SERENGETI FIESTA YAFUNIKA NDANI YA GEITA
![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGiYp2stH7UY4PJeVWtYg5kWScvAp9wJ4s*u2eKutsywPhcIDXG5skcQxhVnBpt3TwSHlaD60o*AqRaUnNg55iHRy/IMG_0021.jpg)
Mkali kutoka pande za Mwanza, Young Killer akichana mistari stejini. Ommy Dimpoz akiimba kwa pamoja na mrembo kutoka pande za Geita nyimbo ya ME & YOU. Niki wa Pili akiwakilisha Crew ya Weusi. …
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDISbFJ8mjXaZvVVZZQHEXp9BGxSaEuGHKO0gWiYlC8BdR*gQxQWFxW5xuOIauuKuvsDUl-7B2THPAePLrrxbA0m/8.jpg?width=750)
SERENGETI FIESTA YAFUNIKA MKOANI MBEYA
Msanii wa Bongo Fleva, Linex akitoa burudani usiku wa kuamkia leo ndani ya Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Umati wa mashabiki katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo ndani ya Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5y1Fn5rnCufG8efEGdEjqqRRC5UU*3RDfl2iuk1FLJ3lylHEEQpOWVU3me7s1caOySpceC1gb4FXqv63zLmhL*/IMG_0260.jpg?width=650)
SERENGETI FIESTA 2014 YAFUNIKA DODOMA
Msanii wa Bongo Fleva, Baba Levo akitumbuiza kwa staili yake kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dodoma usiku wa kuamkia leo. Mo Music akitoa burudani kwa wakzi wa Dodoma waliyofulika kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ep*dLmCPR*zz2yskr-r74tj3d3EudgiRP-WfSu7ldaKFMm8zUoO47xS65rk5IIYJW1BhtVd0So7WL0AlUVUHb27TGUcOIAqq/FIESTA2.jpg?width=650)
SERENGETI FIESTA YAFUNIKA MKOANI SINGIDA
Msanii wa Bongo Fleva, Linnah Sanga akifanya vitu vyake stejini katika Serengeti Fiesta Singida usiku wa kuamkia leo. Linnah akilishambulia jukwaa.…
10 years ago
GPLSERENGETI FIESTA 2014 YAFUNIKA DAR
Rapa kutoka nchini Marekani, Clifford Harris,'T.I' akitoa burudani kwenye tamasha la Fiesta Leaders Club jijini Dar usiku wa kuamkia leo. Nyomi baada ya kukongwa nyoyo na T.I usiku wa kuamkia leo Ledears Club.…
10 years ago
Vijimambo06 Oct
SERENGETI FIESTA 2014 YAFUNIKA DODOMA
![](http://api.ning.com/files/*EqvtGjmCN5y1Fn5rnCufG8efEGdEjqqRRC5UU*3RDfl2iuk1FLJ3lylHEEQpOWVU3me7s1caOySpceC1gb4FXqv63zLmhL*/IMG_0260.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/*EqvtGjmCN5YjajDZ7BoirYSWEHfmi7oWUH2*F62dA5trUVuZezoK7hdQYau5925-pS5lNhvNnNn80BUtW4bhNT36qI2o8HV/IMG_0326.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/*EqvtGjmCN4ADzXI4XYpIwJ55aex1GS1NeKjqJS6vZkpZs6MBTEmYC6cW10LESjgzViBPJCz-4mO-3pBr2lTLn67bsEHAQPH/IMG_0223.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/*EqvtGjmCN7qwNA0xWQeah2Jop83GLECpT01tRPiZM1QqNrk2797XGmajmLKgiTsy3uHzjYO0A67q3Y0biCeW5kOk*uVK9WC/IMG_0244.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/*EqvtGjmCN7aFcsHnBVdMw3oo*BKPuJ7CGdZofPDB28P*7wLN9nqwdEBIHHSiy-R2pE8Q01ldz7Au8h9nJYGUieXWmM5yHXo/IMG_0302.jpg?width=750)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwN5x3P3APOZDVJTX0HvOPkiO0dxvAoo60vqULdfX6Y7hM3-KR2tNwDB0iE6vdTA*idcGWQePGYwNWr2hXu8ov1t/MSHINDIWASERENGETISUPERNYOTA2013EDOBOYAKIFUNGUABURUDANI.jpg)
SERENGETI FIESTA YAFUNIKA MKOANI TANGA
Mshindi wa Serengeti Super nyota 2013, Edo Boy akifungua burudani. Young killer akikonga nyoyo za mashabiki katika Tamasha la Fiesta usiku wa kuamkia leo .…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*VZ8FO2EAPes6RlO6jZ5QAcodP0-LY-imfksGu-YasD6E3wM4a9fIow0cWbJAE6E7E4Qtgj3Jtp3XlBJMgdlNxM/1.jpg?width=650)
WASANII SERENGETI FIESTA 2014 NDANI YA BREEZE FM
Wasanii wanaotarajiwa kufanya shoo kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 leo wakisubiria kufanyiwa mahojiano ndani ya kituo cha Redio cha Breeze FM cha mjini Tanga mapema hii. Msanii kutoka Kundi la Yamoto Band, Dogo Aslay akizungumzia namna watakavyotoa burudani kwa mara ya kwanza mjini Tanga katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ndani ya Uwanja wa Mkwakwani.… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycRNCNW75U-uErwwburShzNINKfIi0VMCy9Hcehl1McTcB7NGGzp1uGeTXZFBC0jRAsTscRaPnCpbRUNZpbTMpSM/IMG_8871.jpg?width=750)
WASANII WA SERENGETI FIESTA WATINGA NDANI YA GENERATION FM MBEYA
WASANIIÂ wanaotarajiwa kufanya makamuzi kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, usiku wa leo ndani ya Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya, mapema leo walipata shavu la kufanyiwa mahojiano mafupi ndani ya Generation FM ya mjini hapo na kila mmoja akaweza kuweka wazi namna alivyojipanga kuwapagawisha wakazi wa Mbeya mara tu watakapoanza makamuzi yao usiku wa leo. Msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego akifanyiwa mahojiano mafupi ndani...
11 years ago
Bongo510 Aug
Picha: Serengeti Fiesta 2014 Mwanza yafana ndani ya uwanja wa CCM Kirumba
Wasanii mbalimbali jana August 9 waliwaburudisha mashabiki wa muziki wao katika tamasha la Serengeti Fiesta jijini Mwanza. Diamond na Linah Miongoni mwa wasanii waliotoa burudani ni pamoja na Stamina,Madee,Dogo Janja,Jokate, Nay wa Mitego,Nyandu Tozi, Mr Blue, Diamond, Chege na Temba na wengine wengi. Hizi ni picha za show hiyo iliyofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba. […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania