Senior Researcher and Learning Advisor with World Vision, in Tanzania ...
IPPmediaSenior Researcher and Learning Advisor with World Vision, in Tanzania ...
IPPmedia
The government of Tanzania established the Tanzania youth fund aimed at empowering Tanzanian youth economically. On 4th February 2013, Tanzania's National Parliament adopted a resolution to start this new government programme. This programme ...
IPPmedia
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w-embukG5vc/XunNJGWh0eI/AAAAAAALuLs/0v5DLOdZhwI1X9YWuj5LycRsDxl3JXmQwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B10.17.36%2BAM.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog18 Apr
World Vision Tanzania yatumia zaidi ya bilioni 5.3 kuboresha miradi ya Afya Singida
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Saidi Alli Kamanzi na DC wa wilaya ya Singida, akifungua hafla ya makabidhiano wa mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN-MNCH). Wa kwanza kulia ni mkuu wa wilaya ya Ikungi Gichulu Charles na anayefuatia ni mwakilishi wa mkurugenzi wa shirika la World vision Tanzania, Mary Lema.
Baadhi ya wadau wa afya waliohudhuria hafla ya makabidhiano ya mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN -MNCH) iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aque Vitae Resort mjini...
5 years ago
The Citizen Daily15 Mar
Former Miss Tanzania takes digital learning to world stage
10 years ago
TheCitizen07 Jun
Learning from experience of holding senior post as woman
5 years ago
MichuziWORLD VISION TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA KUWAKINGA NA CORONA WATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA
Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa vifaa tiba na kinga vyenye thamani ya shilingi milioni 29 kwa ajili ya kusaidia watumishi wa sekta ya afya katika mkoa wa Shinyanga kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona ‘Covid 19’ wanapohudumia wagonjwa.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Ijumaa Mei 8, 2020 na Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa John Massenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Massenza alisema wao kama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-At0XNkgOVvI/Xst72Sdp91I/AAAAAAALrdo/ie5QqMyT8R4seSG3imba15M-yjqYZdzQgCLcBGAsYHQ/s72-c/1cfbb567-15bd-4663-939e-27dd9d676fd0.jpg)
Shirika la World Vision Tanzania jijini Arusha latoe elimu ya kujikinga na Corona,Ulinzi na usalama wa mtoto wa kike katika vijiji 32
Shirika la World Vision Tanzania,Mkoani Arusha limetoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona iliyoenda sambamba na ulinzi na usalama wa mtoto wa kike katika vijiji 32 Wilayani Longido.
Akizungumza na waandishi wa habari Wilayani humo mratibu wa Kitumbeine DP, Bi.Peruth Daudi alisema kuwa katika suala la uhamasihaji jamii juu ya COVID-19 wameweza kufikia vijiji 19 vilivyomo ndani ya Mradi huo huku vijiji 13 vikiwa nje ya mradi ambavyo navyo vimeweza...
10 years ago
TheCitizen26 Dec
GODWIN: Joy to the world...senior citizens say ‘amen’
10 years ago
Vijimambo08 Oct
The World Bank Group : Senior level Job Opportunity
JOB #141045
JOB TITLELead Specialist- Leadership and Learning
JOB FAMILYLearning
JOB TYPEProfessional & Technical
GRADEGH
LOCATIONWashington, DC
RECRUITMENT TYPEInternational Hire
LANGUAGE REQUIREMENTEnglish [Essential]
CLOSING DATE01-Nov-2014
Background / General description:
Leadership, Learning, and Innovation (LLI) is a new WBG Vice Presidency (VPU) dedicated to building the capacity of staff and country partners to accelerate achievement of the twin WBG goals: to eradicate extreme poverty by...
5 years ago
MichuziWORLD VISION YAHAMASISHA KLINIKI KWA WAJAWAZITO, MATUMIZI YA MAZIWA YA MBUZI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Kushoto ni Afisa Lishe Mradi wa ENRICH unaotekelezwa na Shirika la World Vision , Stella Mbuya na Afisa Jinsia na Utetezi wa Shirika la World Vision kupitia mradi wa ENRICH, Magreth Mambali wakionesha alama ya Usawa wa Kijinsia.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Wanawake wajawazito wamekumbushwa umuhimu wa kuhudhuria Kliniki angalau mara nne katika kipindi chote cha ujauzito ili waweze kupata huduma zote za msingi ili wajifungue salama kupunguza vifo vya uzazi vya mama na mtoto.
Rai hiyo...