Serikali kufumua sheria 29, zimo za ndoa, mirathi
SERIKALI imesema iko katika mchakato wa kufanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Kurekebisha sheria kwa sheria 29 kandamizi zikiwemo za ndoa na mirathi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Serikali yakiri sheria ya ndoa ya 1971 haifai
Mgeni Rasmi katika utambulisho wa kampeni ya kitaifa kupinga ndoa za utotoni (National Ending Child Marriage Campaign), Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Anna Maembe, akizungumza na waandishi wa habari umuhimu wa kufanyia marekebisho sheria ya ndoa ya mwaka 1971.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
.Wadau watambulisha kampeni ya kupambana tatizo la ndoa za utotoni
Na Mwandishi Wetu, MOblog Tanzania
SERIKALI ya Tanzania imekiri kwamba Sheria ya Ndoa ya 1971 ni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--q5pOEu1H0g/VO1xF1d2pOI/AAAAAAAHFw8/G2cITBf59is/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: WATOTO WA MAREHEMU, MKE/MME, WAJUKUU.N.K HUGAWANAJE MIRATHI
![](http://1.bp.blogspot.com/--q5pOEu1H0g/VO1xF1d2pOI/AAAAAAAHFw8/G2cITBf59is/s1600/law_5.jpg)
Mara nyingi nimeandika kuhusu mirathi lakini zaidi nimegusia habari ya usimamizi wa mirathi . Leo nimeona ni muhimu kueleza mgao wa mirahi kwa kuangalia nani anapata nini kupitia Sheria ya mirathi ya serikali. Fuatana nami.
( A ) MGAO UKOJE IKIWA MUME AMEFARIKI AKAACHA MJANE, WATOTO NA NDUGU ZAKE.
Kama mume amefariki na akaacha mjane na watoto basi moja ya tatu ( 1/3) ya mali za marehemu zilizo kwenye mirathi anatakiwa apewe mke wake. Mbili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8lsfWr73rWk/VM6mfAJEuGI/AAAAAAAHA4g/Rk5VsVceGKk/s72-c/download.jpg)
makala ya sheria: USINUNUE KIWANJA/NYUMBA YA MIRATHI BILA KUPATA FOMU HII.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8lsfWr73rWk/VM6mfAJEuGI/AAAAAAAHA4g/Rk5VsVceGKk/s1600/download.jpg)
Na Bashir YakubNimeandika makala nyingi kuhusu namna ya kisheria ya kuepuka kununua nyumba/viwanja vyenye migogoro kwakuwa migogoro ya vitu hivi inaumiza sana. Waliokutana na migogoro hii wanajua vyema ninaongea nini. Katika mwendelezo wa kumuepusha mnunuzi na janga hili, leo tena tuangalie taratibu za ununuzi wa nyumba/kiwanja cha mirathi. Nataka ieleweke vyema kuwa taratibu za manunuzi ya nyumba/kiwanja zinatofautiana. Tofauti kubwa ni za kisheria hasa namna ya uandishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwepo na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshashuhudia magomvi makubwa misibani lakini pia tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali za marehemu ambaye familia yake ni ya watoto wanatokana na mama tofauti. Kutokana na hayo kuna umuhimu mkubwa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F7M58gkVDLI/VYxR7bKhtPI/AAAAAAAHkHA/uT257_SNmPM/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MIRATHI ZA WATOTO WADOGO NA WASIO NA AKILI TIMAMU HUSIMAMIWA NA NANI KISHERIA?
![](http://1.bp.blogspot.com/-F7M58gkVDLI/VYxR7bKhtPI/AAAAAAAHkHA/uT257_SNmPM/s320/law_5.jpg)
Suala la mirathi popote linapotokea hutokea iwapo kuna mtu amekufa na ameacha mali . Mtu akishakufa akaacha mali hata kama hakuna ndugu wa kurithi suala la mirathi lazima liibuke. Huibuka kwakuwa lazima zile mali ziende pahali iwe kwa mtu au kwa mamlaka. Hata hivyo suala la mirathi huibua hisia zaidi hasa panapokwa hamna wosia. Marehemu asipoacha wosia lakini akaacha mali mambo huwa sio mepesi sana labda iwe...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ELyj1FnTsdE/VYxwiALSUBI/AAAAAAAHkIA/7gffGSIjsh0/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MIRATHI ZA WATOTO WADOGO NA WASIO NA AKILI TIMAMU HUSIMAMIWA NA NANI KISHERIA ?
![](http://1.bp.blogspot.com/-ELyj1FnTsdE/VYxwiALSUBI/AAAAAAAHkIA/7gffGSIjsh0/s1600/images.jpg)
Hata hivyo suala la mirathi huibua hisia zaidi hasa panapokwa hamna wosia. Marehemu asipoacha wosia lakini akaacha mali mambo huwa sio mepesi sana labda iwe vinginevyo....
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MmSI2oTxaRo/VZYRkLDM61I/AAAAAAAHmik/2dw6vu67Vpc/s72-c/law_5.jpg)
KAMA HAMUELEWANI JUU YA MSIMAMIZI MIRATHI INARUHUSIWA NYOTE KUOMBA KUSIMAMIA MIRATHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MmSI2oTxaRo/VZYRkLDM61I/AAAAAAAHmik/2dw6vu67Vpc/s320/law_5.jpg)
Mara kadhaa kwenye familia mbalimbali kumekuwa hakuna maelewano juu ya nani asimamie mirathi. Unakuta wapo wanaomkubali fulani asimamie na wapo wanomkataa wakimtaka fulani mwingine ndiye asimamie. Hii huwa na athari kubwa sana kwa warithi hasa watoto kama wanasoma ambao kimsingi hutakiwa kutumia mali zile katika mahitaji ya msingi kama ada na mahitaji mengine muhimu ya kiustawi.
Tumeshashuhudia mara nyingi watoto wakiacha...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s72-c/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KWA MUJIBU WA SHERIA NDOA HIZI HAZIRUHUSIWI
![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s400/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
Hapa kwetu Tanzania tunazo ndoa za aina kuu mbili. Kwanza tunazo ndoa za kiraia au kiserikali, na pili tunazo ndoa za kimila.
Ndoa za kiraia au za kiserikali kama zinavyojulikana kwa wengi ni zile ambazo hufungwa chini ya usimamizi wa mamlaka za serikali kama ofisi ya mkuu wa wilaya n.k. Na kwa upande wa ndoa za kimila hizi ni zile ambazo hufungwa kutokana na taratibu za watu wa kabila au koo fulani kwa mujibu...