of9LCGM/VGffJ9WUc5I/AAAAAAADNDM/gy3-5CeloZI/s640/MkakileFundraising.jpg)
Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na kisomo...
10 years ago
VijimamboWATANZANIA MASSACHUSETTS NI MFANO WA KUIGWA WAJITOKEZA KWA WINGI KISOMO CHA MKAKILE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iWRagpebYlo/U_pCObwzXZI/AAAAAAAGCFs/O0TdiWqwWKc/s72-c/IMG-20140816-WA0001%2B(1).jpg)
MAREHEMU LUCIA KIBUSI AAGWA BOSTON, MASSACHUSETTS NCHINI MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-iWRagpebYlo/U_pCObwzXZI/AAAAAAAGCFs/O0TdiWqwWKc/s1600/IMG-20140816-WA0001%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iWQLdLp0ng8/U-8sr9XOsPI/AAAAAAAF__o/-8GgxoNhOc8/s72-c/IMG-20140816-WA0001.jpg)
Msiba Boston Massachusetts
![](http://2.bp.blogspot.com/-iWQLdLp0ng8/U-8sr9XOsPI/AAAAAAAF__o/-8GgxoNhOc8/s1600/IMG-20140816-WA0001.jpg)
kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana naMartin Kibusi 16179436400Steven kibusi. 16173142910Margareth Pelelwa Shauri 7816326161Mapi Andrew Mwankemwa 857 251-8881 Vilevile unaweza...
9 years ago
Vijimambo03 Sep
MWANAMITINDO NGURI WAKITANZANIA TUMUOMBEE APONE HARAKA
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/11326136_892794314119021_1618904074_n.jpg)
Mwanamitindo na Miss Tanzania wa zamani, Happiness Millen Magese alipoteza fahamu mara mbili katikati ya jiji la New York nchini Marekani.Kupitia Instagram, Millen amesema ni msamaria mwema ndiye aliyemsaidia.“Something happened this afternoon right after I posted my last video,which reminded me a very important thing we always forget,” aliandika.“Every one of us will go and it’s just a matter of time ,be ready all the times ,I passed out twice on 42 street in New York today ,and strangers...